The iron batterfly
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 1,952
- 2,522
Mwenyewe kanikuta mwalimu hahahah simwachi as long as ana potential na ninanufaika naye yuko kwenye list yanguWajta ni wahuni Kuwa naye makini utaja lia. Labda umchune hafu ukuacha ukolee ndo wakuonyeshe true color
Ukisoma yanayoandikwa humu unainuka unaenda kuchekea chooni
Duh sasa mbona umempendelea baba yako pekee basi na mie baba yangu ni mkweli pia wawe wawili kwa kuanziaHamna wanaume wa kweli aisee labda my daddy tu, the rest ni monster walah. Hawa exist kwenye hii sayari
Waambie hao hahahahUnataka uwe pekeyako ili iweje? Kwani wewe mama ake? Mama tu ndio hua mmoja dadeq.
Hapa una maanisha mwanaume kuwa mkweli kwa mtoto/watoto wake?Hamna wanaume wa kweli aisee labda my daddy tu, the rest ni monster walah. Hawa exist kwenye hii sayari
Nyie wanaume bana huwa hamna huruma na wengine aisee. Hyo Hali ni mbaya shawahi ipitia, asikwambie mtu inaumiza sana
Yes akizoea anageuka masta then anaanza kuwatumia na kuwapanga folen bila hisia ,muhimu yake yanafanikiwaUnatakiwa uipitie mara nyingi mpaka uzoee.
Unachelewa nini Kuja kwangu?Shoga angu subiri uendelee kuwa nae halafu uje kujua alikua anakudanganya na ushafall in love.
Niko kwenye situation hiyo na nampenda huyu kaka kufa ila ana gf na alinidanganya he's single. Nimekuja shtuka ana gf na anaishi nae jamani. Napambana kumuacha ila nashindwaaa.
Mi nishatendwa mno ila hapa nilipo i swear to God nipo na malaikaAkili yake kwenye hayo mambo ni ngumu, tunajitahidi ila anatushinda.
mkomalie akuoe, utaendaje kienyeji enyeji, akikuchoka hatokuoa atatafuta mtoto mbichi amuweke ndani, wewe ataku dumpMi wangu ni tofauti kabisa,soon tunaishi wote na ndugu wanajua wote pande zote
Nitakualika kwenye beseni nikijifungua salama inshallah πππππππUna kibendi?
Aisee,pole saana.Shoga angu subiri uendelee kuwa nae halafu uje kujua alikua anakudanganya na ushafall in love.
Niko kwenye situation hiyo na nampenda huyu kaka kufa ila ana gf na alinidanganya he's single. Nimekuja shtuka ana gf na anaishi nae jamani. Napambana kumuacha ila nashindwaaa.
Labda huyo umemchonga mkuu, vinginevyo wanaume tunajuana..tuna unique codesWangu ni tofauti sio kama wanaume zenu hao
Labda ndio sababu.Wanawake mapenzi yanawaumiza sababu wao wanapenda toka moyoni lakini sisi wanaume tunatamani tu.
Inasikitisha saana..Mwenyewe kanikuta mwalimu hahahah simwachi as long as ana potential na ninanufaika naye yuko kwenye list yangu