Changamoto tunazokutana nazo tunaotongoza wanawake mitandaoni, jamani wanawake hawajiamini kabisa.

Changamoto tunazokutana nazo tunaotongoza wanawake mitandaoni, jamani wanawake hawajiamini kabisa.

Dah! Niliwahi kukutana mtandaoni na mrembo 2017, tukapanga kuonana akapanda basi hadi nilipo.

Cha ajabu hakufanana na picha alizonitumia. Nilipomuuliza hakuwa na jibu sahihi, akabaki anacheka tu!

Nililipia lodge, chakula na nauli yake alojia nilimrudishia pia. Nilipiga naye show hadi saa 3 usiku, nikazuga nimeitwa kazini na boss. Nikaenda kulala zangu geto kwangu.

Kesho yake asubuhi alinipigia tukamalizie show, nikamwambia nitachelewa, tukutane stendi ili tuagane. Tukaonana stendi nikampatia pia nauli na matumizi ya njiani akarudi mkoani kwao.

Mawasiliano yalikuwa hafifu sana hadi akaniuliza why?
Au kwakuwa alinitumia picha fake?

Nawasihi ke, ukiamua kutuma picha tuma picha sahihi ili ukipendwa upendwe kweli.
Wanaume tunapenda sura na umbo, tabia zinafuata baadae.
Sawa mkuu
 
Kutongoza mitandaoni ni changamoto ila inabidi ukubaliane nazo tu.

Ofcourse walioko mitandaoni ndio hao hao walioko mtaani ila changamoto zake ni kubwa. Juzi nimeona mdau mmoja akilalamika kule twitter kua amepoteza nauli yake mara nne kila akienda mwanamke yuko tofauti na picha zake, kwa sisi wazoefu tunacheka tu kidogo na kutabasamu tunajua kabisa huyu bado mchanga kwenye haya mambo ya online dating.

Kukuta picha tofauti na mtu alivyo ni jambo la kawaida kabisa hata kama sio mwanamke unaeenda kukutana nae. Ila shida inapokuja kua picha aliyokutumia au aliyoweka mtandaoni sio ya kwake kabisa na wala sie yeye, hiyo ni habari nyingine.

Siku hizi wanawake wengi hawaweki picha ambazo sio zao, wachache sana bado wanatumia huo udwanzi wa kizamani. Unajua picha yako mwenyewe inaweza kukuonyesha tofauti kutegemeana na angle ambayo camera man amesimama, mathalani mwanamke mfupi anaweza kupiga picha ange flani ukamuona ni mrefu sana, au anapiga picha kiflat screen chake angle flani ukazani mtu anavuta tela, muone live unaweza kulia.

Siku hizi wanawake wa mutandaoni wanatafta proffessional cameraman wanawapiga picha angle za kitaalam na after photo effects basi mtu anaonekana mtu mwingine kabisa, akikutumia picha mtoto anawaka, makalio sio makalio, kutana nae sasa, unaishia kulia kwa kupoteza muda wako na pesa zako.


Unaweza kushare ni changamoto gani unakutana nazo mitandaoni.

Hii mada inaendelea.
Hahaha
 
Dah! Niliwahi kukutana mtandaoni na mrembo 2017, tukapanga kuonana akapanda basi hadi nilipo.

Cha ajabu hakufanana na picha alizonitumia. Nilipomuuliza hakuwa na jibu sahihi, akabaki anacheka tu!

Nililipia lodge, chakula na nauli yake alojia nilimrudishia pia. Nilipiga naye show hadi saa 3 usiku, nikazuga nimeitwa kazini na boss. Nikaenda kulala zangu geto kwangu.

Kesho yake asubuhi alinipigia tukamalizie show, nikamwambia nitachelewa, tukutane stendi ili tuagane. Tukaonana stendi nikampatia pia nauli na matumizi ya njiani akarudi mkoani kwao.

Mawasiliano yalikuwa hafifu sana hadi akaniuliza why?
Au kwakuwa alinitumia picha fake?

Nawasihi ke, ukiamua kutuma picha tuma picha sahihi ili ukipendwa upendwe kweli.
Wanaume tunapenda sura na umbo, tabia zinafuata baadae.
 
Mi juzi nimeopoa kimeo kimoja toka Tinder, aisee ukiangalia picha zake alizoweka kule ni balaa, alipokuja live kidogo nilie, kweli sura ni yake ila umbile sasa, kama dwarf sasa sijui aliekua anampiga picha alikua anafanya maksudi au lah.

Niishia kumlipia nauli arudi kwao maana hata mzuka ulikata ghafla.
Hahaha
 
Afadhali hao wanaotongoza insta huko sijui twitter. Tabu ipo kwa hawa wanaotongoza Jf jamani mimi wananiacha hoi. Ushimen alishawahi kutoa ushauri wa namna ya kupata mchuchu hapa lakini naona watu walipuuzia na kuona anaongea ujinga ila aliongea ukweli mtupu. Ila ukiona mwanaume anatongoza mwanamke ambae hajawahi kumuona huyo ni bazazi tu kwa sababu anaona hana cha kupoteza
 
1000019674.jpg
 
Kutongoza mitandaoni ni changamoto ila inabidi ukubaliane nazo tu.

Ofcourse walioko mitandaoni ndio hao hao walioko mtaani ila changamoto zake ni kubwa. Juzi nimeona mdau mmoja akilalamika kule twitter kua amepoteza nauli yake mara nne kila akienda mwanamke yuko tofauti na picha zake, kwa sisi wazoefu tunacheka tu kidogo na kutabasamu tunajua kabisa huyu bado mchanga kwenye haya mambo ya online dating.

Kukuta picha tofauti na mtu alivyo ni jambo la kawaida kabisa hata kama sio mwanamke unaeenda kukutana nae. Ila shida inapokuja kua picha aliyokutumia au aliyoweka mtandaoni sio ya kwake kabisa na wala sie yeye, hiyo ni habari nyingine.

Siku hizi wanawake wengi hawaweki picha ambazo sio zao, wachache sana bado wanatumia huo udwanzi wa kizamani. Unajua picha yako mwenyewe inaweza kukuonyesha tofauti kutegemeana na angle ambayo camera man amesimama, mathalani mwanamke mfupi anaweza kupiga picha ange flani ukamuona ni mrefu sana, au anapiga picha kiflat screen chake angle flani ukazani mtu anavuta tela, muone live unaweza kulia.

Siku hizi wanawake wa mutandaoni wanatafta proffessional cameraman wanawapiga picha angle za kitaalam na after photo effects basi mtu anaonekana mtu mwingine kabisa, akikutumia picha mtoto anawaka, makalio sio makalio, kutana nae sasa, unaishia kulia kwa kupoteza muda wako na pesa zako.


Unaweza kushare ni changamoto gani unakutana nazo mitandaoni.

Hii mada inaendelea.
Mizinga ya papo kwa papo...yaani utasikia samahani lakini naomba unitumie buku 10 kama unayo kwenye simu
 
Back
Top Bottom