MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,057
- 39,387
kuna dua leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna dua leo
Na anaye date na mume wa mtu kwani anatofauti gani na hawa si Bora hawa mara Mia mbiliHebu tuambiane mlio katika ukewenza ,mmewezaje?mimi siwezi maana nataka mwanaume awe na mimi muda wote na nikimpenda mwanaume awe karibu yangu kila saa kila muda,na ninataka kila saa anipe mambo sasa ukewenza nyie mnawezaje hamna hamu au?inakuwaje,
Akili yangu inajua nna mme halaf asilale kwangu akalale kwingine ,nnaishi na mwanaume lazima anipe mambo muda wote nikitaka au akitaka nampa,,nikifikiria tu kama ni ukewenza yupo na mke mwingine nahisi nyege ajabu nataka itakuwaje[emoji23]
Basi kila mmoja atajifanya hajui ukewenza semeni ukweli mlio na wakewenza tupeni ustahimilivu ikitokea na sisi tujue namna ya kurekebisha,maana sioni dalili hata ya kuwaza kumuacha G,ndio kwanza penzi linaninogea kila sehemu,zamani niliokota kokoto sasa nimeokota dhahabu nadekezwa,naringa,napendwa mpaka najisikia raha na furaha
Jinsi ambavyo jamaa amekuzingua.
Sisaidiki ndo shida. Namuacha mtu nikitaka ila sio pressure from outsiders. Rafiki zangu wameongea wamenyoosha mikono. Nitamuacha I know ila moyo ukiea tayari kama sada hivi..
Kulikuwa na shida mahaliKuna mwanamke alimtafutia mme wake mke wa pili(yaani alijitafutia mke mwenza) na alikuwa pini zaidi yake, pia akampa mme wake pesa ili akatoe mahari. Ni mindset ya mtu tu.
If you cant resist the rape,lay down for enjoyment! Usijiumize Sana nafsi fumba macho jilie rahaAcha tuu. Kuna muda nawaza mpaka naamsha vidonda vya tumbo ila ndo moyoo
Duh hvi wanaume wa kweli watakuwa wanaishi sayari ipi maana duniani inaonekana wapo waongo tuKikubwa usimpe mtu moyo wako wote aisee. Wanaume ni waongo sana ukishanogewa ndo unajua ukweli. Kikubwa ukiwa na mahusiano jijengee mko wengi Pata raha yako chapa lapa as long as ni nguvu zake hata akiwa na kumi atajiju yeye
Basi tu hajapata sahihi siku akipata ataniambia naamini,ukitendwa unaona kila mwanaume vile vile humuamini
Wanaweza sababu ni moja ya sunnah alizofanya mtume (sw)
Watatu,na kuna mmoja namfanyia usail,ni handsome kwenye 35's ,kazi nzuri ,smart guy,ana focus na malengo ya maisha yake,afu ni mjita pia mweeh
Kuna tofauti gani na waume za watu unaodate naw mkuu,nao uko nao muda woteHebu tuambiane mlio katika ukewenza ,mmewezaje?mimi siwezi maana nataka mwanaume awe na mimi muda wote na nikimpenda mwanaume awe karibu yangu kila saa kila muda,na ninataka kila saa anipe mambo sasa ukewenza nyie mnawezaje hamna hamu au?inakuwaje,
Akili yangu inajua nna mme halaf asilale kwangu akalale kwingine ,nnaishi na mwanaume lazima anipe mambo muda wote nikitaka au akitaka nampa,,nikifikiria tu kama ni ukewenza yupo na mke mwingine nahisi nyege ajabu nataka itakuwaje[emoji23]
Mi wangu ni tofauti kabisa,soon tunaishi wote na ndugu wanajua wote pande zote
Duh hvi wanaume wa kweli watakuwa wanaishi sayari ipi maana duniani inaonekana wapo waongo tu
Nakuambia hivi nishapitia wanaume wa hivyo shule kamili ninayo kichwani, G wangu ni malaika hakuna kama yeye jasiri haachi asili nakuambia,
Sio mimi mkuu nilimquote mleta madaKuna tofauti gani na waume za watu unaodate naw mkuu,nao uko nao muda wote
Haya mkuu,enjoySio mimi mkuu nilimquote mleta mada
Mie nimeridhika na waume za watu (wangu)ambao asilimia 90 ya muda wao wanaspend nami