Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Ahahaha ,ipo siku utapata utakuwa shahidi yangu utaniambia yoteEiiiish..anajua mimi na yeye tukoje anajiosha tu hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaha ,ipo siku utapata utakuwa shahidi yangu utaniambia yoteEiiiish..anajua mimi na yeye tukoje anajiosha tu hapa
Sema hakianani? copied.Asante mpenzi..nimepoa na niko kwwenye safari ya kumove on. bora kumdate mume wa mtu sio bf wa mtu..
Hihiiiiiiiiiii 😛😛😛Ukisoma yanayoandikwa humu unainuka unaenda kuchekea chooni
I know najua kila kitu hakuna ambacho sijapitiaAsante mpenzi..nimepoa na niko kwwenye safari ya kumove on. bora kumdate mume wa mtu sio bf wa mtu..
Ahahaha ,ipo siku utapata utakuwa shahidi yangu utaniambia yote
Basi uwe rafiki mwemaAcha ujinga wewe.
Mimi ntamuumiza zaidi.
Maadui hawaishi hata siku moja
Badili moyo wakoNitapata sema moyo langu gumuu
Mwl KashashaShoga angu subiri uendelee kuwa nae halafu uje kujua alikua anakudanganya na ushafall in love.
Niko kwenye situation hiyo na nampenda huyu kaka kufa ila ana gf na alinidanganya he's single. Nimekuja shtuka ana gf na anaishi nae jamani. Napambana kumuacha ila nashindwaaa.
Mwl Kashasha
Hii Inaitwa Long Range Football
Hao wawil mm wa kwanzaHahahahaha jf kila mtu anajifanya mwema,hakuna kitu nakuambia wanaigiza wote wachafu akiwepo labda wawili
Badili moyo wako
Mwl Kashasha
Hii Inaitwa Long Range Football
Hihiiiiiiiiiii 😛😛😛
Aolewe wapiUmeolewa lakini?
Vile unatembea na beat mama, alafu sijui umenipiga umeme, namba yako haipatikanag tena [emoji14]Usiusemee moyo. Tema mate chini mama. Yeye ni mwanaumr kama walivyo wengine. Usimkanie
Ukifanikiwa kumuacha uniambieShoga angu subiri uendelee kuwa nae halafu uje kujua alikua anakudanganya na ushafall in love.
Niko kwenye situation hiyo na nampenda huyu kaka kufa ila ana gf na alinidanganya he's single. Nimekuja shtuka ana gf na anaishi nae jamani. Napambana kumuacha ila nashindwaaa.
Basi uwe rafiki mwema
Hahahah karibu chamaniAsante mpenzi..nimepoa na niko kwwenye safari ya kumove on. bora kumdate mume wa mtu sio bf wa mtu..