Changamoto za uke wenza

Changamoto za uke wenza

Kuna mahala niko naona wake wenza wanaelewana fresh tu hata wanatembeleana eti,
Ila kiukweli kabisa ningekuwa dume ningeoa wake wawili au zaidi,, ila kwavile niko jike sitaki mke mwenza

mke mmoja anadumaza na haifanyi familia kutokuwa na mgogoro nachoona wewe mtoa mada umelishwa tango pori na mama yako kakujaza sumu ya kutosha
 
haha... eti nimelishwa tango pori, utafikiri nilikuwa na hadithiwa wakati nilikuwa naona live. last time i c alielishwa tango pori ni wewe kwa kuchukulia poa hii ishu.
Kuna mahala niko naona wake wenza wanaelewana fresh tu hata wanatembeleana eti,
Ila kiukweli kabisa ningekuwa dume ningeoa wake wawili au zaidi,, ila kwavile niko jike sitaki mke mwenza

mke mmoja anadumaza na haifanyi familia kutokuwa na mgogoro nachoona wewe mtoa mada umelishwa tango pori na mama yako kakujaza sumu ya kutosha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikuwa ni siku ya krismasi, Baba anamleta mwanamke nyumbani na kumtambulisha kwa lazima na madaha kwetu. Akimwambia mama "Huyo ndio mke mwenzako muheshimu".

Kabla ya hapo huyu mwanamke alikuwa mchepuko wa mzee, akazaa nae, na baadae akawa akawa ni mchepuko wa mzee, nahisi mzee alinogewa na shepu la yule mama, angali hata alikuwa ana mtoto (aliezaa na mwanaume mwingine) ila mdingi alimfanya official.

Mzee wangu alimnyanyasa sana mama yangu hata mbele yetu. Kusahau juhudi ya mama ndio ilikuwa sababu ya mzee kufika alipo (na hata pesa ya kuwa na jeuri ya kuoa mke mwingine). Alijitamba sana kuwa huyo mwanamke ndio aina ya mwanamke aliekuwa ana hitaji na kwa mama yangu alikosea step. Huyu mwanamke (mke wa pili) ili alinde nafasi yake alijitahidi zaidi katika ushirikina na vioja vingi vya kumharibia mama yangu.

Ilifika wakati mama aliondoka nyumbani. Maisha ya kuona mama ananyanyasika na baade ile hali ya kumkosa mama ilituathiri sana watoto kisaikolijia hadi katika elimu. Hatimaye biashara za mzee zilianza kufeli na mambo yake yakaanza kwenda vibaya, na ilionekana wazi kuwa baraka za huyu mzee ni kutokana na uwepo wa mama.

Wadogo zangu walikuwa wadogo sana, na malezi ya huyu mama hayakuwa original kwa wadogo zangu. So mama aliamua kusacrifice furaha yake na kuja kurudi ili akae atuleee ili hali alijua bado atakutana na kero.

Lakini yule mwanamke hakuwa kama vile mzee alivyotegemea, kama ni tabia mbaya aliionesha hata mara tano zaidi ya mama yangu. DAYS ARE NUMBERED! Yani huyu mwanamke ambae alikuwa anaonekana kama sweetheart wa mzee, Mzee alimfumania meseji za mapenzi kutoka kwa mmoja wa wateja wake na inasemakana kipindi huyu mzee alipokuwa hayupo huyu mwanamke alikuwa anaenda kujivinjali usiku na awala yake. hahah ...Mdingi alipiga akataka kuua na ilimuuma sio kawaida hadi akaita ndugu zake.

■WANAWAKE
JIULIZE, KWANINI MWANAMKE AKUBALI KUOLEWA KAMA MKE WA PILI KAMA SIO AMEKOSA UTU AU KUTAKA MTELEMKO WA MAISHA KWA KUWA WANAUME WALIOKWISHA KUOA UNAKUTA WAMESHATOKA KIMAISHA. MARA NYINGI MNAKUJA KUHARIBU MAISHA YA FAMILIA YA MKE YULE NA WENGI WENU MNAHAKIKISHA NAFASI MAALUM MNAISHIKA NYIE, SO MNAHANGAIKA KWA WAGANGA.

■MWANAUME
HAKUNA SABABU YOTOTE YA KUWA MKE ZAIDI YA MMOJA, HAWA WANAWAKE NI WALE WALE NA HATA HUYO WA PILI ATAKUWA NA MAPUNGUFU PIA. NA KWA SISI WAKRISTO TUNAAMINI KUWA MUNGU ANAFANYA AGANO NA NDOA YA MKE WA KWANZA NA UZAO WA KWANZA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Babaako ni mwanaume rijali kabisa. Naunga mkono juhudi zake kuutetea uanaume wa kweli
 
■MWANAUME
HAKUNA SABABU YOTOTE YA KUWA MKE ZAIDI YA MMOJA, HAWA WANAWAKE NI WALE WALE NA HATA HUYO WA PILI ATAKUWA NA MAPUNGUFU PIA. NA KWA SISI WAKRISTO TUNAAMINI KUWA MUNGU ANAFANYA AGANO NA NDOA YA MKE WA KWANZA NA UZAO WA KWANZA
we mpumbavu unamwaga povu bila kujua ni nini hasa unalilia. Kwahiyo huyo mke wa baba yako ndio anawakilisha wanawake wote? huyo baba yako ndio anawakilisha wanaume wote????? kama baba yako alikua hajua ni vitu gani vinampasa kuoa mke wa pili kaa nae hukohuko usilete povu kwa kitu ambacho huna ujuzi nacho shwain.
 
yes baba wa imani" kwa jinsi alivyokubali kumtoa mwanae sadaka kama Mungu alivyomuagiza na kumuahidi.

Lakini ukumbuke kuwa Mungu aliamuru amtoe nyumbani pale yule house girl na mtoto wake, kwa maana Mungu aliona agano lake halikuwa kwa "abraham na house girl" ila ni " abraham na sarah"
Wanamuita baba wa imani au

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ahsante kwa kuwa mpumbavu zaidi yangu.
we mpumbavu unamwaga povu bila kujua ni nini hasa unalilia. Kwahiyo huyo mke wa baba yako ndio anawakilisha wanawake wote? huyo baba yako ndio anawakilisha wanaume wote????? kama baba yako alikua hajua ni vitu gani vinampasa kuoa mke wa pili kaa nae hukohuko usilete povu kwa kitu ambacho huna ujuzi nacho shwain.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yes baba wa imani" kwa jinsi alivyokubali kumtoa mwanae sadaka kama Mungu alivyomuagiza na kumuahidi.

Lakini ukumbuke kuwa Mungu aliamuru amtoe nyumbani pale yule house girl na mtoto wake, kwa maana Mungu aliona agano lake halikuwa kwa "abraham na house girl" ila ni " abraham na sarah"

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kuna shida tukiiga matendo ya baba yetu wa imani?
 
Hapo tatizo ni baba yako siyo uke wenza.
Mwaka wa sita leo naishi na wanawake wawili lawama pekee ninazopataga ni kwa nini kwa mama fulani umelala siku nyingi??
Na hapo ujue upande A ulizingua nikaenda B,siku nimerudi A ni mpole na atauliza kwa lugha ya upendo maana tofauti na hapo nitarudi B,lakini kuhusu mahitaji ya familia ni 50/50 kabisa kama A watalala njaa basi na kule B hali iko vilevile maana kama A kuna chochote nitakigawa na B wapate,sasa naomba umlaumu baba yako alinogewa akili akaweka rehani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikuwa ni siku ya krismasi, Baba anamleta mwanamke nyumbani na kumtambulisha kwa lazima na madaha kwetu. Akimwambia mama "Huyo ndio mke mwenzako muheshimu".

Kabla ya hapo huyu mwanamke alikuwa mchepuko wa mzee, akazaa nae, na baadae akawa akawa ni mchepuko wa mzee, nahisi mzee alinogewa na shepu la yule mama, angali hata alikuwa ana mtoto (aliezaa na mwanaume mwingine) ila mdingi alimfanya official.

Mzee wangu alimnyanyasa sana mama yangu hata mbele yetu. Kusahau juhudi ya mama ndio ilikuwa sababu ya mzee kufika alipo (na hata pesa ya kuwa na jeuri ya kuoa mke mwingine). Alijitamba sana kuwa huyo mwanamke ndio aina ya mwanamke aliekuwa ana hitaji na kwa mama yangu alikosea step. Huyu mwanamke (mke wa pili) ili alinde nafasi yake alijitahidi zaidi katika ushirikina na vioja vingi vya kumharibia mama yangu.

Ilifika wakati mama aliondoka nyumbani. Maisha ya kuona mama ananyanyasika na baade ile hali ya kumkosa mama ilituathiri sana watoto kisaikolijia hadi katika elimu. Hatimaye biashara za mzee zilianza kufeli na mambo yake yakaanza kwenda vibaya, na ilionekana wazi kuwa baraka za huyu mzee ni kutokana na uwepo wa mama.

Wadogo zangu walikuwa wadogo sana, na malezi ya huyu mama hayakuwa original kwa wadogo zangu. So mama aliamua kusacrifice furaha yake na kuja kurudi ili akae atuleee ili hali alijua bado atakutana na kero.

Lakini yule mwanamke hakuwa kama vile mzee alivyotegemea, kama ni tabia mbaya aliionesha hata mara tano zaidi ya mama yangu. DAYS ARE NUMBERED! Yani huyu mwanamke ambae alikuwa anaonekana kama sweetheart wa mzee, Mzee alimfumania meseji za mapenzi kutoka kwa mmoja wa wateja wake na inasemakana kipindi huyu mzee alipokuwa hayupo huyu mwanamke alikuwa anaenda kujivinjali usiku na awala yake. hahah ...Mdingi alipiga akataka kuua na ilimuuma sio kawaida hadi akaita ndugu zake.

■WANAWAKE
JIULIZE, KWANINI MWANAMKE AKUBALI KUOLEWA KAMA MKE WA PILI KAMA SIO AMEKOSA UTU AU KUTAKA MTELEMKO WA MAISHA KWA KUWA WANAUME WALIOKWISHA KUOA UNAKUTA WAMESHATOKA KIMAISHA. MARA NYINGI MNAKUJA KUHARIBU MAISHA YA FAMILIA YA MKE YULE NA WENGI WENU MNAHAKIKISHA NAFASI MAALUM MNAISHIKA NYIE, SO MNAHANGAIKA KWA WAGANGA.

■MWANAUME
HAKUNA SABABU YOTOTE YA KUWA MKE ZAIDI YA MMOJA, HAWA WANAWAKE NI WALE WALE NA HATA HUYO WA PILI ATAKUWA NA MAPUNGUFU PIA. NA KWA SISI WAKRISTO TUNAAMINI KUWA MUNGU ANAFANYA AGANO NA NDOA YA MKE WA KWANZA NA UZAO WA KWANZA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kulikua hakuna ndoa hapo dingi ako alikua anadhihirisha ufuska wake tu, ndoa zina utaratibu wake , sasa we kaja tu kutambulisha huyu ndo mama yenu mwingine kienyeji enyeji tuuu, dingi alikua muhuni tu, poleni Sana kwa yote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom