Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
HahahahaMashabiki wa Asenali wanapata tabu kweli kweli kila sehemu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaMashabiki wa Asenali wanapata tabu kweli kweli kila sehemu
[emoji23][emoji23][emoji23]
Uyu ndo anakuwakuwaje sasa??[emoji23][emoji23][emoji23]
Loh, Huu ni uonevu wa kiwango cha lami. Kwamba sie wembamba tuna gubu[emoji3][emoji3][emoji3]Halafu wapole sana hawana gubu na makelele kama hivi vimbaombao aka roho mkononi [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Umenifuma dadangu. Siyo wewe. Wewe ni mpole sana [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]Loh, Huu ni uonevu wa kiwango cha lami. Kwamba sie wembamba tuna gubu[emoji3][emoji3][emoji3]
Hapa ndio nilikuwa namtafuta mzee wa mwakaleli nimuulize kama haya ni ya kweli[emoji23][emoji23][emoji23]Umenifuma dadangu. Siyo wewe. Wewe ni mpole sana [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Wengi ni 'wife material' for your information kuliko vi modo vyenu
Khumbu kama khumbu[emoji23][emoji23][emoji23]Kwaiyo Mkuu ile style Unaiweka alafu unafanya kama unakung'uta sisimizi haujawahi kupewaa [emoji16][emoji16][emoji16]
Mwanamke bonge napiga kwa kufanyaje tu pale nimebanwa na sina namna lakini sina ladha nao kabisa.
Mimi kwangu vibonge ni tasteless, nawaona hawana ladha, sio wazuri kitandani, wao ni style moja tu ya kifo cha mende, hawako flexible. Huwezi kumnyumbulisha unavyotaka kitandani. Wengi kama sio wote ni wachovu, ukimpelekea moto kidogo anahema, wanawahi kuchoka.
Lakini pia mimi ile minyama nyama inanikata stimu kabisa. Naanzaje kufunua nyama ndio niipate k?
Bonge hapana.
105!!! Duh zamani nilikuwa napenda mwili mkubwa ila kadri siku zinavyoenda nachukia hiyo miili, unaonekana km lidudu huvai ukapendeza, uvivu muda wote kupumua km nguruwe tu hata nikiona mnene najisikia vibaya mno
Mwili wa mtu unahusika vipi na tabia za mtu!? shule za kata ndio zimetufikisha hapa
Ingekuwa kuzaa kunanenepesha Basi ningeshakuwa Kama kiboko, mi si mwembamba na sio bonge Nina takribani kilo 78, isitoshe baadhi ya watu wanatuita wanene, ila 105!!! Ni zaidi ya unene aiseeNakuombea ukishika mimba unenepe na usikonde tena ubakie hivyo hivyo ikibidi uongezeke mpaka uwe unashindwa kuingia kwenye ile Range Rover yako kwa raha [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Ingekuwa kuzaa kunanenepesha Basi ningeshakuwa Kama kiboko, mi si mwembamba na sio bonge Nina takribani kilo 78, isitoshe baadhi ya watu wanatuita wanene, ila 105!!! Ni zaidi ya unene aisee
Mmh nikama unatucho ma sisi tulio zama kwao na niwake zetu wa milele....105!!! Duh zamani nilikuwa napenda mwili mkubwa ila kadri siku zinavyoenda nachukia hiyo miili, unaonekana km lidudu huvai ukapendeza, uvivu muda wote kupumua km nguruwe tu hata nikiona mnene najisikia vibaya mno
Hapana,kwa nini kuwe na mapambano?Mi navyoona nyie wanaume hamridhiki, mi nasema hivi kila mtu alie nae na aridhiki nae. Kama unae kibonge basi pambana na kama unae kimbao mbao nawe pambana tu.