afande kifimbo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2015
- 6,303
- 2,716
Yani ukiweza muache tu huyo mwanaume dia manake inaumiza saana has a kama huyo mwanamke wa ndani akajua au mwanaume aanze let's vituko ndani sababu yakoShoga angu subiri uendelee kuwa nae halafu uje kujua alikua anakudanganya na ushafall in love.
Niko kwenye situation hiyo na nampenda huyu kaka kufa ila ana gf na alinidanganya he's single. Nimekuja shtuka ana gf na anaishi nae jamani. Napambana kumuacha ila nashindwaaa.
Hahahaha mkuuTukisema wengine tumewapanga kama folen tunaishiwa kutukanwa.Jf the land of saints.anyway bado tuko bikra so hatujui waongelea nn.sorry lakin
Kwakweli hakuna anaeweza sema mabimdogo wanakuaga willing sababu wao wamekubali hali,,lakini ikitokea ameongezwa mwanamke wa 3 hapo ndo moto unaanzaga kuwaka kwa bimkubwatrust me or not hakuna mwanamke anaetaka ukewenza
Njoo twende Kicheba kwa yule mzee
Jinsi ambavyo jamaa amekuzingua.
Shida mwananmke akishazaa tu huwa mnaanza kiburi, kubania mzigo na kero debe sasa kuchepuka kama hamjua wanaume huwa tunatumia hela nyingi sana. Pima tu kama una boyfriend mwenye kazi huwa mnatumia sh. Ngapi kila mkikutana, halafu weka kuwa huyo ndo mumeo na akichepuka ndo hela anayoitumia kila week na wewe ndan u ambania bania
Akikwambia anakuhalalisha kwa ndoa kwa jinsi unavyompenda unaweza usichomoe hapo ndio story za ukewenza zinaanzia!!
Ukisoma yanayoandikwa humu unainuka unaenda kuchekea chooni
Acha ujinga wewe.
Mimi ntamuumiza zaidi.
Sema hakianani? copied.
I know najua kila kitu hakuna ambacho sijapitia
Vile unatembea na beat mama, alafu sijui umenipiga umeme, namba yako haipatikanag tena [emoji14]
Ukifanikiwa kumuacha uniambie
Akili yake kwenye hayo mambo ni ngumu, tunajitahidi ila anatushinda.
Hahahah karibu chamani
Shost