Changamoto za uke wenza

Dddaah..alafu ndo trend sikuizi. Mwanaume anakataa macho makavu kabisa hana mke wala mtoto. Bas tuu kukuvurugia maisha kwa ubinafsi wao. Coz wanajua fika haiwezi kuwa. Baadae ukishakolea ndo unajua kiuhakika ukweli mchungu..pole tena. Ni bas tuu wengine hawana ujasiri wakufunguka yalowasibu kama ulivyoweza kufanya hapa jf.
 
Rafiki una mpango wa kuacha kupiga punyeto lini?
 
Kwenye hela hapana. Hana hela za kunikeep. Kiherehere cha moyo tu ila hela ya kunipa hana.
Mmh nishakupata vizuri now, I can now imagine how u feeling, manake ulikuwa na mategemeo fulani fulani hivi amazing....gafla yakayeyuka

Hapo sasa akili kumkichwa au akuoe mke wa pili if possible

NB: mi hii quilty conscious niliyo nayo pia inanisaidia haya mambo niyaepuke
 
Asante mkuu nimepoa
 
Hahahaa.. kuolewa mke wa pili sio rahisi mkuu. Ngoja nione tutakapoishia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…