Changamoto tunazokutana nazo tunaotongoza wanawake mitandaoni, jamani wanawake hawajiamini kabisa.

Changamoto tunazokutana nazo tunaotongoza wanawake mitandaoni, jamani wanawake hawajiamini kabisa.

Nilikutana na chombo wakati huo nikiwa kijana pichani mtu wa maana. Tulipoonana, demu ni mfupi ingawa si sana na mnene. Yaani alivaa shanga lakini pale kiunoni akilala chali hqzionekani sababu ya minyama uzembe.

Sura ni yenyewe ila umbo dah. Mi napenda wanawake warefu wembamba. Mbaya zaidi ananuka mdomo. Nilimla kwa tabu asubuhi huyooo ndukii.
Aaaa aaaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we ndio bebi wa kumoyo, usipagawe na maneno ya kizushi wengine tia maji tia maji tu. Af unajua deep venye nakufeel msupu wangu!
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
 
Utashangaa mtu hajawahi kukuona, avatar umeweka sio wewe lakini bado anakutongoza.
Ngoja niwarahisishie

1. Mzoee mtu hata kama lengo lako kumtongoza
2. Mkishazoeana mtahamia kwingine ambako kwa kuwa anakuchukulia rafiki hatafake hats kama ni picha zitakua ni yeye
3. Ukiona amekidhi vigezo sasa funguka

Hii tongoza tongoza IPO siku watakuja kutongoza wanaume wenzao mi nawaangaliaga tu
Msitutishe bhana...tutaendelea kutongoza.
 
Morning bebz, usipate shida sie hatupo level hizo bana. Naona umeanza kuhisi vibaya, u know whats gonna happen this December. Dont sweat it!
Khaa ngoja moyo wangu utulie kwanza maana hapa unaruka kichurachura
 
Hiyo ndio shida ya watu kutongoza vivuli, wengine naweza kuwazaa kabisa wanajitia kushusha mistari nawachekii nasema hiiii
Kwa hiyo unamaanisha mtu akijidai kukutongoza hapa ni kazi bure hukubali mtu asilani?
 
Back
Top Bottom