Changamoto za uke wenza

Changamoto za uke wenza

HesabuKali
Huyu atakuwa ni mvulana ambaye bado anashikiwa akili na kulishwa maneno na mama yake kuchukia uke-wenza, tumkumbushe kitu kimoja, kwenye maisha ya ndoa, au hata maisha ya kawaida, migogoro ipo hata ukiwa pekee yako (migogoro binafsi) na hata ukiwa na mke mmoja.

Hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya migogoro hiyo na wake wengi, nimezaliwa na kukulia katika familia ya aina hiyo, nazongwa tu na mafundisho ya kidunia (dini) ila nafsi inanisuta nikioa mke mmoja.

Labda kwa sababu ya maradhi ambukizi, naweza kuhofia ndoa hizi, ila kamwe sio kwa hoja nyepesi za Financial Analyst.
Tena hoja nyepesi mno mkuu.

Yaani mimi nikipata safari ya kikazi kwa wiki tu kuja hapo jijini Dar imekuwa tabu sana maana wengine haiwezekani kukaa siku tatu bila bila, kipindi chote hicho cha wiki moja naishije???

cc: Mishil
 
Hakuna mwanaume anaacha mwanamke mwenye tabia nzuri. Hapo lazma Mama ana shida.
 
Kuna babu wa kiarabu nilimzoea aliniambia ana wake watatu nikamwambia hongera uko na raha alinijibu tu katika kitu ambacho alikosea maishani mwake ni kuoa wake wengi na ktk kitu ambacho kawausia vijana wake ni wasijaribu kuoa mitala nikamshangaa sana nikamwamuuliza dini si inakuruhusu akaniambia acha tu hakuna kitu kibaya kama kuwa mtumwa wa mwili wako. Yaani wewe maisha yako unazunguka tu kutoa mapenzi kwa hao wanawake halafu wanawake wenyewe hawajatahiriwa kwa hiyo wako na ashki sana matokeo yake unachoka mwili na akili ukifika kwa huyu ukimwambia nimechoka anakujibu unampenda zaidi fulani na kumbuka wanashindana kutoa penzi matokeo yake wewe unachoka na bado watoto wanazaa wengi na wewe ndio uhudumie, usipohudumia unaonekana unapendeleaw fulani aliniambia sina hamu tena ila according tu yeye mwenyewe watoto wake wa mke mkubwa ndio waliobarikiwa kwenye maisha.na ndoa pia.
Nilimuuliza why hao wamebarikiwa zaidi akaniambia mara nyingi mwanamke mwenye utu huwa hawezi ingilia ndoa ya mwingine wengi huwa wanakuwa ni mashetani so hata watoto wanaowazaa ni hivyo hivyo
huyo babu wamemkomesha hao wanawake, babu kashindwa kutoa dozi
mi nawashangaa wanawake wanaogombana kisa mwanaume, mnaungana mnakuwa mabest mbna atakoma
anti zangu washawah kumchapa anko, ana hamu akamuacha m1
 
wote mnaanza kwa kusema hivyo coz unatetea uamuzi wako ila baadae inakuwa movie nyingine.
Unaona unavyorithi ujinga wa baba yako sasa? Soma vizur hapo, na narudia tena kuoa mke wa pili hakujawahi kuwa tatizo tatizo ni watu akiwemo wewe na baba yako.
Nasema tena hakuna mwanaume mwenye akili timamu anaweza fanya aliyofanya baba yako mbele ya mama yako hata kama mama yako ana matatizo.
Kwahiyo endelea kumlaumu baba yako na sio uke wenza labda una madahifu yako.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu wangu, yaani huwezi kukaa wiki moja? [emoji134][emoji134][emoji134] sasa kila mkoa unaotembelea utakuwa unaoa au namna gani
Tena hoja nyepesi mno mkuu.

Yaani mimi nikipata safari ya kikazi kwa wiki tu kuja hapo jijini Dar imekuwa tabu sana maana wengine haiwezekani kukaa siku tatu bila bila, kipindi chote hicho cha wiki moja naishije???

cc: Mishil

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna ushauri umepewa huko juu kuwa ‘kama umeshakua basi upesi hama nyumbani kwa baba yako’, huyo unayemuita ‘mama’ kwake ni mke hivyo thamani yake ni tofauti unapaswa kuzingatia tofauti hiyo.... una mama mmoja tu ila kwa mke unaweza kuwa nao kadri upendavyo aidha kwa nyakati tofauti au kwa pamoja.

Unaumia kwa ajili ya mama yako ni kwa sababu aidha unampenda mno au unawajibika hivyo bila choice, ila hujui anayopitia mumewe hata kufikia hatua hiyo (kama nawe ni mwanamme na umeoa yakikukuta utajionea).... kosa pekee na ujinga wa mzee wako ni zile mbwembwe za kutambulisha huenda pilau la Christmas lilimfanya vibaya.
 
Mtanidiss na kunitukana, Mtanipinga na Kunikemea ila mkubali au mkatae..ndoa za uke wenza nyingi ni hell on earth, sio kwa sababu ya niliyoyaona kwa familia yangu bali hata pia case studies nyingi katika familia tofauti.

Na kwa sasa hakuna Mwanamke anaejitambua na kujiheshimu anaweza kukubali kuolewa mke wa pili, tatu..etc. Mtaendelea kuwachukua hao maboya wa mtelemko na kuwafanya wake zenu wa pili ila msitegemee control yenu ndio itafanya mambo yawe sawa, you will see what will come.

Mimi sio mdogo kiumri, mimi siishi nyumbani (nina famili yangu), mimi sio mwanaume dhaifu..eti ndio maana nimetoa hii post, wewe kama una mpango wa kuoa mwingine oa tu, ila nimeongea ukweli from experience not just from my own but with very many katika society.

So sioni sababu ya kuendelea kujibizana na kila mtu coz nimeshafikisha ujumbe na ukweli mmeuelewa coz wengine mlikuwa watoto wa wake za pili na mlishuhudia vitimbwi vya mama zenu, wengine mmeo wake wa pili, wengine imanibzeny zinaruhusu. thats why mmepanick.

Go ahead , i dont give a https://jamii.app/JFUserGuide..hahaa...endeeleeni kudiss.[emoji116][emoji116][emoji116]
20200126_174044.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom