Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Huyu bwana alipata na mashosti.
Kiukweli jirani zangu namjua mmoja tu sura yake ila yeye walikua wanamjua nyumba zote.
Akaanza kutumia mpaka mkorogo.
Siku naingia chumbani kwake nakuta kakikopo nafungua nakuta cream
Kiukweli jirani zangu namjua mmoja tu sura yake ila yeye walikua wanamjua nyumba zote.
Akaanza kutumia mpaka mkorogo.
Siku naingia chumbani kwake nakuta kakikopo nafungua nakuta cream
Yani hawa watu balaa akipata na shosti wa kupiga nae story ndo balaa kazi haziendii... Usiombe ajue kutumia na simu[emoji33][emoji33][emoji24][emoji24]