Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Tehtehteh... haya bhana nimeacha.Sasa mbona unanichimba Daby
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tehtehteh... haya bhana nimeacha.Sasa mbona unanichimba Daby
Tehtehteh... haya bhana nimeacha.
Tupo likizo tunafungua jumatatu.Haya wahi shule au upo likizo
Nipatie akaunti namba nikujaze mahelaTupo likizo tunafungua jumatatu.
Baba naye anasema hana pesa ya matumizi nitachelewa chelewa kusubiri pesa. Au unayo unihonge?
Kho kho kho khoAfadhali hao wanaotongoza insta huko sijui twitter. Tabu ipo kwa hawa wanaotongoza Jf jamani mimi wananiacha hoi. Ushimen alishawahi kutoa ushauri wa namna ya kupata mchuchu hapa lakini naona watu walipuuzia na kuona anaongea ujinga ila aliongea ukweli mtupu. Ila ukiona mwanaume anatongoza mwanamke ambae hajawahi kumuona huyo ni bazazi tu kwa sababu anaona hana cha kupoteza
Hujambo? Wahi kapimeKho kho kho kho
Na Sisi tutaendelea kuwakataa hivyo yani..Msitutishe bhana...tutaendelea kutongoza.
sijambo. Will call you soonHujambo? Wahi kapime
Sasa account natoa wapi na wewe.Nipatie akaunti namba nikujaze mahela
Poa poaMe
sijambo. Will call you soon
Picha fake machine iko real
Kinachokusumbua hapo nin si unapiga ukiwa umefumba macho shida iko wap
Basi njoo nyumbani uchukueSasa account natoa wapi na wewe.
Sio vizuri hata.... Tunakomoana wenyewe kwa wenyewe. Vikojoleo ndivyo vinabaki kuumia.Na Sisi tutaendelea kuwakataa hivyo yani..
Ila wanawake wa kule hamna huo utaratibu....bora hata wachaga watakununulia boxer za TMK.Basi njoo nyumbani uchukue
Sio vizuri hata.... Tunakomoana wenyewe kwa wenyewe. Vikojoleo ndivyo vinabaki kuumia.
Ila mmepoa humu JF bhana...hadi tunabadilisha vijiwe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Vikojoleo mnavitesa wenyewe kwa kuvikutanisha na watu moyo haujapenda.
Wakati usingeharakisha hata vikojoleo visingekua na haraka ya kujuana
Najua ulipotokea mbona...sitaki tu kuandikia hapa jukwaani.
Sio mbinu ya kukutongoza eeeh usiogope.
No. Najua...Haha najua hujui ila unakisia