Wewe unazungumzia Kayumba za kijijini kwenu Huko unapoishi weweWa kwako yuko wapi kati ya hizi mkuu!
View attachment 3210731
View attachment 3210732
Acha utani na welfare ya watoto mkuu, hakuna binadam asiyependa maisha bora ni huu umasikini wetu tu.
Jana kuna mdau kaposti shule ya msingi Sinza, uliona picha ya majengo? Au sinza ipo kijijini kwenu?Wewe unazungumzia Kayumba za kijijini kwenu Huko unapoishi wewe
Hakuna usajili uliofanyika bado. Acha visingizio hamisha au lipa ada. Muda wa usajili ni February na March.Hii shule imekua shule ya hovyo sana kwa sasa kwenye utoaji huduma. Kwanza nikiri kilichonisukuma kuleta huu uzi ni upuuzi wao waliotufanyia wazazi hii January kutopokea watoto ambao hawajalipa ada yote.
Hapa ndio wametukera wazazi, hivi kweli mzazi unalipa laki 5 January hii na wanagoma kumpokea mtoto? Kweli? Halafu tena hapo umewafuata na kuwaomba ada utaongezea mwisho wa mwezi January na bado wanakataa, really?
Huu ni utapeli mkubwa,imagine ni wazazi wangapi wamelipa pesa nusu na bado watoto wamerudishwa the whole of January hawajasoma meanwhile pesa zetu wamepokea zinaendelea kutumika kwenye shughuli zao. Na wanaona kabisa malalamiko ya wazazi kwenye WhatsApp groups ila full madharau. Hii ni fair? Sometimes wakipokea watoto ambao wanadaiwa ada wanaenda kuwafungia TV room siku nzima, hivi hii ni akili kweli?
Hii shule kwa sasa wamekua wabinafsi mno na hawajali kabisa other stakeholders na ndio maana hata ada wanapandisha kiholela sana. Bora huduma yao ingekuwa standard tusingelalamika,ila sasa kwa huduma zao zilivyo za kawaida mnatufanyia wazazi maringo kiasi hiki? Magari mabovu,walimu turnover kubwa kila mara mnaleta wapya,vitabu mnatoa mwisho wa muhula,chakula kibovu watoto hadi wanalalamika kukuta mende na buibui kwenye chakula na bado hatukuamua kuwaexpose ili kuwalinda mu-improve.
Shule kama hizi ndio zinafanya shule za kulipia zionekane mzigo mzito wakati si kweli. Bahati mbaya nimeshindwa kumhamisha mtoto sababu yupo darasa la mtihani, ila next year hamnioni namhamisha mapema sana maana hamna upeo wa kuona value for money,na consideration kwa wazazi ambao ni stakeholders wakubwa. by the way sishauri upeleke mtoto wako hapo.
Soma uzi uelewe vizuri, unadhani kwanini nimeleta uzi hapa?Neenda ukaongee na mualimu mkuu umueleze kinacho kusibu kuliko kuja huko mtandaoni, nawenyewe ni binaadamu wanasikiliza, kusomesha mtoto EMs onahitaji moyo determination uvumilivu na sacrifice, otherwise utampeleka kwenye hizo shule za wakina LIKUD za kupoteza mda wa watoto.
Soma uzi uelewe usikurupuke kucomment..kila kitu nimeelezaKinacho msumbua hataki kujishusha mbele ya mkuu wa shule kwamba hana pesa apewi mda bado ana ile mentality ya shule za Kayumba, ile ni private capital ya mtu yeye ndo anajua uchungu ya pesa yake na machu gu yake.
Sawa mwalimu mkuu wa Safi School.. asante kwa ushauriHakuna usajili uliofanyika bado. Acha visingizio hamisha au lipa ada. Muda wa usajili ni February na March.
Labda wanafanya hivyo ili watoto wanaoungaunga wafeliNa darasa la mitihani lazima mnyanyasike sana. Waziri wa elimu yupo inabidi mumjulishe kupitia vyombo vya Habari. Mfano Ayo Tv
Kuna mahali nimesema sijalipa ada? Laki 5 ni ndogo kwa mtoto kusoma wiki mbili hadi mwisho wa mwezi? Hata kama ni Biashara inategemea unaendeshaje...na mteja ndie anaefanya biashara iende...kama unadhani wazazi wakiamua wanashindwa ulizia kuna shule inaitwa Aureke kilichowakutaga hadi leo wanahaha maana hadi shule ilisimamaMkuu hio ni biashara ya mtu. Lipa ada mtoto asome. Kuna shule za akina LIKUD ukiona ada mzigo mpeleke huko.
Elimu ishakuwa biashara hakuna namna.
Lipa ada mtoto aende shule. Wenye shule si wamekataa nusu ada? Acha kulazimisha mambo yaende utakavyo.Kuna mahali nimesema sijalipa ada? Laki 5 ni ndogo kwa mtoto kusoma wiki mbili hadi mwisho wa mwezi? Hata kama ni Biashara inategemea unaendeshaje...na mteja ndie anaefanya biashara iende...kama unadhani wazazi wakiamua wanashindwa ulizia kuna shule inaitwa Aureke kilichowakutaga hadi leo wanahaha maana hadi shule ilisimama
Hivi mada mnaielewa lakini au mnaandika kuonekana mnajimudu. Mimi nasomesha watoto shule 3 tofauti na wote nimewalipia laki 5 kila mmoja January hii ila hao wengine wawili shule zao hazijanifanyia ujinga na ndio maana nimeleta uzi hapa sababu pia kwenye group la shule la WhatsApp wengi ni victims (akiwemo ndugu yako). Na huwa nafanya hivyo kusomesha watoto shule tofauti kuepuka ujinga wa shule moja. The reason why ntamuhamisha na huyu,na sababu si ada tu bali hizo kero zingine nilizozitaja japo we umeona tatizo ni ada tuLipa ada mtoto aende shule. Wenye shule si wamekataa nusu ada? Acha kulazimisha mambo yaende utakavyo.
Usilalamikie kit unachoweza kukifanya. Ni unaamka asubuhi unaamua maana hata siku ya kumleta mtoto uliamka ukagonga geti mwenyewe. Hukulazimishwa kumpeleka so kwa nini uanze visingizio kwenye kumtoa???Sawa mwalimu mkuu wa Safi School.. asante kwa ushauri
Hii post sio kwa ajili ya wewe kutoa ushauri,bali ni ili wahusika ujumbe uwafikie. You sound more like a thoughtless moron kukomaa kuchangia uzi usiokuhusuUsilalamikie kit unachoweza kukifanya. Ni unaamka asubuhi unaamua maana hata siku ya kumleta mtoto uliamka ukagonga geti mwenyewe. Hukulazimishwa kumpeleka so kwa nini uanze visingizio kwenye kumtoa???