Changamoto za uke wenza

Changamoto za uke wenza

Hebu tuambiane mlio katika ukewenza ,mmewezaje?mimi siwezi maana nataka mwanaume awe na mimi muda wote na nikimpenda mwanaume awe karibu yangu kila saa kila muda,na ninataka kila saa anipe mambo sasa ukewenza nyie mnawezaje hamna hamu au?inakuwaje,

Akili yangu inajua nna mme halaf asilale kwangu akalale kwingine ,nnaishi na mwanaume lazima anipe mambo muda wote nikitaka au akitaka nampa,,nikifikiria tu kama ni ukewenza yupo na mke mwingine nahisi nyege ajabu nataka itakuwaje[emoji23]

Basi kila mmoja atajifanya hajui ukewenza semeni ukweli mlio na wakewenza tupeni ustahimilivu ikitokea na sisi tujue namna ya kurekebisha,maana sioni dalili hata ya kuwaza kumuacha G,ndio kwanza penzi linaninogea kila sehemu,zamani niliokota kokoto sasa nimeokota dhahabu nadekezwa,naringa,napendwa mpaka najisikia raha na furaha
Na anaye date na mume wa mtu kwani anatofauti gani na hawa si Bora hawa mara Mia mbili
 
Kuna mwanamke alimtafutia mme wake mke wa pili(yaani alijitafutia mke mwenza) na alikuwa pini zaidi yake, pia akampa mme wake pesa ili akatoe mahari. Ni mindset ya mtu tu.
Kulikuwa na shida mahali
 
Kikubwa usimpe mtu moyo wako wote aisee. Wanaume ni waongo sana ukishanogewa ndo unajua ukweli. Kikubwa ukiwa na mahusiano jijengee mko wengi Pata raha yako chapa lapa as long as ni nguvu zake hata akiwa na kumi atajiju yeye
Duh hvi wanaume wa kweli watakuwa wanaishi sayari ipi maana duniani inaonekana wapo waongo tu
 
Wajta ni wahuni Kuwa naye makini utaja lia. Labda umchune hafu ukuacha ukolee ndo wakuonyeshe true color
Watatu,na kuna mmoja namfanyia usail,ni handsome kwenye 35's ,kazi nzuri ,smart guy,ana focus na malengo ya maisha yake,afu ni mjita pia mweeh
 
Hebu tuambiane mlio katika ukewenza ,mmewezaje?mimi siwezi maana nataka mwanaume awe na mimi muda wote na nikimpenda mwanaume awe karibu yangu kila saa kila muda,na ninataka kila saa anipe mambo sasa ukewenza nyie mnawezaje hamna hamu au?inakuwaje,

Akili yangu inajua nna mme halaf asilale kwangu akalale kwingine ,nnaishi na mwanaume lazima anipe mambo muda wote nikitaka au akitaka nampa,,nikifikiria tu kama ni ukewenza yupo na mke mwingine nahisi nyege ajabu nataka itakuwaje[emoji23]
Kuna tofauti gani na waume za watu unaodate naw mkuu,nao uko nao muda wote
 
Na hivi wanaume wenye mke mmoja wanawezaje?
Yaani nataka mambo eti mtu aniambie sijui niko kwenye siku zangu wakati ni zake sio zetu?
Mimi nataka kila siku kwahiyo kama mtu anajijua ana siku zake na sio zetu basi akiwa kwenye hizo siku zake atalala mwenyewe na mimi nitakua naenda wapi.
Kama nyinyi hamuupendi uke wenza wa hadharani ila wa gizani upo mpaka dunia inaisha.
Wanawake mtafanikiwa kuzuia hilo pale mtakapofanikiwa kuingia maabara na kutengeneza wanaume wenu wa maabara ila sisi wa Mungu acheni kujidanganya sisi tumeshapigwa sindano na aliyetuumba .
 
Back
Top Bottom