Changamoto tunazokutana nazo tunaotongoza wanawake mitandaoni, jamani wanawake hawajiamini kabisa.

Changamoto tunazokutana nazo tunaotongoza wanawake mitandaoni, jamani wanawake hawajiamini kabisa.

Mtu anayenifahamu akinitamkia siwezi kushangaa hata kama hatukuwahi kuwa na ukaribu ila kinachonishangaza ni.mtu kumtamkia mtu unampenda humjui ni mrefu au mweusi, mrefu au mbilikimo n.k. huu si wizi wa mchana kweupe huu
Kuna picha flan anakua nayo kichwan kutokana na huyo mtu alivyojidescribe
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eee kweli sasa hao wanatafta disappointments za kujitakia
Kuna wengine huwa wanajiundia tu picha zao wanazozipenda sio kila wakati wanachukua mtu anavyojidescribe
 
Make-up. Pia editing na sauti Mara nyingi ndio tatizo online. Nilikuwa namwona Hemed wa kawaida kwenye movie. Siku nimemwona live sura ileile lakini urefu mlango ft 7 anainama
 
Mk
Mkuu Mimi sio muumini wa condom, naendaga peku baada ya kupima zaidi ya Mara moja....na msuguo wangu huwa una kasi ya 5G+, lazma nichubuke hata Kama ni bwawa kiasi gani ... Ndo maana naogopa vijana wanavyojirahisisha
Mkuu unakamia ka unaenda kupokea mshahara mwsho wa mwez?hil tendo n starehe tusifanye kwa weledi ka kazi
 
Mi juzi nimeopoa kimeo kimoja toka Tinder, aisee ukiangalia picha zake alizoweka kule ni balaa, alipokuja live kidogo nilie, kweli sura ni yake ila umbile sasa, kama dwarf sasa sijui aliekua anampiga picha alikua anafanya maksudi au lah.

Niishia kumlipia nauli arudi kwao maana hata mzuka ulikata ghafla.
Huko sasa ndio wameharibika. Sasa hivi wana mtindo wa kuweka picha za enzi za ujana. Ukiwa mvumilivu ukarudisha maqasiliano whatsapp utapata picha yake halisi.
 
Ni kweli mimi sipingi mtu kutafuta mpenzi humu ila at least jenga urafiki walau umfahamu mtu kwanza ndio umtamkie unampenda, hii ya kufika PM na kuanza moja kwa moja kutongoza hakuna mtu anaweza kukuchukulia serious
Umeongea asali
 
Well mwaka juzi nilisajili line ya mtandao fulani, sasa nafikiri ni namba iliyokuwa inatumiwa na mtu kabla yangu then ikarudishwa kwenye system. Kuna siku mwanaume akapiga akimuulizia mwenye alikuwa na hiyo namba kabla yangu. Nikamwambia mie ndio mwenye namba na simtambui mtu huyo. Alisisitiza sana kuwa namba anayo kaisave kwa simu yake ila ni kitambo kidogo hajawasiliana nae.

Nilimwelewesha baadae akanielewa na ukawa mwanzo wa mawasiliano. Tukafahamiana majina na mambo mengine, to cut the long stor short baadae tukapanga kuonana. Kwenye picha alionekana mrefu na mwili wa wastani ukijumlisha na bonge la sauti ya kiume nikasema YES.

Sasa siku ya kuonana nae sikuamini nikahisi ni mtu mwingine kaja, jamaa ni kafupiiii, kanenee, kitambi kama gunia. Nilijikaza sikuonyesha kushtuka sana. Alifurahi kweli, tukapiga story,tukala na kunywa then tukaagana kuwa tungeonana siku inayofuata. Mungu anisamehe nilizima simu na sikuitumia tena ile line.
Haahahahahahahahahahah
 
Ni kweli mimi sipingi mtu kutafuta mpenzi humu ila at least jenga urafiki walau umfahamu mtu kwanza ndio umtamkie unampenda, hii ya kufika PM na kuanza moja kwa moja kutongoza hakuna mtu anaweza kukuchukulia serious
... halafu first date wakipanga mmoja anafanya booking ya hotel/guest house kabisa. Inashangaza sana, hapo ni lazima mmoja aumie tu!!!
 
Well mwaka juzi nilisajili line ya mtandao fulani, sasa nafikiri ni namba iliyokuwa inatumiwa na mtu kabla yangu then ikarudishwa kwenye system. Kuna siku mwanaume akapiga akimuulizia mwenye alikuwa na hiyo namba kabla yangu. Nikamwambia mie ndio mwenye namba na simtambui mtu huyo. Alisisitiza sana kuwa namba anayo kaisave kwa simu yake ila ni kitambo kidogo hajawasiliana nae.

Nilimwelewesha baadae akanielewa na ukawa mwanzo wa mawasiliano. Tukafahamiana majina na mambo mengine, to cut the long stor short baadae tukapanga kuonana. Kwenye picha alionekana mrefu na mwili wa wastani ukijumlisha na bonge la sauti ya kiume nikasema YES.

Sasa siku ya kuonana nae sikuamini nikahisi ni mtu mwingine kaja, jamaa ni kafupiiii, kanenee, kitambi kama gunia. Nilijikaza sikuonyesha kushtuka sana. Alifurahi kweli, tukapiga story,tukala na kunywa then tukaagana kuwa tungeonana siku inayofuata. Mungu anisamehe nilizima simu na sikuitumia tena ile line.
Well, naamini ukikosea, huenda hiyo approach uliyotumia uliona inafaa, na kweli ilifaa coz you got rid of him instantly. Lakini as a friend wala hukuwa na sababu ya kumfungia vioo, ilikuwa mapema mno kufanya hivyo. Ungemwambia tu kuwa upo occupied na mambo yako, huhitaji urafiki nae kwa mda huo.

Binafsi datings zangu nyingi zimeanzia kwenye social networks, ila niliamini katika uwazi na kumwambia mtu jinsi ninavyojisikia kwake, atakavyonichukulia ni sawa tu coz that's my choice.
 
Mimi niliwahi kutongoza fb kwa mara ya kwanza dem sikumuelewa kiviile.
Jambo lilianza February hii ya majuzi wazee ,kama kawaida mafisi walivyo nikazama gallery kwa mtoto kuchek picha zake ili nijiridhishe ah hazikuwa na mvuto infact dem nilimuona low class,nakuja kwenye chart sasa hapo ndo alinipa Mood ya kukutana nae baada ya kuniambia kwao Mikocheni namimi Mbezi nikaona wa karibu huuuyooo bear in mind "out of sight out of mind".
Kwenye mazungumzo ya hapa na pale tunapanga appointment sasa.....the process took about 2months almost. Finally ni jaana hii wadau jana hii mbichi Pisi inatimba maskani ebwanae sikuamini macho yangu mpaka ilibidi nijishtukie pale nilipo kuhisi labda manzi angeni underrate since alikuwa pini kishenzi, mdogo mdogo,curves imesimama daaah mwanaume ilinibidi ni extend budget bila kujishauri mara mbili mbili.
The Good news is the lady loves me so much and she appreciate the way natural I look from the photos to the really life.
I probably gonna let you know what will happen huko mbele kama ni ndoa au ndoano.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Aliiona picha yako ya dp hii?
 
Shida ni K tu.... K ikiwa nzuri hata sura ya chafya haina noma...
 
Haha si hatari hii jamani, hapo mtu analiwa halafu line inatupwa
... halafu first date wakipanga mmoja anafanya booking ya hotel/guest house kabisa. Inashangaza sana, hapo ni lazima mmoja aumie tu!!!
 
Back
Top Bottom