Changamoto za kupata mtoto mchanga ukiwa umri wa kustaafu, unakuwa ni Baba Babu. Dawa ni kujipanga kabla, vinginevyo ni kubebesha watu mizigo yako

Mkuu taratibu basi, mazingira yenyewe, hayana mwenyewe si tunaambizana hakuna Mungu!
Nimecheekaaah Sana daah! Akili kubwa ndiyo hizi
Kama hakuna Mungu basi ndiyo sisi tuna wajibu mkubwa zaidi wa kutunza mazingira.

Maana hatutaweza kumuomba Mungu atutunzie mazingira.

Na moja ya njia za kutunza mazingira ni kuacha kuzaana kama sungura.

Kuwa na watoto wengi ni moja ya sababu kubwa kabisa zinazoongeza uharibifu wa mazingira.

Ila Afrika hususan kuna watu wengi hawafikirii hili, ni wabinafsi, wanawaza pafupi tu.
 
Bahati mbaya dunia haiongezeki, eneo, iko vile vile!
 
Bahati mbaya dunia haiongezeki, eneo, iko vile vile!
Kwa kasi hii, kila mtu akizaa watoto 9 by the age of 60, ndani ya miaka takriban 250 tutahitaji dunia zingine 400.

Kwanza kuzaa ukiwa mzee ni ukatili kwa watoto.

Mpaka mtoto anaona aibu kusema huyu baba yangu, anadanganya huyu babu yangu!
 
Kuna shule darasani wanakaa watoto 20 tu, ukitaka mtoto apate nafasi unamuandikisha mara tu akishazaliwa. Na uwe na uhakika wa ada yake mpaka anamaliza shule.
 
Mbona husifii mkuu mayala .. sikuon ukisema kauli ile ya anau..... Mwing
 
Happy birthday PM Snr Mungu akuweke Sana umlee kijana PM jnr vizuri
Sijui kwann? Nmetoka kukuappriciate Sana jinsi ulivyo mkweli hongera brother
Asante Sana Mkuu Hon Nkundwe , mimi hivi ndivyo nilivyo, niko very honest, frank, trustful, truthfully, very open and very transparent.

P.
 
Huyu mke wa Marekani yuko wapi kwa sasa?
Hao watoto mliozaa nje ya nchi wameamua kuchagua uraia wa nchi gani?
 
Kwa kasi hii, kila mtu akizaa watoto 9 by the age of 60, ndani ya miaka takriban 250 tutahitaji dunia zingine 400.

Kwanza kuzaa ukiwa mzee ni ukatili kwa watoto.

Mpaka mtoto anaona aibu kusema huyu baba yangu, anadanganya huyu babu yangu!
Miaka 60 siyo mchezo, huyu Paskali siyo Mayalla, hakuna njaa hapo!
Mwenye shibe pekee ndiyo aweza kufanya hivyo!
Wengi siku hizi umri huo, anywe panadol, betri wabust na sulphuric acid! Taabu tupu
 
Umepanga.

Hata kuwa kwako Catholic leo ni kupanga.

Na unaweza kupanga kutokubali ujinga unaofundishwa na kanisa.

Usisingizie hilo.

Kwani kila Mkatoliki ana watoto 9?
Kiukweli kuwa M Catholic sikupanga imetokea tuu nimezaliwa nikanikuta nimezaliwa kwenye I Catholic.

Pili nakubalina na wewe, kuna ujinga mwingi kwenye baadhi ya mafundisho ya dini ya baadhi ya madhehebu tukiwemo sisi Wakatoliki.

Catholics, haturuhusiwi kutumia any birth control zozote, hivyo wa Catholics wowote wanaotumia kinga yoyote, including withdrawal ni dhambi!.

Hivyo kuna Catholics wengi wanatenda sana dhambi za mauaji ya watoto watarajiwa wakiwa kwenye stage ya mbegu.

Kwangu ni afadhali kuangamiza mbegu ili kuzuia kuliko kuua kiumbe baada ya kutungwa!.
Hivyo kwetu it just happened and we had choice to terminate it, but sisi, both of us, mimi na wife wangu ni ma pro life sio ma pro choice.
P
 
Huyu mke wa Marekani yuko wapi kwa sasa?
Hao watoto mliozaa nje ya nchi wameamua kuchagua uraia wa nchi gani?
She is a US subject, both of them ni US Subject, wa kike ni like mother like daughter, hana mpango na bongo, my boy ni like father like son, nasubiria uraia pacha atimbe Bongo.

Somo jingine zuri Kwa wapenzi wapya it's very good to be friends with opposite sex before you becomes lovers, yaani jenga kwanza urafiki, so that you are friends before you are lovers, such that, even if you can't be lovers anymore, you can still be friends. She is now, a very good friend of mine.
P
 
Belated wishes to you & Jr.
Have a wonderful year ahead filled with gorgeous moments.
Article imetulia.
Jamani my dearest BelindaJacob!, long time!. Kiukweli you are my first JF love nilipojiunga jf nilikupenda, na ile zawadi ulioniletea siku ya birthday yangu Ile, sijabahatika kukutana nayo popote!.

Ukija tena Bongo, let's hook around, enzi zile Samaki Samaki was the only place, now Dar kuna hundreds places to hook around, ukija nitakupeleka Kidimbwi.

Glad to hear from you after such a long time!.
P
 
Mbona kaeleza Kila kitu, hujasoma Uzi wote uncomment. Kasema :
US ana 2
Bongo one kapiga 3
Bongo two kapiga 4
Haya jumlisha uone kama kazaa na mke mmoja watoto 8.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Paschal kweli uzee umefika, umeacha kukimbizana na 'totoz'?
HBD
Mkuu platozoom , kuniambia nimeachana na kukimbizana na totoz, ni kunionea, kiukweli kwa Bongo, ukiwa nazo, good looking, well dressed, good job, gari zuri, kiukweli kabisa totoz ndio zinakuja zenyewe, wewe ndio unawakimbia!.
Naomba nikupe ushuhuda
Nimejiunga UDSM fol nikiwa 'loaded' just imagine vile videmu bomba vya chuo vinavyotegemea boom!. Nilikuwa naishi Block F, Mabibo Hostel, single room!. Hivyo ningekuwa ni kweli ni mzee wa totoz, ningewatafunaje?!. Amini usiamini, nimemaliza miaka yote 4, bila bila!. Yaani bila kutafuna kifaranga chochote cha UDSM!.
P
 
Asante kwa somo zuri!
Lakini hata hivyo huwezi kuzuia mpango wa Mungu wa kuleta mtu anayemtaka duniani hata kama ungekuwa na miaka mingapi! Kwa hiyo hongera kwa kupata mtoto,mengine mwachie Muumba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…