Changamoto za wasaidizi wa kazi za ndani(housemaids)

Changamoto za wasaidizi wa kazi za ndani(housemaids)

rikiboy

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
21,952
Reaction score
43,265
Hakuna kipindi kigumu kama kuanza kuishi na beki tatu aisee kuna vitu vingi vya kushangaza..tulipata beki tatu toka Iringa picha linaanza tulimwambia apike Uji aisee tutakuta kaweza Chumvi[emoji15][emoji15][emoji15][emoji33]
Kuna siku tukamtuma sokoni tukamuandikia mahitaji ya kununua sasa kumbe hajui kusoma bhana kwenda sokoni akampa jama kikaratasi amsaidie kununua vitu jamaa likamnunulia vitu vichache hela nyingine likasepa nayo, mdada anarudi home vitu havijatimia na hela hana[emoji23][emoji23][emoji23] ikabdi asema ukweli hajui kusoma kabisa.

Alafu asilimia 80 wanakuwa kama wana matatizo ya kutokusikia vizuri au sijui huwa wanajifanyisha...?

Katika maisha yako ushawahi shuhudia kituko gani cha beki tatu au mlipata ugumu gani kumtrain beki 3???
 
Anachemsha maziwa kwenye jiko la gesi halafu yye anaendelea na kazi zingine kuja kustuka nusu ya maziwa imemwagika.

Yaani huyu wangu changamoto zake ni kwenye jiko la gesi tu ana matumizi yasiyo sahihi.
 
Hamkumfanyia interview?

Ukipata dada wa kazi kwanza mpe mkataba wake wa kazi ausome. Akimaliza kusoma muulize alichoelewa kutoka kwenye mkataba kama ameridhia atie signature

Mpe sharti la kupima ngoma. Akiwa mwathirika usimnyanyapae ila mpe off siku za kitengo.
 
Hamkumfanyia interview?

Ukioata dada wa kazi kwanza mpe mkataba wake wa kazi ausome. Akimaliza kusoma muulize alichielewa kutoka kwenye mkataba kama ameridhia atie signature

Mpe shanti la kupima ngoma. Akiwa mwathirika usimnyanyaoae ila mpe off siku za kitengo.
Aisee hapa kwenye kupima ndo balaa...!!
 
Anachemsha maziwa kwenye jiko la gesi halafu yye anaendelea na kazi zingine kuja kustuka nusu ya maziwa imemwagika.

Yaani huyu wangu changamoto zake ni kwenye jiko la gesi tu ana matumizi yasiyo sahihi.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hapo hajachemsha maharage
 
Huyu wangu alieondoka amejuaga kunipa mitihani.
Alikua hajui kuandika
Anampiga mtoto mpaka anamuachia alama na mimi mwanangu ni mweupe sana ukimfinya lazima nione
Unaweza ukamtuma akakuambia siendi
Unaweza mtuma maji akaleta soda
Ukimuuliza kitu hajibu
Nikirudi nyumbani namkuta kajipamba balaa sijui anajipamba kwa ajili ya nani
Siku anaweza akaamua akalala chini ya uvungu wa kitanda.

Nahisi pia alikua na matatizo ya akili
 
Hakuna kipindi kigumu kama kuanza kuishi na beki tatu aisee kuna vitu vingi vya kushangaza..tulipata beki tatu toka Iringa picha linaanza tulimwambia apike Uji aisee tutakuta kaweza Chumvi[emoji15][emoji15][emoji15][emoji33]
Kuna siku tukamtuma sokoni tukamuandikia mahitaji ya kununua sasa kumbe hajui kusoma bhana kwenda sokoni akampa jama kikaratasi amsaidie kununua vitu jamaa likamnunulia vitu vichache hela nyingine likasepa nayo, mdada anarudi home vitu havijatimia na hela hana[emoji23][emoji23][emoji23] ikabdi asema ukweli hajui kusoma kabisa.

Katika maisha yako ushawahi shuhudia kituko gani cha beki tatu au mlipata ugumu gani kumtrain beki 3???
Wa kwangu aliingiza jamaa chooni akabanduliwa. Ni choo cha nje. Mwisho aliondoka akiwa [emoji1768].
 
Nakumbuka tulikuwa na wafanyakazi wa ndani 3
1 mpishi
2 wa usafi
3 kazi za nje
Namba 1 na 2 hawa walikuwa ndugu huyu mpishi wallahi hajui kupika anaweka nyanya nzima na wa usafi kaunda suti anasafisha lakini hamalizi yeye nusu nusu tu. Halafu kwa kulala hatareee mzee aliwafukuza baada ya miezi 3 kuona hawabadiliki.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Huyu wangu alieondoka amejuaga kunipa mitihani.
Alikua hajui kuandika
Anampiga mtoto mpaka anamuachia alama na mimi mwanangu ni mweupe sana ukimfinya lazima nione
Unaweza ukamtuma akakuambia siendi
Unaweza mtuma maji akaleta soda
Ukimuuliza kitu hajibu
Nikirudi nyumbani namkuta kajipamba balaa sijui anajipamba kwa ajili ya nani
Siku anaweza akaamua akalala chini ya uvungu wa kitanda.

Nahisi pia alikua na matatizo ya akili
Itakuwa aiseee maana sio kawaidaa.. Kuna mmoja nilimtuma soda akanambia amechoka[emoji23][emoji23][emoji23] Siku nyingine wife yupo ndania akadhani amelala kumbe anamsikia akawa anasema leo chizi yupo nyumbani[emoji119][emoji119][emoji119][emoji24][emoji24] Duuh yani balaa tupu
 
Huyu wangu alieondoka amejuaga kunipa mitihani.
Alikua hajui kuandika
Anampiga mtoto mpaka anamuachia alama na mimi mwanangu ni mweupe sana ukimfinya lazima nione
Unaweza ukamtuma akakuambia siendi
Unaweza mtuma maji akaleta soda
Ukimuuliza kitu hajibu
Nikirudi nyumbani namkuta kajipamba balaa sijui anajipamba kwa ajili ya nani
Siku anaweza akaamua akalala chini ya uvungu wa kitanda.

Nahisi pia alikua na matatizo ya akili
Ulikuwa na moyo,hasa hilo la kumfinya mtoto ningekula nae sahani moja

Kulala uvunguni hata akilala chooni hiyo hainipi shida,
 
Itakuwa aiseee maana sio kawaidaa.. Kuna mmoja nilimtuma soda akanambia amechoka[emoji23][emoji23][emoji23] Siku nyingine wife yupo ndania akadhani amelala kumbe anamsikia akawa anasema leo chizi yupo nyumbani[emoji119][emoji119][emoji119][emoji24][emoji24] Duuh yani balaa tupu
Teeh tehh ...wife akasemaje[emoji1787]
 
Huyu wangu alieondoka amejuaga kunipa mitihani.
Alikua hajui kuandika
Anampiga mtoto mpaka anamuachia alama na mimi mwanangu ni mweupe sana ukimfinya lazima nione
Unaweza ukamtuma akakuambia siendi
Unaweza mtuma maji akaleta soda
Ukimuuliza kitu hajibu
Nikirudi nyumbani namkuta kajipamba balaa sijui anajipamba kwa ajili ya nani
Siku anaweza akaamua akalala chini ya uvungu wa kitanda.

Nahisi pia alikua na matatizo ya akili

Nimekaa na beki tatuz nyingi sana, ila mmoja ndiyo namkumbuka sana!!

Alikuwa Mchawi, tangu aje tulikuwa hatulali maanina ila wazo la kusema ni yeye halikuwepo kabisaa!!

Karaha huwa sipendi! Nikasema ujinga huu mi mwenyewe mchawi zaidi yake ( japo sikujua kama ni yeye) siku hiyo nikafanya yangu, alilia usiku kucha kumuuliza walia nini akajibu sio yeye anatuchezea ila ni bibi yake anakujaga usiku!!

Nikamwambia bibi yako akija usiku leo uniite niongee nae, hakuja na kesho yake akasepa!!
 
Ilibidi nimuulize hivi una nini kichwani au una tatizo la akili? Akaniambia dada hata mimi sijui ila naona tu siko sawa kuna muda natamani niwe kawaida ila sijui kinatokea nini.

Hahahaaa. Boss wake kawa chizi
Itakuwa aiseee maana sio kawaidaa.. Kuna mmoja nilimtuma soda akanambia amechoka[emoji23][emoji23][emoji23] Siku nyingine wife yupo ndania akadhani amelala kumbe anamsikia akawa anasema leo chizi yupo nyumbani[emoji119][emoji119][emoji119][emoji24][emoji24] Duuh yani balaa tupu
 
Back
Top Bottom