Changamoto tunazokutana nazo tunaotongoza wanawake mitandaoni, jamani wanawake hawajiamini kabisa.

Changamoto tunazokutana nazo tunaotongoza wanawake mitandaoni, jamani wanawake hawajiamini kabisa.

Afadhali hao wanaotongoza insta huko sijui twitter. Tabu ipo kwa hawa wanaotongoza Jf jamani mimi wananiacha hoi. Ushimen alishawahi kutoa ushauri wa namna ya kupata mchuchu hapa lakini naona watu walipuuzia na kuona anaongea ujinga ila aliongea ukweli mtupu. Ila ukiona mwanaume anatongoza mwanamke ambae hajawahi kumuona huyo ni bazazi tu kwa sababu anaona hana cha kupoteza
Hawa wanaotafta wake na waume humu kila sikumbna hawaletagi mrejesho wa ndoa zao wanazofunga....But wanawake walioko humu ndo haohao walioko humu,ila nimejitahidi kutafta mirejesho ya ndoa zinazotakana humu sijapata aisee
 
Mi juzi nimeopoa kimeo kimoja toka Tinder, aisee ukiangalia picha zake alizoweka kule ni balaa, alipokuja live kidogo nilie, kweli sura ni yake ila umbile sasa, kama dwarf sasa sijui aliekua anampiga picha alikua anafanya maksudi au lah.

Niishia kumlipia nauli arudi kwao maana hata mzuka ulikata ghafla.
Haahahahahah
 
Online huwa natongozaga kama michezo siku nikiboeka najisikia kukosa mtu wakuongea naye basi naamua kuwasumbua ila cha ajabu nliobahatika kukutana nao wanakuwaga real kabisa so sijabahatika kukutana na hao wakufake maana mwenye huwa si fake kabisa
Kama vile kucheza game la computer[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Afadhali hao wanaotongoza insta huko sijui twitter. Tabu ipo kwa hawa wanaotongoza Jf jamani mimi wananiacha hoi. Ushimen alishawahi kutoa ushauri wa namna ya kupata mchuchu hapa lakini naona watu walipuuzia na kuona anaongea ujinga ila aliongea ukweli mtupu. Ila ukiona mwanaume anatongoza mwanamke ambae hajawahi kumuona huyo ni bazazi tu kwa sababu anaona hana cha kupoteza
Kikubwa na cha muhimu ni
Kuaminiana, kuwekana wazi, kuambiana ukweli, na kufahamiana vizuri kabla ya hatua nyingi za pamoja...

Sababu hii ni jamii pia kama ilivyo jamii ya nje (ile unayo ishi nayo) mtaani, humu wapo single men and women na wanauhitaji wa wenza...

Kikubwa ni Imani kati yenu
 
Ni kweli mimi sipingi mtu kutafuta mpenzi humu ila at least jenga urafiki walau umfahamu mtu kwanza ndio umtamkie unampenda, hii ya kufika PM na kuanza moja kwa moja kutongoza hakuna mtu anaweza kukuchukulia serious
Kikubwa na cha muhimu ni
Kuaminiana, kuwekana wazi, kuambiana ukweli, na kufahamiana vizuri kabla ya hatua nyingi za pamoja...

Sababu hii ni jamii pia kama ilivyo jamii ya nje (ile unayo ishi nayo) mtaani, humu wapo single men and women na wanauhitaji wa wenza...

Kikubwa ni Imani kati yenu
 
Na mahusiano bila urafiki hayaendi popote, mwanzo wa mahusiano ni urafiki...
Ila vipi kama unakutana na mtu ambaye yupo serious toka siku ya kwanza mnakutana, na yupo single, na wewe upo serious pia upo single...
Je huyu nae unamchukuliaje anapokuja kukutamkia "nakupenda" siku ya kwanza ama ya pili tangu mfahamiane..??
Ni kweli mimi sipingi mtu kutafuta mpenzi humu ila at least jenga urafiki walau umfahamu mtu kwanza ndio umtamkie unampenda, hii ya kufika PM na kuanza moja kwa moja kutongoza hakuna mtu anaweza kukuchukulia serious
 
Back
Top Bottom