Huyo mchuna tu basi but be more than carefully and act smartMwenyewe kanikuta mwalimu hahahah simwachi as long as ana potential na ninanufaika naye yuko kwenye list yangu
Duh sasa mbona umempendelea baba yako pekee basi na mie baba yangu ni mkweli pia wawe wawili kwa kuanzia
Hapa una maanisha mwanaume kuwa mkweli kwa mtoto/watoto wake?
Unatakiwa uipitie mara nyingi mpaka uzoee.
Nahisi nimemuumba kabisaLabda huyo umemchonga mkuu, vinginevyo wanaume tunajuana..tuna unique codes
Ni mumeHuyo uliyenaye bado ni boyfriend tu,subiri awe mume wako ndo utajua...............
Kwahiyo una experience ya uhusiano wenza..??I know najua kila kitu hakuna ambacho sijapitia
Ok saint billgertInasikitisha saana..
Desperate women
Rejea post yako hii,kwamba hamuishi pamoja so huyo si mume wako badoMi wangu ni tofauti kabisa,soon tunaishi wote na ndugu wanajua wote pande zote
Mwenyewe kanikuta mwalimu hahahah simwachi as long as ana potential na ninanufaika naye yuko kwenye list yangu
Ni mindset za mtu kuna watu wanaielewa dini yao.Kulikuwa na shida mahali
Basi kumbe siyo swala jipya hiliSio Mkuu wa wilaya ya pangani huyo?
Rafiki siku ukiwa chizi kisa mapenzi nitakucheka sana![emoji1][emoji1][emoji1]Mi sitaki sana na anajua ntaua mtu
Njoo uku tu mkuu... tujarbu kukaaa mbali na uyo jamaaShoga angu subiri uendelee kuwa nae halafu uje kujua alikua anakudanganya na ushafall in love.
Niko kwenye situation hiyo na nampenda huyu kaka kufa ila ana gf na alinidanganya he's single. Nimekuja shtuka ana gf na anaishi nae jamani. Napambana kumuacha ila nashindwaaa.
Hakuna mwanamke hata mmoja duniani asiyeweza ukewenza. Ingawa ni kweli ukewenza unauma, lakini mwanamke amepewa uwezo wa kuyakabili maumivu na changamoto za ukewenza.
Wewe unaweza kumkataa mwanaume anayekupenda eti kwasababu ana mke au girlfriend?
Ukweli ni kwamba wanawake wote hawapendi mume wake aoe mke mwingine. Lakini wanawake haohao hawamkatai mwanamme eti kwasababu ana mwanamke tayari. Kinachouma ni kuletewa mwanamke mwingine, lakini wewe kuingia kwenye mahusiano na dume lenye mke, huwa mnaingia miguu yote miwili bila ya kupima maji.
Isitoshe, nature doesn't lie, neither does it get things wrong. Duniani hakuna mwanamme hata mmoja ambaye ni loyal kwa mke wake. Ukiona mumeo ameridhika na wewe na hatoki kweli nje, basi ujue uchumi wake uko valuvalu, au amepungukiwa nguvu za kiume.
Pole kwa yalokukuta,wengi tuu imeshawatokea hii,u will get past this..Asante mpenzi..nimepoa na niko kwwenye safari ya kumove on. bora kumdate mume wa mtu sio bf wa mtu..