Changamoto tunazokutana nazo tunaotongoza wanawake mitandaoni, jamani wanawake hawajiamini kabisa.

Changamoto tunazokutana nazo tunaotongoza wanawake mitandaoni, jamani wanawake hawajiamini kabisa.

🤣🤣🤣🤣🤣duh usikufuru uumbaji we dada
Hapana sio suala la uumbaji, sina tatizo na wanaume wafupi ila ule unene na lijitambi lile sio kabisaa. Ufupi ni uumbaji wa Mungu ila vitambi na unene ni uumbaji wa binadamu.
 
Well, naamini ukikosea, huenda hiyo approach uliyotumia uliona inafaa, na kweli ilifaa coz you got rid of him instantly. Lakini as a friend wala hukuwa na sababu ya kumfungia vioo, ilikuwa mapema mno kufanya hivyo. Ungemwambia tu kuwa upo occupied na mambo yako, huhitaji urafiki nae kwa mda huo.

Binafsi datings zangu nyingi zimeanzia kwenye social networks, ila niliamini katika uwazi na kumwambia mtu jinsi ninavyojisikia kwake, atakavyonichukulia ni sawa tu coz that's my choice.
Well yawezekana haikuwa aproach nzuri ila ndio suluhisho lililokuja kichwani kwa wakati huo
 
siku moja mtwara nikakamata manzi mmoja badoo... nikamwambia njoo lodge fulan chumba namba fulan, yeleewi hakyanan alipoingia room nilitamani dunia INIMESE... Dem ni bonge hadi alipovua kavaa pichu haifiki kiunoni. Nilikoma
 
Well mwaka juzi nilisajili line ya mtandao fulani, sasa nafikiri ni namba iliyokuwa inatumiwa na mtu kabla yangu then ikarudishwa kwenye system. Kuna siku mwanaume akapiga akimuulizia mwenye alikuwa na hiyo namba kabla yangu. Nikamwambia mie ndio mwenye namba na simtambui mtu huyo. Alisisitiza sana kuwa namba anayo kaisave kwa simu yake ila ni kitambo kidogo hajawasiliana nae.

Nilimwelewesha baadae akanielewa na ukawa mwanzo wa mawasiliano. Tukafahamiana majina na mambo mengine, to cut the long stor short baadae tukapanga kuonana. Kwenye picha alionekana mrefu na mwili wa wastani ukijumlisha na bonge la sauti ya kiume nikasema YES.

Sasa siku ya kuonana nae sikuamini nikahisi ni mtu mwingine kaja, jamaa ni kafupiiii, kanenee, kitambi kama gunia. Nilijikaza sikuonyesha kushtuka sana. Alifurahi kweli, tukapiga story,tukala na kunywa then tukaagana kuwa tungeonana siku inayofuata. Mungu anisamehe nilizima simu na sikuitumia tena ile line.
Alafu mimi sikomi jamani, baada ya huyo nikapata mwingine kwenye mtandao fulani. Tuliwasiliana kama miezi 9, katika kipindi hiki cha kuwasiliana baby baby kwa sanaa, jamaa ikawa kama amefall hivi(not sure) mie i was cautious maana yasije nikuta yale ya mwanzo. Jamaa alikuwa wa kawaida tu kwenye pics hata kwenye video calls.

Kwa kipindi chote hicho nilipiga chenga sana kuonana nae, ukishaumwa na nyoka hata jani unashtuka. Well nikapata safari ya kikazi kwenda alipo hapo sikuwa na namna ikabidi nionane nae. Lahaula lakwata, siku naonana nae this time nikapatwa na lile butwa la "wow" jamaa kwanza kapanda, black fulani hivi, handsome, mwili wa kiume.......

Nikajikuta najishtukia maana picha niloijenga haikuwa alivyo hadi nikakosa comfidence.
Well piga story sana na kudanganyana hapo mambo mengi then kila mtu akasepa. Kesho yake nilikuwa nasafiri, akaomba sana nisiondoke angalau tufahamiane zaidi, kichwani nikawaza hapa naliwa mchana kweupeee. Nikamkubalia huku nikijua kabisa kesho yake nasepa, kesho jikamdanganya imenibidi niodoke nahitajika ofisini haraka sana.

Akasema angekuja yeye wiki inayofuata nilipo, huyu nae nilimzimia simu na sikuwasiliana nae tenaaa. Nimekuja kuonana nae this year march, kidogo nimkimbie ila sikuweza ikabidi tusalimiane na kuniuliza yalonikuta nikaweka uongo mwingi akanielewa. Ameoa na ana mtoto mmoja.
 
Mi juzi nimeopoa kimeo kimoja toka Tinder, aisee ukiangalia picha zake alizoweka kule ni balaa, alipokuja live kidogo nilie, kweli sura ni yake ila umbile sasa, kama dwarf sasa sijui aliekua anampiga picha alikua anafanya maksudi au lah.

Niishia kumlipia nauli arudi kwao maana hata mzuka ulikata ghafla.
Pole jombaa
 
Back
Top Bottom