Mzee Kimamingo
JF-Expert Member
- Mar 31, 2024
- 1,861
- 4,462
Yani upo Dakika za lala salama We Mama Chukua yoyote mwenye Nia mtajuana huko mbeleni muda ushaenda huo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁😁 Aisee jf kwenye Ubora wake1993 mpaka 2024 ni miaka 31 na hapo hujasema ukweli wako kwamba umezaliwa 1985.
Tuchukulie una miaka 31. Kwa umri huo unadhani Kuna mwanaume wa Miaka kuanzia 32 na kuendelea atakuwa anakuhitaji?
Usiseme unawapenda hao wa 98, sema ulikuwa unajishebedua sana.
Kubali matokeo
😁Tangazo limewafikia mafaza soon watakufikia.
Mambo ya body count hayo 😁😁😁Kila anayempata ina maana ni wengi,yani huyu mpk aje kuolewa kashapitiwa na zaidi ya wanaume 100,halafu hiyo ndoa isipodumu atasema ana bahati mbaya kumbe anajitia mikosi ya kujitakia...
😁😁😁Single maza wa miaka 31 havutiwi na wanaume wakubwa. Duniani kuna vituko.
Nitag
done!Nitag
Una 31 certified mshangaziNaomba nianze kwa kujieleza,
Nitaelezea changamoto katika mahusiano ninayoyapitia, hasa upande wa tofauti ya umri. Mimi ni mwanamke, nimezaliwa mwaka 1993.
Mahusiano yangu ya kwanza yalikuwa na mwanaume aliyezaliwa mwaka 1992. Kama nilivyoeleza mwanzo, tulipishana mwaka mmoja tu, yeye akiwa mkubwa kwangu kwa mwaka mmoja. Hata hivyo, hatukudumu kwenye mahusiano yetu kutokana na tabia zetu kutowiana.
Sasa, baada ya kuachana naye, wanaume ninaowapata ni wale waliozaliwa mwaka 1998. Ninapata changamoto kubwa kuhusiana na suala la umri. Nashindwa hata kufikiria kubeba mimba kwa sababu nawaona wadogo kwangu, na pia ninaogopa kuchekwa na jamii inayonizunguka.
Hata hivyo, utakuta tunapendana vizuri, na tatizo pekee linakuwa umri. Naomba ushauri kwa sababu nina mtoto mmoja wa miaka kumi, na ninatamani kuanzisha familia nyingine. Umri unazidi kwenda, lakini wanaume ninaowapata naowapenda ni wadogo kwangu.
Sijabahatika kupata mwanaume wa umri mkubwa ambaye nitampenda. Si kwamba hawapo, lakini hawanivutii kabisa!
Pole Sana binti yangu .Naomba nianze kwa kujieleza,
Nitaelezea changamoto katika mahusiano ninayoyapitia, hasa upande wa tofauti ya umri. Mimi ni mwanamke, nimezaliwa mwaka 1993.
Mahusiano yangu ya kwanza yalikuwa na mwanaume aliyezaliwa mwaka 1992. Kama nilivyoeleza mwanzo, tulipishana mwaka mmoja tu, yeye akiwa mkubwa kwangu kwa mwaka mmoja. Hata hivyo, hatukudumu kwenye mahusiano yetu kutokana na tabia zetu kutowiana.
Sasa, baada ya kuachana naye, wanaume ninaowapata ni wale waliozaliwa mwaka 1998. Ninapata changamoto kubwa kuhusiana na suala la umri. Nashindwa hata kufikiria kubeba mimba kwa sababu nawaona wadogo kwangu, na pia ninaogopa kuchekwa na jamii inayonizunguka.
Hata hivyo, utakuta tunapendana vizuri, na tatizo pekee linakuwa umri. Naomba ushauri kwa sababu nina mtoto mmoja wa miaka kumi, na ninatamani kuanzisha familia nyingine. Umri unazidi kwenda, lakini wanaume ninaowapata naowapenda ni wadogo kwangu.
Sijabahatika kupata mwanaume wa umri mkubwa ambaye nitampenda. Si kwamba hawapo, lakini hawanivutii kabisa!