Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
You wishWe subir upandishwe cheo uwe bi mkubwa ndio utajua wenzio wamewezaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You wishWe subir upandishwe cheo uwe bi mkubwa ndio utajua wenzio wamewezaje
Hahahahaha jf kila mtu anajifanya mwema,hakuna kitu nakuambia wanaigiza wote wachafu akiwepo labda wawiliTukisema wengine tumewapanga kama folen tunaishiwa kutukanwa.Jf the land of saints.anyway bado tuko bikra so hatujui waongelea nn.sorry lakin
Hebu itolee maelezo hii habari yako kidogo manake naona kama unajicontradict shost.Hebu tuambiane mlio katika ukewenza ,mmewezaje?mimi siwezi maana nataka mwanaume awe na mimi muda wote na nikimpenda mwanaume awe karibu yangu kila saa kila muda,na ninataka kila saa anipe mambo sasa ukewenza nyie mnawezaje hamna hamu au?inakuwaje,
Akili yangu inajua nna mme halaf asilale kwangu akalale kwingine ,nnaishi na mwanaume lazima anipe mambo muda wote nikitaka au akitaka nampa,,nikifikiria tu kama ni ukewenza yupo na mke mwingine nahisi nyege ajabu nataka itakuwaje[emoji23]
Mi wangu ni tofauti kabisa,soon tunaishi wote na ndugu wanajua wote pande zote
Shoga angu subiri uendelee kuwa nae halafu uje kujua alikua anakudanganya na ushafall in love.
Niko kwenye situation hiyo na nampenda huyu kaka kufa ila ana gf na alinidanganya he's single. Nimekuja shtuka ana gf na anaishi nae jamani. Napambana kumuacha ila nashindwaaa.
Wangu ni tofauti sio kama wanaume zenu haoUsiusemee moyo. Tema mate chini mama. Yeye ni mwanaumr kama walivyo wengine. Usimkanie
Msaidie ,,kwa njia yangu nipp salama asilimia 100Nashindwa kupata maneno exactly juu ya hii kitu, ila kuna kitu nakielewa kwako ambacho kinasababisha.
Ninajaribu kutengeneza sentensi kiusahihi then nitakwambia.
Ila nimeumia Mchumba.
NdioKwa hiyo uzi wa wake zetu sie haturuhusiwi kushare eksipiriensi sio?
Mi sitaki sana na anajua ntaua mtutrust me or not hakuna mwanamke anaetaka ukewenza
Msaidie ,,kwa njia yangu nipp salama asilimia 100
Wangu ni tofauti sio kama wanaume zenu hao
Ndoa ni liniMi wangu ni tofauti kabisa,soon tunaishi wote na ndugu wanajua wote pande zote
Basi tu hajapata sahihi siku akipata ataniambia naamini,ukitendwa unaona kila mwanaume vile vile humuaminiSiyo tatizo lake, ni tatizo letu sisi wanaume.
Nashindwa kupata maneno exactly juu ya hii kitu, ila kuna kitu nakielewa kwako ambacho kinasababisha.
Ninajaribu kutengeneza sentensi kiusahihi then nitakwambia.
Ila nimeumia Mchumba.