Changamoto ya wahitimu wa zamani (2019 kurudi nyuma) kufanya usaili wa kuandika (written interview) pamoja na wahitimu wapya (2022-2021)

Changamoto ya wahitimu wa zamani (2019 kurudi nyuma) kufanya usaili wa kuandika (written interview) pamoja na wahitimu wapya (2022-2021)

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Siyo siri, kuwa mtu akikaa miaka mingi baada ya kuhitimu huku kila siku anapambana na maisha akili huwa inachoka. Halafu unapambanishwa na vijana fresh toka vyuoni akili bado inacharge hasa.

Ila hamna jinsi, itabidi mpambane tu. Tatizo ni kwamba unakuta mtu steam ishakata, baada ya kufanya saili kibao kwa gharama kubwa ya nauli, malazi na chakula hasa walio mbali na vituo vya usaili.

Hebu wahitimu wakongwe tupeni ushuhuda na uzoefu wenu na saili za sekretarieti ya ajira jinsi mnavyopambana fresh graduates, je, mnatoboa?
 
Ila nadhani mhitimu mkongwe akifanikiwa kupenya kwenye written, hatakamatika kwenye oral, uzoefu wa maisha utambeba na atakuwa na confidence zaidi ya fresh graduates!
 
Mtu kamaliza chuo miaka takriban 7 iliyopita halafu anapambanishwa paper na damu changa zilizohitimu 2022 nadhani ni kuwatesa!! Napendekeza vijeba wafanyiwe tu oral interviewl!! Mimi ni mtumishi mstaafu sina maslahi katika hili ila naomba vijeba wafanyiwe fair!! Vijeba wanafikiria wale nini wavae nini halafu uwapambanishe na damu changa ambao bado hata vocha wanapewa na wazazi/walezi wao!!
 
Mtu kamaliza chuo miaka takriban 7 iliyopita halafu anapambanishwa paper na damu changa zilizohitimu 2022 nadhani ni kuwatesa!! Napendekeza vijeba wafanyiwe tu oral interviewl!! Mimi ni mtumishi mstaafu sina maslahi katika hili ila naomba vijeba wafanyiwe fair!! Vijeba wanafikiria wale nini wavae nini halafu uwapambanishe na damu changa ambao bado hata vocha wanapewa na wazazi/walezi wao!!
mbona lugha yako ni kama ya vijana wahuni? mzee utatumia lugha za mitaani?..vijeba, vocha 😀 😀 😀 😀
 
mbona lugha yako ni kama ya vijana wahuni? mzee utatumia lugha za mitaani?..vijeba, vocha 😀 😀 😀 😀
Ndiyo lugha wanayotumia vijana ambao ndio walengwa wa uzi huu!! Hao tunaosema vijeba kusema ukweli na wao ni vijana wa miaka 30++ vs Vijana chini ya miaka 25!! Samahani ila walengwa hawana tatizo na hilo!!
 
Mtu kamaliza chuo miaka takriban 7 iliyopita halafu anapambanishwa paper na damu changa zilizohitimu 2022 nadhani ni kuwatesa!! Napendekeza vijeba wafanyiwe tu oral interviewl!! Mimi ni mtumishi mstaafu sina maslahi katika hili ila naomba vijeba wafanyiwe fair!! Vijeba wanafikiria wale nini wavae nini halafu uwapambanishe na damu changa ambao bado hata vocha wanapewa na wazazi/walezi wao!!
@secretarieti ya ajira
 
Back
Top Bottom