KERO Changamoto utoaji huduma Safi Shule ya Makabe

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Wewe unazungumzia Kayumba za kijijini kwenu Huko unapoishi wewe
Jana kuna mdau kaposti shule ya msingi Sinza, uliona picha ya majengo? Au sinza ipo kijijini kwenu?
 
Hakuna usajili uliofanyika bado. Acha visingizio hamisha au lipa ada. Muda wa usajili ni February na March.
 
Soma uzi uelewe vizuri, unadhani kwanini nimeleta uzi hapa?
 
Kinacho msumbua hataki kujishusha mbele ya mkuu wa shule kwamba hana pesa apewi mda bado ana ile mentality ya shule za Kayumba, ile ni private capital ya mtu yeye ndo anajua uchungu ya pesa yake na machu gu yake.
Soma uzi uelewe usikurupuke kucomment..kila kitu nimeeleza
 
Mkuu hio ni biashara ya mtu. Lipa ada mtoto asome. Kuna shule za akina LIKUD ukiona ada mzigo mpeleke huko.
Elimu ishakuwa biashara hakuna namna.
Kuna mahali nimesema sijalipa ada? Laki 5 ni ndogo kwa mtoto kusoma wiki mbili hadi mwisho wa mwezi? Hata kama ni Biashara inategemea unaendeshaje...na mteja ndie anaefanya biashara iende...kama unadhani wazazi wakiamua wanashindwa ulizia kuna shule inaitwa Aureke kilichowakutaga hadi leo wanahaha maana hadi shule ilisimama
 
Lipa ada mtoto aende shule. Wenye shule si wamekataa nusu ada? Acha kulazimisha mambo yaende utakavyo.
 
Lipa ada mtoto aende shule. Wenye shule si wamekataa nusu ada? Acha kulazimisha mambo yaende utakavyo.
Hivi mada mnaielewa lakini au mnaandika kuonekana mnajimudu. Mimi nasomesha watoto shule 3 tofauti na wote nimewalipia laki 5 kila mmoja January hii ila hao wengine wawili shule zao hazijanifanyia ujinga na ndio maana nimeleta uzi hapa sababu pia kwenye group la shule la WhatsApp wengi ni victims (akiwemo ndugu yako). Na huwa nafanya hivyo kusomesha watoto shule tofauti kuepuka ujinga wa shule moja. The reason why ntamuhamisha na huyu,na sababu si ada tu bali hizo kero zingine nilizozitaja japo we umeona tatizo ni ada tu
 
Sawa mwalimu mkuu wa Safi School.. asante kwa ushauri
Usilalamikie kit unachoweza kukifanya. Ni unaamka asubuhi unaamua maana hata siku ya kumleta mtoto uliamka ukagonga geti mwenyewe. Hukulazimishwa kumpeleka so kwa nini uanze visingizio kwenye kumtoa???
 
Usilalamikie kit unachoweza kukifanya. Ni unaamka asubuhi unaamua maana hata siku ya kumleta mtoto uliamka ukagonga geti mwenyewe. Hukulazimishwa kumpeleka so kwa nini uanze visingizio kwenye kumtoa???
Hii post sio kwa ajili ya wewe kutoa ushauri,bali ni ili wahusika ujumbe uwafikie. You sound more like a thoughtless moron kukomaa kuchangia uzi usiokuhusu
 
Huwezi jua pengine mwenye shule yuko desperate anamadeni ya kufa mtu na marejesho yanampasua kichwa unadhani hatakukazia ulipe ada kama mlikubaliana kwenye form ya mwisho(ilieleza usipokalimilisha ada mwanao hatapokelewa)..akilega tu soon anakuwa kama owner wa canosa..huruma inaponza unakuwa mshumaa kuwahurumia walipa ada ambao walijua jukumu lililo mbele yao Jan wakawekeza kwenye sikukuu wakajiachia wakatafuna hadi ada akati ukidhalilika kidogo wanahamisha watoto wao ASAP,uendeshaji wa shule ni gharama bila kukomaa wamalize ada kikibuma tu bado lawama juu yako mmiliki na fedheha juu.
January sio Ajali kwamba hujui nn unatakiwa kufanya kwa wanao tuwe na desturi ya kuhold na skip matumizi yasiyo yalazima au laa lipa ada fanya maandalizi Dec kuepuka fedheha hizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…