Changamoto za wake vibonge

Kama kwako ni changamoto si utafute tu easy to carry ndugu yanguπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Kama ni mke vumilia tu hakuna namna
Yaan nlikua nataka nikutag ningeshangaa kama usingetia neno hapa heheheee team vibonge sisi ni waifu material kabisa
 
Kwaiyo Mkuu ile style Unaiweka alafu unafanya kama unakung'uta sisimizi haujawahi kupewaa [emoji16][emoji16][emoji16]
Style ya kukung'uta wanaweza wenye body kinanda kama khumbu, we ulisikia wapi mwenye kg za digits tatu aweze hehehehe am out...
 
Unakua na kibonge...afy ukimpgisha doggy anatoa harufu kwenye munyu

Hapo sasa
 
Unakua na kibonge...afy ukimpgisha doggy anatoa harufu kwenye munyu

Hapo sasa
Wanawake wanene ni wasafi sana ukimukuta anae jitambua kama mke wangu hajawahi kuvaa nguo moja siku yote anaonga zaidi ya mara mbili kiujumla ni msafi, ndo maana nampenda japo kuna changamoto kama nilizo taja hapo juu.
 
Mungu bariki sana vibonge. Wako poa sana. Wana upendo wa kutosha, kila saa ni kutabasam tuu, hakuna makelele ya hovyohovyo halafu pia hakuna complications.

Atakaeponda vibonge na alaaniwe!
Mzee wa churaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani tusile....... Hatuwezzzzzz[emoji23]
 
Yaan nlikua nataka nikutag ningeshangaa kama usingetia neno hapa heheheee team vibonge sisi ni waifu material kabisa
🀣🀣🀣🀣🀣
Ameeeen...Ameeeen
🀸🀸🀸🀸 VibongeeeeπŸ”ŠπŸ”ŠπŸ”ŠπŸ”ŠπŸ”Š
 
105!!! Duh zamani nilikuwa napenda mwili mkubwa ila kadri siku zinavyoenda nachukia hiyo miili, unaonekana km lidudu huvai ukapendeza, uvivu muda wote kupumua km nguruwe tu hata nikiona mnene najisikia vibaya mno
Inaonesha una roho mbaya mno
 
Usiombe uwe nae mtoko!!!!! Ikipigwa blues ukumbin!!!!....Unakua unacheza nae kama unasogeza Frij!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapo down town iko safi kabisa tight vizuri sana na moto wa kutosha......sasa kazi iko kwenye kukatika hahahaha
KIBOKO AKIKATIKA ATATIBUA TOPE, LIKEWISE NA TEMBO,
HURUMIA UR SAMANI ZAKO....
 
Kisura cha madam kimekuwa kama kijibwa cha chiuwa uwa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…