Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda mvua samakiMwanaume unavaaje boxa....?
Vaa bukta ya man u...tosha
😄Shona za kitenge 😎😎
Shona za kitenge [emoji41][emoji41]
Avae nani sasa niliiweka bandiko kwa ajili ya kujua wapi kwa local shops nitapata ila now nilijidakia zangu waturuki nikaishi Cavin klein sijawah zipendaVaa peke yako mm now nazipenda za Calvin Klein
Ni mzuri Sana kuliko zile za draft Zina tabia ya kujipandisha juu ya mapaja sasa izi Calvin Klein zinakuweka huru japo zinakuwa Zina bana Sana Kama tait but ziko poa Sana try itAvae nani sasa niliiweka bandiko kwa ajili ya kujua wapi kwa local shops nitapata ila now nilijidakia zangu waturuki nikaishi Cavin klein sijawah zipenda
Hizi nzuri sn,napataje hizi mkuu?
Tembelea kkoo zipo madukaniHizi nzuri sn,napataje hizi mkuu?
Shona za kitenge 😎😎
Mkuu uliagiza Nje au ulipata hapahapa Bongo?!Inshu ni kua zinachanika pale mzee baba anapokaa na sio kutatuka nyuzi nimeshapokea mzigo wangu wa turkey kupitia silent ocean so sina neno najigaragaza
NakaziaMwanaume unavaaje boxa....?
Vaa bukta ya man u...tosha
Hizi kiuno size 52 napata kweli au ndo tule tudogo nivikaa maungoni kanakua kama ndama anakatafuna?