Tsutsugamushi123
Member
- Apr 18, 2020
- 20
- 14
Nimejaribu kuondoa taarifa za chuo nilizokose bila mafanikio, mwenye uelewa na hiki kitu naomba msaada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisoma Tangazo linaonyesha hata wa degree wanaomba shule za msingiPoa mkuu
Hakuna mtu anayesoma barua Tamisemi narudia hamna anayesoma barua 120kMkuu mimi nimechagua kwanza shule nikasave kwa pamoja ndio nikaweka barua.
Sasa nilikuwa nataka nibadilishe barua niweke nyingine maana kuna sehemu nimegundua makosa.
Je nikiweka barua mpya nitatakiwa na shule nichague upya?
Ushaatach Tamisemi ndo Wana view acha kiherehereView attachment 2202927wakuu nikitaka kuangalia cheti inaonyesha hivyo shida nini
Hata Mimi inaandika hivyoView attachment 2202927wakuu nikitaka kuangalia cheti inaonyesha hivyo shida nini
Search kwenye PC st John chagua ya mwisho kabisa imeandikwa St John University Tanzania wife alikuwa campus ya DSM nimetoka kumuombea leo2019 chuo st john broh
Vyuo vingi vya ualimu haswa vya selikal vipo nectaYaani taarifa za chuo zitoke NECTA? hapo hapana.
Huwezi ukawa umesoma chuo kikuu halafu urudi kutafuta taarifa zako za chuo NECTA.
Chagua chuo kingine ambacho unahis coz yako ipo kisha ukishapata hiyo coz rudi juu yake tafuta tena chuo chako halisShukran mkuuu
Nimefanya kama ulivyoniongoza lkin bado course haziji...
Nadhani ukishaatach lazima u confirm Kama ulichojaza ni sawaUshaatach Tamisemi ndo Wana view acha kiherehere
kwa computer ndio rahisi....Kwa upande wa taarifa za chuo kama umekosea unaweza kubadilisha?
muda mwingine huwa inakataa haswa kwenye simu ila kama unao uhakika kuwa uliweka kitu sahihi punuguza preshaView attachment 2202927wakuu nikitaka kuangalia cheti inaonyesha hivyo shida nini
weka geography...baada ya hapo chaguo shule zako 2 au tatu kisha rudi kaifute geography...harafu nenda kaongeze shele zako za economic...mpaka hapo utakuwa umewaweza..awawezi kutuzinguaGeography can not be with Economics , wakuu kila nikiadd somo la economics nakutana na ujumbe huo hapo juu .
Nimejaribu kuanza na Economic nilivyoongeza geography tena imeniambia
" economics can not be with geography "
Sasa wakuu nafanyaje kwenye hii changamoto ?..
kada gani....kama unaweza nitumie attchment zako inbox nikuwekeeMsaada kila nikiweka taarifa za chuo napata ujumbe huoView attachment 2203335
Labda vya Diploma na Certificate ila sio vya DegreeVyuo vingi vya ualimu haswa vya selikal vipo necta
Uwalimukada gani....kama unaweza nitumie attchment zako inbox nikuwekee
Ukishindwa wewe usiseme ni tatizo sugu. Ulizia kwa anaejua mbinu mbadala uelekezwe huwezi jua vyote kwenye hii Duniatatizo sugu kwa ndugu zangu wa kada ya afya...kwakweli hili tatizo nimehangaika nalo ili niweze kuwasaidia baadhi ya marafiki zangu mnao jaribu kuomba ila nimeshindwa...tutegemee kudra za mwenyezi Mungu...tamisemi walitatue hili tatizo mapema....mikoa haifunguki...kwa baadhi ya kadaView attachment 2203378