Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,138
Kwani wazungu hawachepuki?Umeona upendo nilio Kuwa naumaanisha ndo huo sasa. Hii ya upendo wa nje nikusogeza siku ziende ukiwa na true love lazima uumie only few wanaopendana na kuvumilia na Wana enjoy. Ila huku bongoland mtu Ana partners kumi hyo true love itapatikana wapi?
Akikujibu unitagKitendo cha mwanadamu kumfananisha mwanadamu mwenzie na malaika wakati wanafanya ngono pamoja ni ukosefu wa akili. Angekuwa malaika angekuoa kwanza ndio akuvue chupi.
Shogaangu bora wewe ni girlfriend mie niligundua ana mke na watoto tena hapo tumeshafika mbali tunaanza na kutaka kutambulishana.
Yasikie tu kwa mwingine yasikukute kwakweli.
Haha! Hama diniKila mtu ana lake asiloliweza kwenye dini kuwa mkweli. Mi ukienda kupunguza machungu naoiga mambo otherwise ukirudi nitakumwagia petrol.
Wanawake walio wengi hayo yanawashida ndiyo maana tunatafuta mbadala. Mimi kabla ya kulala lazima nipige, asubuhi hiyo sitaki nikose, sasa utasikia ohoo!1 si ulikula jana jioni, ohooo leo kazi za ofc zilikuwa nyingi nimechoka, mara ohoo sasa umegeuza ndio chakula? mara siko kwenye mood. Ukichepuka unapata dozi tosha na uwa hawachokiUnamwanaume mvivu halo
Mimi nakitaga mpaka wiki haombi na huwa anatamani niondoke KBS maana Mimi ukinikumbatia umepigwa pini ukinigusa jamaa kasha zimka
Sijawahi pata mwanamke anayetaka mambo muda wote nadhani ningestarehe sana
Wachepukaji wazuri waleKwani wazungu hawachepuki?
Wakati hapo mchepuko hauchoki,Tena ndo unakupigia simu kukumbusha,watu wanachepuka kwasababu wanawake wanashindwa kutimiza majukumu yaoWanawake walio wengi hayo yanawashida ndiyo maana tunatafuta mbadala. Mimi kabla ya kulala lazima nipige, asubuhi hiyo sitaki nikose, sasa utasikia ohoo!1 si ulikula jana jioni, ohooo leo kazi za ofc zilikuwa nyingi nimechoka, mara ohoo sasa umegeuza ndio chakula? mara siko kwenye mood. Ukichepuka unapata dozi tosha na uwa hawachoki
Najiulizaga hivi kweli naweza pata mwanamke anyehitaji muda wote maana hata akiwa anapika mi nadandia , sebuleni ninaye bafuni sukumia ndani, kwenye gari ni kushuka naye jumla jumlaaa hahahaha haki ya naniWanawake walio wengi hayo yanawashida ndiyo maana tunatafuta mbadala. Mimi kabla ya kulala lazima nipige, asubuhi hiyo sitaki nikose, sasa utasikia ohoo!1 si ulikula jana jioni, ohooo leo kazi za ofc zilikuwa nyingi nimechoka, mara ohoo sasa umegeuza ndio chakula? mara siko kwenye mood. Ukichepuka unapata dozi tosha na uwa hawachoki
Upendo wa mzazi yeyote unazidiwa na Upendo wa mungu kwa wanadamu tu kuwepo kwa upendo huu haimaanishi kuwa upendo baina ya mtu na mtu haupo .Neno Upendo haliwezi kuishia kwenye ngazi ya familia pekee mfano upendo wa Dada kwa kaka,Baba na mama pia na huu wa mzazi kwa watoto nashukuru japo umetambua Upendo hutokea japo ni kwa wachache na Wana enjoy.Umeona upendo nilio Kuwa naumaanisha ndo huo sasa. Hii ya upendo wa nje nikusogeza siku ziende ukiwa na true love lazima uumie only few wanaopendana na kuvumilia na Wana enjoy. Ila huku bongoland mtu Ana partners kumi hyo true love itapatikana wapi?
Umeona upendo nilio Kuwa naumaanisha ndo huo sasa. Hii ya upendo wa nje nikusogeza siku ziende ukiwa na true love lazima uumie only few wanaopendana na kuvumilia na Wana enjoy. Ila huku bongoland mtu Ana partners kumi hyo true love itapatikana wapi?
Tatizo ukishakuwa na watoto hayo yanafanywa watoto wamelala. na hapo ndipo unapolaliwa, ukitaka kulazimisha atapiga kelele au alale kwa watotoNajiulizaga hivi kweli naweza pata mwanamke anyehitaji muda wote maana hata akiwa anapika mi nadandia , sebuleni ninaye bafuni sukumia ndani, kwenye gari ni kushuka naye jumla jumlaaa hahahaha haki ya nani
Hamna wanaume wa kweli aisee labda my daddy tu, the rest ni monster walah. Hawa exist kwenye hii sayari
... Namtaka awe wangu mwenyewe sitaki kushare
Kumbe jee!!Acha kama namuona shost machangamoto yote anavyopambana nayo mi nakula bata tu
Nt my fault anyway
Kwani anapoyafanya anamwita huyo binti mpaka ajue? Tena anakula hata marafiki zakeHa ha baba yako mwenyewe unaeza kukuta ni monster legendary, sema hujui tuu
Hapana mwanaume alikua mshenzi tuWewe na mumeo waislamu?
Najiulizaga hivi kweli naweza pata mwanamke anyehitaji muda wote maana hata akiwa anapika mi nadandia , sebuleni ninaye bafuni sukumia ndani, kwenye gari ni kushuka naye jumla jumlaaa hahahaha haki ya nani
Shida ya kuwa na kajumba kamoja lkn ukiwa na upana wa jemgo hata kama unawatoto mia hakuna shidaTatizo ukishakuwa na watoto hayo yanafanywa watoto wamelala. na hapo ndipo unapolaliwa, ukitaka kulazimisha atapiga kelele au alale kwa watoto
Natamani nimpate huyo hata kama ataweza kuvumilia mikwaju minneMuhimu sana kiongozi yaani tupate chakula kwa style yoyote na sehemu yoyote ambayo mtaona kuna faragha. Mambo ya kuambiwa sijisikii sijui nimechoka, naumwa, aaargh yanatukatisha sana tamaa sisi mashababi
Hayupo mwanamke wa hivyo mkuu, japo humu utawasikia 'mi mume wangu akitaka nampa, si nipo kwa ajili yake' mmh nawachoragaaa nasema hawa watu kwa kuigiza tu hawajamboUnamwanaume mvivu halo
Mimi nakitaga mpaka wiki haombi na huwa anatamani niondoke KBS maana Mimi ukinikumbatia umepigwa pini ukinigusa jamaa kasha zimka
Sijawahi pata mwanamke anayetaka mambo muda wote nadhani ningestarehe sana
Kwa kuongezea wengi wanasubiri wafanyiwe hata ukimwambia zungusha haweziAcha uchoyo Mzigua..........just kidding mamii.
Ila bottomline, kila mara naaandikaga humu kuwa mwanaume rijali na mwenye hela walau za kuhang out hawezi kuwa na mwanamke mmoja, unless awe na hofu ya Mungu...sijui kama naelewekaga
Kwanza kumtosheleza kingono mwanaume wengi wenu hamuwezagi. Pili, ni wadada wengi sana wanampapalikia, so ni hofu ya Mungu tu ndo itamfanya atulie, otherwise afanye tu kukuheshimu, ajifiche fiche huko mbali usijue, ila sasa na wewe usimfukunyue