Umesahau akina abraham waliozaa na mahouse girl wao, tabia hii iendelee?Wanamme kuna muda huwa wanajisahau sana. BTW Adam and Eve were two in Eden this proportionality should keep running esp for we Christians.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mahala niko naona wake wenza wanaelewana fresh tu hata wanatembeleana eti,
Ila kiukweli kabisa ningekuwa dume ningeoa wake wawili au zaidi,, ila kwavile niko jike sitaki mke mwenza
mke mmoja anadumaza na haifanyi familia kutokuwa na mgogoro nachoona wewe mtoa mada umelishwa tango pori na mama yako kakujaza sumu ya kutosha
Huu ushauri ungempa baba yako.
Sisi tuMeoa mke nmoja. Ila mchepuko lazima awepo
Umesahau akina abraham waliozaa na mahouse girl wao, tabia hii iendelee?
So kwa wa kristo sio mbaya tukizaa na mahousegirl?yah..ila Mungu alimwambia anataka kuweka agano na yule wa mke halali ...yaani wa mke wa kwanza (sarah).
Sent using Jamii Forums mobile app
So kwa wa kristo sio mbaya tukizaa na mahousegirl?
Babaako ni mwanaume rijali kabisa. Naunga mkono juhudi zake kuutetea uanaume wa kweliIlikuwa ni siku ya krismasi, Baba anamleta mwanamke nyumbani na kumtambulisha kwa lazima na madaha kwetu. Akimwambia mama "Huyo ndio mke mwenzako muheshimu".
Kabla ya hapo huyu mwanamke alikuwa mchepuko wa mzee, akazaa nae, na baadae akawa akawa ni mchepuko wa mzee, nahisi mzee alinogewa na shepu la yule mama, angali hata alikuwa ana mtoto (aliezaa na mwanaume mwingine) ila mdingi alimfanya official.
Mzee wangu alimnyanyasa sana mama yangu hata mbele yetu. Kusahau juhudi ya mama ndio ilikuwa sababu ya mzee kufika alipo (na hata pesa ya kuwa na jeuri ya kuoa mke mwingine). Alijitamba sana kuwa huyo mwanamke ndio aina ya mwanamke aliekuwa ana hitaji na kwa mama yangu alikosea step. Huyu mwanamke (mke wa pili) ili alinde nafasi yake alijitahidi zaidi katika ushirikina na vioja vingi vya kumharibia mama yangu.
Ilifika wakati mama aliondoka nyumbani. Maisha ya kuona mama ananyanyasika na baade ile hali ya kumkosa mama ilituathiri sana watoto kisaikolijia hadi katika elimu. Hatimaye biashara za mzee zilianza kufeli na mambo yake yakaanza kwenda vibaya, na ilionekana wazi kuwa baraka za huyu mzee ni kutokana na uwepo wa mama.
Wadogo zangu walikuwa wadogo sana, na malezi ya huyu mama hayakuwa original kwa wadogo zangu. So mama aliamua kusacrifice furaha yake na kuja kurudi ili akae atuleee ili hali alijua bado atakutana na kero.
Lakini yule mwanamke hakuwa kama vile mzee alivyotegemea, kama ni tabia mbaya aliionesha hata mara tano zaidi ya mama yangu. DAYS ARE NUMBERED! Yani huyu mwanamke ambae alikuwa anaonekana kama sweetheart wa mzee, Mzee alimfumania meseji za mapenzi kutoka kwa mmoja wa wateja wake na inasemakana kipindi huyu mzee alipokuwa hayupo huyu mwanamke alikuwa anaenda kujivinjali usiku na awala yake. hahah ...Mdingi alipiga akataka kuua na ilimuuma sio kawaida hadi akaita ndugu zake.
■WANAWAKE
JIULIZE, KWANINI MWANAMKE AKUBALI KUOLEWA KAMA MKE WA PILI KAMA SIO AMEKOSA UTU AU KUTAKA MTELEMKO WA MAISHA KWA KUWA WANAUME WALIOKWISHA KUOA UNAKUTA WAMESHATOKA KIMAISHA. MARA NYINGI MNAKUJA KUHARIBU MAISHA YA FAMILIA YA MKE YULE NA WENGI WENU MNAHAKIKISHA NAFASI MAALUM MNAISHIKA NYIE, SO MNAHANGAIKA KWA WAGANGA.
■MWANAUME
HAKUNA SABABU YOTOTE YA KUWA MKE ZAIDI YA MMOJA, HAWA WANAWAKE NI WALE WALE NA HATA HUYO WA PILI ATAKUWA NA MAPUNGUFU PIA. NA KWA SISI WAKRISTO TUNAAMINI KUWA MUNGU ANAFANYA AGANO NA NDOA YA MKE WA KWANZA NA UZAO WA KWANZA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Babaako ni mwanaume rijali kabisa. Naunga mkono juhudi zake kuutetea uanaume wa kweli
Wanamuita baba wa imani auhaijaandikwa hivyo, na kipindi cha abraham ukristo haukuwepo. Ukizaa na house girl ni dhambi ya kuzini.
Sent using Jamii Forums mobile app
we mpumbavu unamwaga povu bila kujua ni nini hasa unalilia. Kwahiyo huyo mke wa baba yako ndio anawakilisha wanawake wote? huyo baba yako ndio anawakilisha wanaume wote????? kama baba yako alikua hajua ni vitu gani vinampasa kuoa mke wa pili kaa nae hukohuko usilete povu kwa kitu ambacho huna ujuzi nacho shwain.■MWANAUME
HAKUNA SABABU YOTOTE YA KUWA MKE ZAIDI YA MMOJA, HAWA WANAWAKE NI WALE WALE NA HATA HUYO WA PILI ATAKUWA NA MAPUNGUFU PIA. NA KWA SISI WAKRISTO TUNAAMINI KUWA MUNGU ANAFANYA AGANO NA NDOA YA MKE WA KWANZA NA UZAO WA KWANZA
Wanamuita baba wa imani au
we mpumbavu unamwaga povu bila kujua ni nini hasa unalilia. Kwahiyo huyo mke wa baba yako ndio anawakilisha wanawake wote? huyo baba yako ndio anawakilisha wanaume wote????? kama baba yako alikua hajua ni vitu gani vinampasa kuoa mke wa pili kaa nae hukohuko usilete povu kwa kitu ambacho huna ujuzi nacho shwain.
Ila hata huyo mmoja anaweza kuwa mshirikina.Shida ya wake wa pili wengine ushirikina.
Ila hata huyo mmoja anaweza kuwa mshirikina.
Kwani kuna shida tukiiga matendo ya baba yetu wa imani?yes baba wa imani" kwa jinsi alivyokubali kumtoa mwanae sadaka kama Mungu alivyomuagiza na kumuahidi.
Lakini ukumbuke kuwa Mungu aliamuru amtoe nyumbani pale yule house girl na mtoto wake, kwa maana Mungu aliona agano lake halikuwa kwa "abraham na house girl" ila ni " abraham na sarah"
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kuna shida tukiiga matendo ya baba yetu wa imani?
Yeah... no kumiliki wanawake wengi kadiri uwezavyo... shahidi yangu Jogoo
Kulikua hakuna ndoa hapo dingi ako alikua anadhihirisha ufuska wake tu, ndoa zina utaratibu wake , sasa we kaja tu kutambulisha huyu ndo mama yenu mwingine kienyeji enyeji tuuu, dingi alikua muhuni tu, poleni Sana kwa yoteIlikuwa ni siku ya krismasi, Baba anamleta mwanamke nyumbani na kumtambulisha kwa lazima na madaha kwetu. Akimwambia mama "Huyo ndio mke mwenzako muheshimu".
Kabla ya hapo huyu mwanamke alikuwa mchepuko wa mzee, akazaa nae, na baadae akawa akawa ni mchepuko wa mzee, nahisi mzee alinogewa na shepu la yule mama, angali hata alikuwa ana mtoto (aliezaa na mwanaume mwingine) ila mdingi alimfanya official.
Mzee wangu alimnyanyasa sana mama yangu hata mbele yetu. Kusahau juhudi ya mama ndio ilikuwa sababu ya mzee kufika alipo (na hata pesa ya kuwa na jeuri ya kuoa mke mwingine). Alijitamba sana kuwa huyo mwanamke ndio aina ya mwanamke aliekuwa ana hitaji na kwa mama yangu alikosea step. Huyu mwanamke (mke wa pili) ili alinde nafasi yake alijitahidi zaidi katika ushirikina na vioja vingi vya kumharibia mama yangu.
Ilifika wakati mama aliondoka nyumbani. Maisha ya kuona mama ananyanyasika na baade ile hali ya kumkosa mama ilituathiri sana watoto kisaikolijia hadi katika elimu. Hatimaye biashara za mzee zilianza kufeli na mambo yake yakaanza kwenda vibaya, na ilionekana wazi kuwa baraka za huyu mzee ni kutokana na uwepo wa mama.
Wadogo zangu walikuwa wadogo sana, na malezi ya huyu mama hayakuwa original kwa wadogo zangu. So mama aliamua kusacrifice furaha yake na kuja kurudi ili akae atuleee ili hali alijua bado atakutana na kero.
Lakini yule mwanamke hakuwa kama vile mzee alivyotegemea, kama ni tabia mbaya aliionesha hata mara tano zaidi ya mama yangu. DAYS ARE NUMBERED! Yani huyu mwanamke ambae alikuwa anaonekana kama sweetheart wa mzee, Mzee alimfumania meseji za mapenzi kutoka kwa mmoja wa wateja wake na inasemakana kipindi huyu mzee alipokuwa hayupo huyu mwanamke alikuwa anaenda kujivinjali usiku na awala yake. hahah ...Mdingi alipiga akataka kuua na ilimuuma sio kawaida hadi akaita ndugu zake.
■WANAWAKE
JIULIZE, KWANINI MWANAMKE AKUBALI KUOLEWA KAMA MKE WA PILI KAMA SIO AMEKOSA UTU AU KUTAKA MTELEMKO WA MAISHA KWA KUWA WANAUME WALIOKWISHA KUOA UNAKUTA WAMESHATOKA KIMAISHA. MARA NYINGI MNAKUJA KUHARIBU MAISHA YA FAMILIA YA MKE YULE NA WENGI WENU MNAHAKIKISHA NAFASI MAALUM MNAISHIKA NYIE, SO MNAHANGAIKA KWA WAGANGA.
■MWANAUME
HAKUNA SABABU YOTOTE YA KUWA MKE ZAIDI YA MMOJA, HAWA WANAWAKE NI WALE WALE NA HATA HUYO WA PILI ATAKUWA NA MAPUNGUFU PIA. NA KWA SISI WAKRISTO TUNAAMINI KUWA MUNGU ANAFANYA AGANO NA NDOA YA MKE WA KWANZA NA UZAO WA KWANZA.
Sent using Jamii Forums mobile app