Changamoto ya kununua magari ya mkononi

Changamoto ya kununua magari ya mkononi

Hata Yale ya yard mengi Yana ujanja ujanja tu, pote ni kubahatisha, gari za mikononi kwa watu unaweza ukapata iliosimama mpaka ukashangaaa! Nilinunua matako ya nyani kwa mwarabu mmoja hivi kwa 14.5m nikakaa nayo wiki 2 nikaiuza 24m kwa mtu wangu wa karibu sana na iko imara balaa, mpaka sasa ina km 68,000 haina shida yeyote.
Umeshasema kwa mwarabu.alikuuzia ikiwa imetulia.sio ya janja janja.yupo dalal mmoj hiv yeye kila.gari ya mumama. Ni uongo mara a.c unaganda
 
Changamoto sana, Toyota fielder ilikufa hivi hivj naona, saev hii Nissan Bluebird QR 20 ingawa ni plate no. D ila natamani nipate mtu achukue hata kwa 3m,
mawazo kila siku
Duuh pole sanaa...!!
 
Nilitaka kusema kuhusu hilo. Mie ikiwa na tatizo la kurekebisha kwenye injini narekebisha gari ikigongwa napiga rangi yote. Nashangaa mtu anasema gari haijarudiwa rangi. Kwani kupiga rangi ni kosa? Bongo kuna ukosefu mkubwa sana wa elimu
 
Usinunue gari la mkononi kama hujawahi kumiliki gari kabisa, ukiwa na uzoefu na magari kidogo walau unaweza kujua abs za magari na changamoto zake.

Nimewahi kununua gari kwa mtu mara yangu ya Kwanza kununua gari, hakuna rangi niliacha kuona, nilikuwa namba za mafundi kila kona ya jiji mpaka Msata.
 
Naomba kuulza kwan hamna kampun ambayo unachagua gar unakuwa unalpia mdgo mdgo?
 
Back
Top Bottom