Changamoto za uke wenza

Changamoto za uke wenza

Shoga angu subiri uendelee kuwa nae halafu uje kujua alikua anakudanganya na ushafall in love.

Niko kwenye situation hiyo na nampenda huyu kaka kufa ila ana gf na alinidanganya he's single. Nimekuja shtuka ana gf na anaishi nae jamani. Napambana kumuacha ila nashindwaaa.
Yani ukiweza muache tu huyo mwanaume dia manake inaumiza saana has a kama huyo mwanamke wa ndani akajua au mwanaume aanze let's vituko ndani sababu yako
 
Mama Sabrina, mbona umeikimbia ile mada uliyoianzisha kule uliouliza Maisha ya zamani yalikwaje ?, kwani naona wadau wameendelea kutoa maoni yao wakati mtoa mada hayupo
 
Me uke wenza siuwezi ukiongeza mke nakuachia ndoa yako nasepa na wanangu life z too short kuumizwa kihisia na ukichepuka na Mimi yuleeeee natafta wa kunikuna heheheh
 
audacious ujumbe umfikie madame dokta
Shida mwananmke akishazaa tu huwa mnaanza kiburi, kubania mzigo na kero debe sasa kuchepuka kama hamjua wanaume huwa tunatumia hela nyingi sana. Pima tu kama una boyfriend mwenye kazi huwa mnatumia sh. Ngapi kila mkikutana, halafu weka kuwa huyo ndo mumeo na akichepuka ndo hela anayoitumia kila week na wewe ndan u ambania bania
 
Hivi nilikupaga namba eeh?? Sikumbuki. Na itakua nilikupa namba ya gari maana namba zangu zinapatikana
Vile unatembea na beat mama, alafu sijui umenipiga umeme, namba yako haipatikanag tena [emoji14]
 
Back
Top Bottom