Changamoto tunazokutana nazo tunaotongoza wanawake mitandaoni, jamani wanawake hawajiamini kabisa.

Changamoto tunazokutana nazo tunaotongoza wanawake mitandaoni, jamani wanawake hawajiamini kabisa.

Tupo likizo tunafungua jumatatu.

Baba naye anasema hana pesa ya matumizi nitachelewa chelewa kusubiri pesa. Au unayo unihonge?
Nipatie akaunti namba nikujaze mahela
 
Afadhali hao wanaotongoza insta huko sijui twitter. Tabu ipo kwa hawa wanaotongoza Jf jamani mimi wananiacha hoi. Ushimen alishawahi kutoa ushauri wa namna ya kupata mchuchu hapa lakini naona watu walipuuzia na kuona anaongea ujinga ila aliongea ukweli mtupu. Ila ukiona mwanaume anatongoza mwanamke ambae hajawahi kumuona huyo ni bazazi tu kwa sababu anaona hana cha kupoteza
Kho kho kho kho
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Vikojoleo mnavitesa wenyewe kwa kuvikutanisha na watu moyo haujapenda.
Wakati usingeharakisha hata vikojoleo visingekua na haraka ya kujuana
Sio vizuri hata.... Tunakomoana wenyewe kwa wenyewe. Vikojoleo ndivyo vinabaki kuumia.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Vikojoleo mnavitesa wenyewe kwa kuvikutanisha na watu moyo haujapenda.
Wakati usingeharakisha hata vikojoleo visingekua na haraka ya kujuana
Ila mmepoa humu JF bhana...hadi tunabadilisha vijiwe.

Au kuzeeka kumeanza?
 
Back
Top Bottom