King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Sio Mkuu wa wilaya ya pangani huyo?Kuna mwanamke alimtafutia mme wake mke wa pili(yaani alijitafutia mke mwenza) na alikuwa pini zaidi yake, pia akampa mme wake pesa ili akatoe mahari. Ni mindset ya mtu tu.
dooh polee sana... ila sometimes sisi wanaume banaAsante mpenzi..nimepoa na niko kwwenye safari ya kumove on. bora kumdate mume wa mtu sio bf wa mtu..
Sio Mkuu wa wilaya ya pangani huyo?
Pole sana yatakwisha tu ila wanawake mapenzi yanawaumiza sana sijui kwanini tofauti na m/me.Acha tuu. Kuna muda nawaza mpaka naamsha vidonda vya tumbo ila ndo moyoo
Kweli nini 😕😕😕
Hahahah karibu chamani
Shost
Watatu,na kuna mmoja namfanyia usail,ni handsome kwenye 35's ,kazi nzuri ,smart guy,ana focus na malengo ya maisha yake,afu ni mjita pia mweehUnao majamaa wangapi?
Dada una akiri sanaUsiusemee moyo. Tema mate chini mama. Yeye ni mwanaumr kama walivyo wengine. Usimkanie
Labda ulimuumba mwenyewe, ila Mwanaume atabaki kuwa Mwanaume tu,Wangu lazaliwa dunia nyingine
Watatu,na kuna mmoja namfanyia usail,ni handsome kwenye 35's ,kazi nzuri ,smart guy,ana focus na malengo ya maisha yake,afu ni mjita pia mweeh
Wanawake mapenzi yanawaumiza sababu wao wanapenda toka moyoni lakini sisi wanaume tunatamani tu.Pole sana yatakwisha tu ila wanawake mapenzi yanawaumiza sana sijui kwanini tofauti na m/me.
Yes napiga mechi atleast 12 times a monthWote watatu wanabanjuka naww...upo vzr
Kama unampenda kumuacha ni ngumu na hasa kama ye anakupenda pia.Kuna muda inabidi vitu vingine tujifanye hatuvioniShoga angu subiri uendelee kuwa nae halafu uje kujua alikua anakudanganya na ushafall in love.
Niko kwenye situation hiyo na nampenda huyu kaka kufa ila ana gf na alinidanganya he's single. Nimekuja shtuka ana gf na anaishi nae jamani. Napambana kumuacha ila nashindwaaa.
Yes napiga mechi atleast 12 times a month
Kuna ustadh kaoa wanakaa nyumba moja kasoro vyumba.Bimkubwa vyumba vya ndani,bimdogo vya uaniLabda wawe lesbians..
Hapana nilichelewa kidogo kuanza haya mambo so nafidiaSasa atakayekuja kuoa si atakuta umesomesha kilometa sn
Hapana nilichelewa kidogo kuanza haya mambo so nafidia
Si wajua jinsi yalivyo matamu? Ukianza huachi
Anyway mshauri mwenye mada please
Shoga angu subiri uendelee kuwa nae halafu uje kujua alikua anakudanganya na ushafall in love.
Niko kwenye situation hiyo na nampenda huyu kaka kufa ila ana gf na alinidanganya he's single. Nimekuja shtuka ana gf na anaishi nae jamani. Napambana kumuacha ila nashindwaaa.
Shoga angu subiri uendelee kuwa nae halafu uje kujua alikua anakudanganya na ushafall in love.
Niko kwenye situation hiyo na nampenda huyu kaka kufa ila ana gf na alinidanganya he's single. Nimekuja shtuka ana gf na anaishi nae jamani. Napambana kumuacha ila nashindwaaa.