Changamoto za kupata mtoto mchanga ukiwa umri wa kustaafu, unakuwa ni Baba Babu. Dawa ni kujipanga kabla, vinginevyo ni kubebesha watu mizigo yako

Watu tumeona vivid examples jinsi wanaume waliozaa uzeeni wanavyohangaika na watoto wadogo...anyway utajiju its your life,its your choice
Achaa uwoga wa Maisha,hukujileta hapa Duniani,na Mshukhuru Mungu kwa kila Jambo!!
 
Msome vizuri utamwelewa.unafikiri huyo Binti aliyemsaidia angekubali kuishi naye bila mtoto?
 
Daah!!
Nina zaidi ya nusu karne halafu mwezi uliopota nimepata mtoto wa kike!!
Tena sio kwa mke wangu, ni mchepuko, chini ya 30!!
 
Pasco hongera sana, Umevipigana vita vilivyo vizuri, Japo bado hujaumaliza mwendo. Stori ya maisha yako ni ya kuvutia. Andika Autobiography.
 
what a testimony.
Namzoom mtu kwenye hii simulizi yako.
 
Kaka pascal mungu akupe Maisha marefu zaidi. Sijafika huko lakini umenipa somo kubwa Sana. Nitaishi katika maandishi yako.
 
Duh!..
 
Leo ndio siku yenyewe ya wanawake duniani, hongera sana kwa wanawake wote duniani wakiwemo wanawake hawa!.
P.
 
Unaweza ukatamani kuoa kuolewa mapema nature ikakataa ukajapata ndoa ukubwani utafanyaje na sio kosa lako
 
Watoto wako wakubwa 2, kwa mke wa kwanza mnashirikiana vyema?
 
Watoto wako wakubwa 2, kwa mke wa kwanza mnashirikiana vyema?
Asante sana ndugu yangu Rashidi Jololo , hili ni swali zuri sana na la msingi sana!.
Siku zote ndoa inapovunjika, sio wanandoa wote hukubaliana amicably, sometimes kuna bitterness na hostilities, ikitokea mama kuachiwa watoto na baba ku abandons and neglects total child support, usually women becomes very bitter, na humwaga sumu kwa watoto kumhusu baba yao!.

Ndio muhimu sana nawasisitiza vijana, ukimpenda msichana, ukadhamiria kumuoa, it's very good to be friends kwanza, before you are lovers!, go steady.

Hivyo mkiwa friends before your are lovers, ikija ku happen that you can't be lovers anymore, you can still be friends!, hivyo mama hawezi kumwaga sumu kwa watoto against baba yao!.

Mimi we are still friends and sometimes not often, we talk about kids!.
P
 
I hope kiporo hakipashwi
 
No ,mi huwa nabisha sn , inategemea na mtu,watu hawafanani... mama angu (nurse) alizaa akiwa na zaidi ya 40 na wote tuko vzr Tena tulikuwa tuna akili balaa class...dada angu wa ba mkubwa,amezaa akiwa na 43 na ana mimba nyingine Tena very healthy na watt hawana shida
Rfk ake dada angu nae ana 45 + amezaa na mtt Yuko vzr Hana shida yyt mkubwa kabisa.
Labda hayo mambo yako huko mjini
Huku bush wanawake mpk 50 wapo wanao breed kabisa
 
Duh , kwakweli uko sahihi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…