Changamoto za uke wenza

Changamoto za uke wenza

Hamna wanaume wa kweli aisee labda my daddy tu, the rest ni monster walah. Hawa exist kwenye hii sayari
Duh sasa mbona umempendelea baba yako pekee basi na mie baba yangu ni mkweli pia wawe wawili kwa kuanzia
 
Shoga angu subiri uendelee kuwa nae halafu uje kujua alikua anakudanganya na ushafall in love.

Niko kwenye situation hiyo na nampenda huyu kaka kufa ila ana gf na alinidanganya he's single. Nimekuja shtuka ana gf na anaishi nae jamani. Napambana kumuacha ila nashindwaaa.
Unachelewa nini Kuja kwangu?
 
Inashangaza kwakweli....!

Hata Adam aliumbiwa mke mmoja tu.

Sijui wenzetu waislam wanawezaje kutokomeza wivu na kuchukulia poa hiyo hali.
 
Yako mbali yakifika karibu utajua Kuna kuvumilia ila nikukumbushe tu kuwa wote wanaanza Kama wewe harafu unafika muda wa kuoa bi mdogo kaa na akiba ya maneno haya ukijua Kuna wakati wa kucheka basi ujue upo wakati wa kulia ili wakati wa kulia ukifika hautalia maana ulijua upo huo wakati
 
Shoga angu subiri uendelee kuwa nae halafu uje kujua alikua anakudanganya na ushafall in love.

Niko kwenye situation hiyo na nampenda huyu kaka kufa ila ana gf na alinidanganya he's single. Nimekuja shtuka ana gf na anaishi nae jamani. Napambana kumuacha ila nashindwaaa.
Aisee,pole saana.
 
Back
Top Bottom