Changamoto za uke wenza

Hahaaaaa jamani si unajua tena huyo ndo Ana uchungu kuliko wapita njia tunaokutana nao utu uzimani
Duh sasa mbona umempendelea baba yako pekee basi na mie baba yangu ni mkweli pia wawe wawili kwa kuanzia
 
Hakuna mwanamke hata mmoja duniani asiyeweza ukewenza. Ingawa ni kweli ukewenza unauma, lakini mwanamke amepewa uwezo wa kuyakabili maumivu na changamoto za ukewenza.
Wewe unaweza kumkataa mwanaume anayekupenda eti kwasababu ana mke au girlfriend?
Ukweli ni kwamba wanawake wote hawapendi mume wake aoe mke mwingine. Lakini wanawake haohao hawamkatai mwanamme eti kwasababu ana mwanamke tayari. Kinachouma ni kuletewa mwanamke mwingine, lakini wewe kuingia kwenye mahusiano na dume lenye mke, huwa mnaingia miguu yote miwili bila ya kupima maji.

Isitoshe, nature doesn't lie, neither does it get things wrong. Duniani hakuna mwanamme hata mmoja ambaye ni loyal kwa mke wake. Ukiona mumeo ameridhika na wewe na hatoki kweli nje, basi ujue uchumi wake uko valuvalu, au amepungukiwa nguvu za kiume.
 
naona kama inawahusu sana wanawake ngoja waje wakusaidie kukushauri maana saiv kuwa peke yako labda miujiza itokee tena lkn sio kwa sasa
 
Njoo uku tu mkuu... tujarbu kukaaa mbali na uyo jamaa
 
Wote tuseme amina
 
Wengi watoto humu kushea ni lazima sio hiari kwani akiloweka kwenye k ingine inaishilia?

Akaloweke tu mradi akija kwangu anipe shughuli nzito sio kunipapasa

Wanawake wengi humu mna mapenzi ya kisekondari bado hamjakua kabisa na mtalia sana tangu lini mwanadamu akawa malaika!!!!!
 
Asante mpenzi..nimepoa na niko kwwenye safari ya kumove on. bora kumdate mume wa mtu sio bf wa mtu..
Pole kwa yalokukuta,wengi tuu imeshawatokea hii,u will get past this..
By the way Kuna uafadhali gani kumdate mme wa mtu zaidi ya bf?
Maana me naona bora bf coz majeshi yanaeza kuhamishwa mda wowote kuliko mme wa mtu,anakua ndo keshafungwa kwa mkewe na ndoa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…