Changamoto wanazopitia vijana wetu mpaka wanakuja na kampeni za kataa ndoa

Changamoto wanazopitia vijana wetu mpaka wanakuja na kampeni za kataa ndoa

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
min -me nimetimiza ahadi mada hii hapa..!

Kila kitu huwa na mwanzo huwa na chanzo, vijana walianza kulalamika siku nyingi wakitafuta ushauri huku na kule.. Wengi walikatishwa tamaa na aina ya ushauri waliopewa na wakubwa.. Haukuwa na weledi
Masaibu yao hasa yalikuwa kwenye vipengele hivi
Kushindwa kuwaridhisha kingono wapenzi wao
Uraibu wa punyeto
Hisia za ushoga
Hofu na kukosa kujiamini mbele za watu
Uwezo mdogo wa kutongoza
Uwezo mdogo wa kushindwa kumhudumia mwanamke
Kuchapiwa na wenye uwezo umaarufu nk

Haya yakapita bila ushauri wa maana.. Lakini hapohapo likaibuka la kutumia dawa za kuongeza nguvu za kiume ! Dawa za asili na hata za kigeni.. Malalamiko yalipungua kwa kiasi kikubwa lakini ilikuwa suluhu ya muda mfupi tuu

Likaja la mauaji ya wapenzi, chanzo kikubwa kikiwa ni uaminifu na usaliti hili lilitrend sana miaka hii miwili iliyopita sambamba na vijana wengi kuingia kwenye ushoga

Mwaka huu wa 2023 mambo yamegeuka ama yameongezeka.. Hakuna kuomba ushauri tena, hakuna kutumia dawa tena bali ni kampeni ya kataa ndoa! Hili nalo litapita lakini sijui litaacha madhara kiasi gani kwa vijana na pia baada ya hili sijui litakuja lipi lingine

Kwenye mada zilizopita nimelaumiwa kwa kuishi kikale kwenye usasa na kwamba nashindwa kuona uhalisia wa maisha ya leo ambayo ni tofauti kabisa na ya jana.. Siwalaumu kwakuwa vijana wa sasa ni wasahaulifu kupita maelezo maana kama ni mada za maonyo na ushauri nimeandika sana

Baada ya kusema hayo hebu tuangalie changamoto wanazokutana nazo vijana wa kisasa mpaka wanaona ndoa ni kitu kisichofaa tena

1. Ukakamavu na afya ya mwili
Ukakamavu na afya njema ya mwili huchangia ukakamavu na afya ya misuli ikiwemo uume
Vijana wengi siku hizi si wakakamavu kutokana na usasa na aina ya vyakula na vinywaji
Zamani tulilima mashamba makubwa ya familia ndugu na jamaa siku hizi ni vijana wangapi wanaweza kulima hata roho heka?
Zamani hakukuwa na bodaboda hivyo tuliyembea muda mrefu hata kilometres 30 kwenda na kurudi, siku hizi kilometre moja kijana anapanda boda
Zamani hatukuwa na vyakula vya kusindika siku hizi kila kona ndio fasheni
Zamani vinywaji vilikuwa ni vya kujenga mwili siku hizi vinywaji vinamaliza nguvu
Hakuna kitu kinaleta afya ya mwili na misuli kama mzunguko mzuri wa damu mwilini
Sasa vijana wetu wa kisasa
Hamfanyi kazi za jasho
Chakula chenu chips kuku broiler na mayai yake
Vinywaji vyao ni hivi vya kuua nguvu ..ni haki kukataa ndoa

Nitaendelea
 
Wanawake wenyewe ndio hawa?
884621284.jpg
 
Ila wazee wa zamani mna mambo nyie...Mentality yenu ipo stagnant kama Policies za French kutawala afrika. Let me break it down for you.
Zamani tulilima mashamba makubwa ya familia ndugu na jamaa siku hizi ni vijana wangapi wanaweza kulima hata roho heka?
Zamani mlilima hivyo kwakua trekta na plau zilikua chache. Sasa hivi trekta zimejaa tele kwanini tulime kwa jembe la mkono. Teknolojia ya mwaka 10000 BC
Zamani hakukuwa na bodaboda hivyo tuliyembea muda mrefu hata kilometres 30 kwenda na kurudi, siku hizi kilometre moja kijana anapanda boda
Mlitembea hivyo sio kwa kupenda usafiri ulikua shida...kama bodaboda zingekuwepo hata nyie msingetembea umbali huo
Zamani hatukuwa na vyakula vya kusindika siku hizi kila kona ndio fasheniZamani vinywaji vilikuwa ni vya kujenga mwili siku hizi vinywaji vinamaliza nguvu
Ni uamuzi wa mtu... Organic drink n food zipo. Hata nyie kama Mo energy zingekuwepo mngekunywa. Enzi hizo mlikua mnasafiri kwemda huko ili tu mpate soda.
Hakuna kitu kinaleta afya ya mwili na misuli kama mzunguko mzuri wa damu mwilini
Sasa vijana wetu wa kisasa
Hamfanyi kazi za jasho
Tutafanyaje kazi za jasho wakati maisha ya sasa ni tech based kila shughuli zipo ipo computerized. Hata nyie hamkupenda kuzifanya. Sema hamkua na options
Chakula chenu chips kuku broiler na mayai yake
Vinywaji vyao ni hivi vya kuua nguvu ..ni haki kukataa ndoa
Wala hizo sio sababu za kukataa ndoa kabisa. Maisha is about to chabge and adapt. Nyie wazee mnataka tuishi kama tupo karne ya 20.zamani chakula kiliwatosha coz mlikua watu wachache nchini ndo maana kuku wa kienyeji mliweza kusubiri ikae miezi 6. Sasa hivi tuko 60+ unategemea hao kuku watatutosha??? Lazima broiler na GMOs food zihusike.

Acheni kutufosi tuishi maisha yenu nyie wazee hata nyie mliyaishi bila kupenda

Ps. Mimi sipingi ndoa... tena kwa caliber yangu siwezi ishi bila partner so Sikupingi hoja yako ila nakupinga point ulizoweka kutetea hoja yako.
#Ndoa muhimu #Kubali ndoa
 
Ila wazee wa zamani mna mambo nyie...Mentality yenu ipo stagnant kama Policies za French kutawala afrika. Let me break it down for you.

Zamani mlilima hivyo kwakua trekta na plau zilikua chache. Sasa hivi trekta zimejaa tele kwanini tulime kwa jembe la mkono. Teknolojia ya mwaka 10000 BC

Mlitembea hivyo sio kwa kupenda usafiri ulikua shida...kama bodaboda zingekuwepo hata nyie msingetembea umbali huo

Ni uamuzi wa mtu... Organic drink n food zipo. Hata nyie kama Mo energy zingekuwepo mngekunywa. Enzi hizo mlikua mnasafiri kwemda huko ili tu mpate soda.

Tutafanyaje kazi za jasho wakati maisha ya sasa ni tech based kila shughuli zipo ipo computerized. Hata nyie hamkupenda kuzifanya. Sema hamkua na options

Wala hizo sio sababu za kukataa ndoa kabisa. Maisha is about to chabge and adapt. Nyie wazee mnataka tuishi kama tupo karne ya 20.zamani chakula kiliwatosha coz mlikua watu wachache nchini ndo maana kuku wa kienyeji mliweza kusubiri ikae miezi 6. Sasa hivi tuko 60+ unategemea hao kuku watatutosha??? Lazima broiler na GMOs food zihusike.

Acheni kutufosi tuishi maisha yenu nyie wazee hata nyie mliyaishi bila kupenda

Ps. Mimi sipingi ndoa... tena kwa caliber yangu siwezi ishi bila partner so Sikupingi hoja yako ila nakupinga point ulizoweka kutetea hoja yako.
#Ndoa muhimu #Kubali ndoa
Ndoa hapana tupeane nao ila ndoa haina haja.
 
Kampeni kataa ndoa ni mlango wa pili kuhalalisha na kusimika mahusiano ya jinsia moja (USHOGA) niulize kwann??
Kampeni hii inazoofisha thamani ya mwanamke kwa mwanaume na kukuza thamani ya mahusiano ambayo kwa mwanzo yanaonesha urafiki wenye thamani zaidi ambapo hupelekea mapenzi ya jinsia moja (hii imekaa kiroho zaidi)
Hivyo tunaona nguvu kuubwa ya halalisha ushoga inatangazwa hadhari jua ya kwamba sirini walishamaliza mikakati yao kama mjuavyo mzungu (SHETANI) hakurupukagi.
NB. Nilioa ndoa ikavunjika na nikweli wanawake wanachangamoto lakini si kwamba nami ni mkamilifu nna zangu na bado natamani kuoa tena kunako majaaliwa
 
Kampeni kataa ndoa ni mlango wa pili kuhalalisha na kusimika mahusiano ya jinsia moja (USHOGA) niulize kwann??
Kampeni hii inazoofisha thamani ya mwanamke kwa mwanaume na kukuza thamani ya mahusiano ambayo kwa mwanzo yanaonesha urafiki wenye thamani zaidi ambapo hupelekea mapenzi ya jinsia moja (hii imekaa kiroho zaidi)
Hivyo tunaona nguvu kuubwa ya halalisha ushoga inatangazwa hadhari jua ya kwamba sirini walishamaliza mikakati yao kama mjuavyo mzungu (SHETANI) hakurupukagi.
NB. Nilioa ndoa ikavunjika na nikweli wanawake wanachangamoto lakini si kwamba nami ni mkamilifu nna zangu na bado natamani kuoa tena kunako majaaliwa
View attachment 2513410
 
Ila wazee wa zamani mna mambo nyie...Mentality yenu ipo stagnant kama Policies za French kutawala afrika. Let me break it down for you.

Zamani mlilima hivyo kwakua trekta na plau zilikua chache. Sasa hivi trekta zimejaa tele kwanini tulime kwa jembe la mkono. Teknolojia ya mwaka 10000 BC

Mlitembea hivyo sio kwa kupenda usafiri ulikua shida...kama bodaboda zingekuwepo hata nyie msingetembea umbali huo

Ni uamuzi wa mtu... Organic drink n food zipo. Hata nyie kama Mo energy zingekuwepo mngekunywa. Enzi hizo mlikua mnasafiri kwemda huko ili tu mpate soda.

Tutafanyaje kazi za jasho wakati maisha ya sasa ni tech based kila shughuli zipo ipo computerized. Hata nyie hamkupenda kuzifanya. Sema hamkua na options

Wala hizo sio sababu za kukataa ndoa kabisa. Maisha is about to chabge and adapt. Nyie wazee mnataka tuishi kama tupo karne ya 20.zamani chakula kiliwatosha coz mlikua watu wachache nchini ndo maana kuku wa kienyeji mliweza kusubiri ikae miezi 6. Sasa hivi tuko 60+ unategemea hao kuku watatutosha??? Lazima broiler na GMOs food zihusike.

Acheni kutufosi tuishi maisha yenu nyie wazee hata nyie mliyaishi bila kupenda

Ps. Mimi sipingi ndoa... tena kwa caliber yangu siwezi ishi bila partner so Sikupingi hoja yako ila nakupinga point ulizoweka kutetea hoja yako.
#Ndoa muhimu #Kubali ndoa
Umeweka hoja nyepesi sana zisizokidhi wala kuakisi kile nilichokiandika.. Ngoja nimalizie mada kwanza nitakurudia
 
kaka mshana naona unatumia nguvu kubwa sana kwenye hili suala, mtu kama hataki kuoa unamuacha, kasi waliyokuja nayo ndio kasi watakayoondoka nayo, maji yapatayo moto haraka hupoa haraka
Fualitilia mtiririko wa mada zangu kuhusu hili jambo na zingatia nilichoandika mwanzo kabisa wa hii mada
 
Kataa ndoa [emoji23] hujajibu hoja zao, kichaka unachotumia cha ushoga hakina mashiko, kwa sababu watu hawapingi kuoa, bali wanakataa ndoa! Wapo watu wameoa na hawafungi ndoa [emoji23]




Kwa hiyo hawa vijana wavivu wanachotaka ni kudinyana tu na kusepa?
Huku ni kukimbia majukumu jambo ambalo halikubaliki katika dunia ya wastaarabu.
Mtadinyana na kusepa, je matokeo ya kudinyana kwenu kwa maana ya watoto watatunzwa na nani na wapi?
Ndoa ni kujenga familia, huwezi kataa maisha ya familia ukawa salama hasa baada ya miaka 50.
Ndio maana siku hizi kuna ongezeko kubwa sana la wanaotembea barabarani wakiongea wenyewe. Huu ni ugonjwa wa ukichaa unaosababishwa na mvurugano wa asili kutotunzwa kwa kulindwa.
 
Sehemu ya pili
2.MALEZI kwenye makuzi
Kutokana na utandawazi maendeleo ya tech na harakati za maisha siku hizi wazazi hawana muda wa kukaa na vijana wao na kuwapa ABC za maisha ukikuta familia imekaa pamoja basi kama sio wakati wa chakula basi ni kuangalia tv nk
Maisha ya sasa pia hayatoi nafasi kwa vijana kushiriki shughuli za kujijenga kimwili na kiakili, uwajibikaji nk.. Wazazi, watoto wote wako busy kutafuta maisha na muda kidogo unaopatikina basi unaishia kwenye starehe na mambo yasiyojenga uwajibikaji wala ukomavu wa akili, maono na mitazamo

3. Uchumba wa muda mfupi, ndoa katika umri mdogo, ndoa bila kujiandaa
Kampeni kubwa ya kataa ndoa mifano yake inasababishwa pamoja na mengineyo lakini na hayo hapo juu

Ndoa si kitu cha kukimbilia ni jambo la kuleta muunganiko wa kudumu wa kihisia maono na mapenzi.. Hivyo uchaguzi wa mwenza sahihi sio jambo la dharura
Japo kuna mengine yatagundulika mbele ya safari, lakini walau kaa na mtu si chini ya miaka mitatu, ukichukua muda wa kutosha kumchunguza kwenye kila kitu
Hisia zake kwako
Mapenzi yake kwako
Utayari wake kwako
Maono yake
Kiwango chake cha akili, maarifa na ufahamu
Hamu zake
Tamaa zake
Madhaifu yake nknk
Unaenda mbele zaidi kwa kuangalia background yake hasa kupitia familia yake, ndugu zake jamaa na marafiki

Haya mambo yote yanakuhitaji muda wako wa kutosha tuu.. Usiamini kwa asilimia mia yote anayokuambia kuhusu yeye! Mchunguze mood yake ukiwa huna, ukiwa na stress ukiwa unazo ukiwa na furaha nknk
Vijana wengi hukimbilia ndoa katika umri mdogo.. Ndoa katika umri mdogo nyingi huvunjika baada ya muda mfupi

Ndoa inataka maandalizi hasa na kutambua baadhi ya mambo ya msingi
Unaoa binadamu na sio mnyama wa kufuga ama mdoli..
Uchumba ni tofauti kabisa na ndoa
Mtashare sasa chumba kimoja, kitanda kimoja, nyumba moja kila siku.. Mtaonana kila usiku mnataka hamtaki
Passion of love ikiisha mnabaki na hisia zenyu halisi na hapo sasa ndio ndoa inaanza rasmi
Unaanza kuyaona mapungufu ya mwenzako
Unaanza kumchoka
Unaanza kujilaumu nknk.. Wengi hushindiwa hapa na kukimbilia mitandaoni kulaumu na kuomba ushauri kwa wasio wana ndoa ama walioshindwa kwenye ndoa zao

Ndoa ni ya wawili tuu wa tatu ni Mungu wa nne ni shetani.. Ndani ya hiyo cycle wengine wooote hawahusiki kabisa na kama wakihusika wana mipaka yao

Mwisho wa sehemu ya pili.. Nitaendelea sehemu ya tatu
 
Sehemu ya pili
2.MALEZI kwenye makuzi
Kutokana na utandawazi maendeleo ya tech na harakati za maisha siku hizi wazazi hawana muda wa kukaa na vijana wao na kuwapa ABC za maisha ukikuta familia imekaa pamoja basi kama sio wakati wa chakula basi ni kuangalia tv nk
Maisha ya sasa pia hayatoi nafasi kwa vijana kushiriki shughuli za kujijenga kimwili na kiakili, uwajibikaji nk.. Wazazi, watoto wote wako busy kutafuta maisha na muda kidogo unaopatikina basi unaishia kwenye starehe na mambo yasiyojenga uwajibikaji wala ukomavu wa akili, maono na mitazamo

3. Uchumba wa muda mfupi, ndoa katika umri mdogo, ndoa bila kujiandaa
Kampeni kubwa ya kataa ndoa mifano yake inasababishwa pamoja na mengineyo lakini na hayo hapo juu

Ndoa si kitu cha kukimbilia ni jambo la kuleta muunganiko wa kudumu wa kihisia maono na mapenzi.. Hivyo uchaguzi wa mwenza sahihi sio jambo la dharura
Japo kuna mengine yatagundulika mbele ya safari, lakini walau kaa na mtu si chini ya miaka mitatu, ukichukua muda wa kutosha kumchunguza kwenye kila kitu
Hisia zake kwako
Mapenzi yake kwako
Utayari wake kwako
Maono yake
Kiwango chake cha akili, maarifa na ufahamu
Hamu zake
Tamaa zake
Madhaifu yake nknk
Unaenda mbele zaidi kwa kuangalia background yake hasa kupitia familia yake, ndugu zake jamaa na marafiki

Haya mambo yote yanakuhitaji muda wako wa kutosha tuu.. Usiamini kwa asilimia mia yote anayokuambia kuhusu yeye! Mchunguze mood yake ukiwa huna, ukiwa na stress ukiwa unazo ukiwa na furaha nknk
Vijana wengi hukimbilia ndoa katika umri mdogo.. Ndoa katika umri mdogo nyingi huvunjika baada ya muda mfupi

Ndoa inataka maandalizi hasa na kutambua baadhi ya mambo ya msingi
Unaoa binadamu na sio mnyama wa kufuga ama mdoli..
Uchumba ni tofauti kabisa na ndoa
Mtashare sasa chumba kimoja, kitanda kimoja, nyumba moja kila siku.. Mtaonana kila usiku mnataka hamtaki
Passion of love ikiisha mnabaki na hisia zenyu halisi na hapo sasa ndio ndoa inaanza rasmi
Unaanza kuyaona mapungufu ya mwenzako
Unaanza kumchoka
Unaanza kujilaumu nknk.. Wengi hushindiwa hapa na kukimbilia mitandaoni kulaumu na kuomba ushauri kwa wasio wana ndoa ama walioshindwa kwenye ndoa zao

Ndoa ni ya wawili tuu wa tatu ni Mungu wa nne ni shetani.. Ndani ya hiyo cycle wengine wooote hawahusiki kabisa na kama wakihusika wana mipaka yao

Mwisho wa sehemu ya pili.. Nitaendelea sehemu ya tatu
Vijana wanasema kama wanapata huduma zote za ndoa pasi na kuoa sasa kuoa kuna haja gani zaidi ya kujitia kwenye kifungo.
 
Back
Top Bottom