Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Naona umerudisha avatar babe, goodMie wa hapa hapa mamaangu, leo tupo wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona umerudisha avatar babe, goodMie wa hapa hapa mamaangu, leo tupo wote
Yeah, i know you love it..and i fond for you either!Naona umerudisha avatar babe, good
Watu sio wanataka kudate watu wanataka kugegedaSasa mtu anasikia hivyo bado tena anajaribu kudate online
Smtym Mtadate na majini.....
😀😀😀Well mwaka juzi nilisajili line ya mtandao fulani, sasa nafikiri ni namba iliyokuwa inatumiwa na mtu kabla yangu then ikarudishwa kwenye system. Kuna siku mwanaume akapiga akimuulizia mwenye alikuwa na hiyo namba kabla yangu. Nikamwambia mie ndio mwenye namba na simtambui mtu huyo. Alisisitiza sana kuwa namba anayo kaisave kwa simu yake ila ni kitambo kidogo hajawasiliana nae.
Nilimwelewesha baadae akanielewa na ukawa mwanzo wa mawasiliano. Tukafahamiana majina na mambo mengine, to cut the long stor short baadae tukapanga kuonana. Kwenye picha alionekana mrefu na mwili wa wastani ukijumlisha na bonge la sauti ya kiume nikasema YES.
Sasa siku ya kuonana nae sikuamini nikahisi ni mtu mwingine kaja, jamaa ni kafupiiii, kanenee, kitambi kama gunia. Nilijikaza sikuonyesha kushtuka sana. Alifurahi kweli, tukapiga story,tukala na kunywa then tukaagana kuwa tungeonana siku inayofuata. Mungu anisamehe nilizima simu na sikuitumia tena ile line.
Watu sio wanataka kudate watu wanataka kugegeda
Thanks babeYeah, i know you love it..and i fond for you either!
Aight, you welcome anytimeThanks babe
Jahazi lipi mkuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mabaharia okoeni jahazi litazama
Jamaa anaishia kutoboka mpunga kwa kuopoa pisi ambazo hakuitarajia kisa picha[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Jahazi lipi mkuu
Bora wewe ulifanya utuDah! Niliwahi kukutana mtandaoni na mrembo 2017, tukapanga kuonana akapanda basi hadi nilipo.
Cha ajabu hakufanana na picha alizonitumia. Nilipomuuliza hakuwa na jibu sahihi, akabaki anacheka tu!
Nililipia lodge, chakula na nauli yake alojia nilimrudishia pia. Nilipiga naye show hadi saa 3 usiku, nikazuga nimeitwa kazini na boss. Nikaenda kulala zangu geto kwangu.
Kesho yake asubuhi alinipigia tukamalizie show, nikamwambia nitachelewa, tukutane stendi ili tuagane. Tukaonana stendi nikampatia pia nauli na matumizi ya njiani akarudi mkoani kwao.
Mawasiliano yalikuwa hafifu sana hadi akaniuliza why?
Au kwakuwa alinitumia picha fake?
Nawasihi ke, ukiamua kutuma picha tuma picha sahihi ili ukipendwa upendwe kweli.
Wanaume tunapenda sura na umbo, tabia zinafuata baadae.
Tunatake noteMkuu wewe unakutana na wamama. Mimi cha kwanza mwanamke namuuliza unaishi kwako au kwenu. Akisema kwangu huyo huyo disqualified. Mwanamke akiwa kwake ujue bills zote za nyumbani unabeba wewe na nyingine tena, wa kazi gani huyo. Labda awe mzuri sana alafu napiga siku moja natoweka mazima.
Utashangaa mtu hajawahi kukuona, avatar umeweka sio wewe lakini bado anakutongoza.Afadhali hao wanaotongoza insta huko sijui twitter. Tabu ipo kwa hawa wanaotongoza Jf jamani mimi wananiacha hoi. Ushimen alishawahi kutoa ushauri wa namna ya kupata mchuchu hapa lakini naona watu walipuuzia na kuona anaongea ujinga ila aliongea ukweli mtupu. Ila ukiona mwanaume anatongoza mwanamke ambae hajawahi kumuona huyo ni bazazi tu kwa sababu anaona hana cha kupoteza
Vingine haviliki chiefPicha fake machine iko real
Kinachokusumbua hapo nin si unapiga ukiwa umefumba macho shida iko wap
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji852]Well mwaka juzi nilisajili line ya mtandao fulani, sasa nafikiri ni namba iliyokuwa inatumiwa na mtu kabla yangu then ikarudishwa kwenye system. Kuna siku mwanaume akapiga akimuulizia mwenye alikuwa na hiyo namba kabla yangu. Nikamwambia mie ndio mwenye namba na simtambui mtu huyo. Alisisitiza sana kuwa namba anayo kaisave kwa simu yake ila ni kitambo kidogo hajawasiliana nae.
Nilimwelewesha baadae akanielewa na ukawa mwanzo wa mawasiliano. Tukafahamiana majina na mambo mengine, to cut the long stor short baadae tukapanga kuonana. Kwenye picha alionekana mrefu na mwili wa wastani ukijumlisha na bonge la sauti ya kiume nikasema YES.
Sasa siku ya kuonana nae sikuamini nikahisi ni mtu mwingine kaja, jamaa ni kafupiiii, kanenee, kitambi kama gunia. Nilijikaza sikuonyesha kushtuka sana. Alifurahi kweli, tukapiga story,tukala na kunywa then tukaagana kuwa tungeonana siku inayofuata. Mungu anisamehe nilizima simu na sikuitumia tena ile line.
Nakuombeeni iwe ndoaMimi niliwahi kutongoza fb kwa mara ya kwanza dem sikumuelewa kiviile.
Jambo lilianza February hii ya majuzi wazee ,kama kawaida mafisi walivyo nikazama gallery kwa mtoto kuchek picha zake ili nijiridhishe ah hazikuwa na mvuto infact dem nilimuona low class,nakuja kwenye chart sasa hapo ndo alinipa Mood ya kukutana nae baada ya kuniambia kwao Mikocheni namimi Mbezi nikaona wa karibu huuuyooo bear in mind "out of sight out of mind".
Kwenye mazungumzo ya hapa na pale tunapanga appointment sasa.....the process took about 2months almost. Finally ni jaana hii wadau jana hii mbichi Pisi inatimba maskani ebwanae sikuamini macho yangu mpaka ilibidi nijishtukie pale nilipo kuhisi labda manzi angeni underrate since alikuwa pini kishenzi, mdogo mdogo,curves imesimama daaah mwanaume ilinibidi ni extend budget bila kujishauri mara mbili mbili.
The Good news is the lady loves me so much and she appreciate the way natural I look from the photos to the really life.
I probably gonna let you know what will happen huko mbele kama ni ndoa au ndoano.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shida ni K tu.... K ikiwa nzuri hata sura ya chafya haina noma...
Heeeh.. kwani tumeachana lini mbona una babe mwingine?Bwana Yesu asifiwe bebe!