Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata serikali wakati mwingine huwa inafanya uwekezaji wa hasara. Kwajifunze kukabiliana na hali mbalimbali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata serikali wakati mwingine huwa inafanya uwekezaji wa hasara. Kwajifunze kukabiliana na hali mbalimbali.
😂😂😂😂😂 we ndio bebi wa kumoyo, usipagawe na maneno ya kizushi wengine tia maji tia maji tu. Af unajua deep venye nakufeel msupu wangu!Heeeh.. kwani tumeachana lini mbona una babe mwingine?
We mxng umetisha 😂😂😂😂😂Hata serikali wakati mwingine huwa inafanya uwekezaji wa hasara. Kwa hiyo jifunze kukabiliana na hali mbalimbali.
HahahahahahDah! Niliwahi kukutana mtandaoni na mrembo 2017, tukapanga kuonana akapanda basi hadi nilipo.
Cha ajabu hakufanana na picha alizonitumia. Nilipomuuliza hakuwa na jibu sahihi, akabaki anacheka tu!
Nililipia lodge, chakula na nauli yake alojia nilimrudishia pia. Nilipiga naye show hadi saa 3 usiku, nikazuga nimeitwa kazini na boss. Nikaenda kulala zangu geto kwangu.
Kesho yake asubuhi alinipigia tukamalizie show, nikamwambia nitachelewa, tukutane stendi ili tuagane. Tukaonana stendi nikampatia pia nauli na matumizi ya njiani akarudi mkoani kwao.
Mawasiliano yalikuwa hafifu sana hadi akaniuliza why?
Au kwakuwa alinitumia picha fake?
Nawasihi ke, ukiamua kutuma picha tuma picha sahihi ili ukipendwa upendwe kweli.
Wanaume tunapenda sura na umbo, tabia zinafuata baadae.
Sio acting mkuu ni strategies tu, which means kila aina ya chick kuna strategies zake ambazo wazee wakazi tunazitumia, bila hivo hizi papuchi utaendelea kuziona kwa wanyama wa kufuga tu na kuvizia watoto wanaoogeshwa nje.Hivi kwanini mtu u act.
Why tu usijiamini. Harafu wasilolijua huwa tuna appreciate sana mtu anayejiamini. Kuna viti vingi vinaweza pelekea mtu akupende. Si lazima uact
hutyo nadhani huwa anakuwa na kiu kubwa sana ya KJamaa anaishia kutoboka mpunga kwa kuopoa pisi ambazo hakuitarajia kisa picha[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
....bila hivo hizi papuchi utaendelea kuziona kwa wanyama wa kufuga tu na kuvizia watoto wanaoogeshwa nje.
Hapa wamaanisha nin mwenzio sijui kidhunguThat ID picture looks very cool. Bet you ressemble it!
Namaanisha njoo p.m nikwambie kitu mamiiHapa wamaanisha nin mwenzio sijui kidhungu
havitabiriki mkuuVingine haviliki chief
Sema hapaNamaanisha njoo p.m nikwambie kitu mamii
Sio salama kwa taarifa nayotaka kukupa.Sema hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we ndio bebi wa kumoyo, usipagawe na maneno ya kizushi wengine tia maji tia maji tu. Af unajua deep venye nakufeel msupu wangu!
inong'oneze avatar nitakusikiaSio salama kwa taarifa nayotaka kukupa.
Wananiiba kwa software ila kwa hardware bado, wanajaribu kunihack tu 😂😂😂😂😂 ila password zako kali mpenzi!Hapa moyo umetulia kidogo mpenzi. Nikajua ndio wanakuiba hivyooo
Sawa sawainong'oneze avatar nitakusikia
Mkuu hongera naona bado upo na mahondaw wako.
Mpenzi unaniibia sasaWananiiba kwa software ila kwa hardware bado, wanajaribu kunihack tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila password zako kali mpenzi!
Hamna utakuwa hujanielewa mpenzi, sikuibii bana ila raia wananizengeaMpenzi unaniibia sasa