Changamoto za wasaidizi wa kazi za ndani(housemaids)

Changamoto za wasaidizi wa kazi za ndani(housemaids)

Huyu bwana alipata na mashosti.
Kiukweli jirani zangu namjua mmoja tu sura yake ila yeye walikua wanamjua nyumba zote.
Akaanza kutumia mpaka mkorogo.
Siku naingia chumbani kwake nakuta kakikopo nafungua nakuta cream
Yani hawa watu balaa akipata na shosti wa kupiga nae story ndo balaa kazi haziendii... Usiombe ajue kutumia na simu[emoji33][emoji33][emoji24][emoji24]
 
ukikaa na house girl muelewe tu tabia zake. Akiwa anakula sana jua chakula chake ni kitambaa na akizoea ataacha.

Kuna mmoja tulimkuta anakaanga mayai sita saa nane usiku. Ni harufu ndiyo ilituamsha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Suala kula sasa aisee...Wew uan uzoefu na hawa watu.. huyu wetu jamani anapige menu aisee yani akianza kulaa balaa mtalionaa...mnaambulia vumbi
 
Huyu wangu alieondoka amejuaga kunipa mitihani.
Alikua hajui kuandika
Anampiga mtoto mpaka anamuachia alama na mimi mwanangu ni mweupe sana ukimfinya lazima nione
Unaweza ukamtuma akakuambia siendi
Unaweza mtuma maji akaleta soda
Ukimuuliza kitu hajibu
Nikirudi nyumbani namkuta kajipamba balaa sijui anajipamba kwa ajili ya nani
Siku anaweza akaamua akalala chini ya uvungu wa kitanda.

Nahisi pia alikua na matatizo ya akili
Wa kwangu anapiga mswaki huku akijitazama kwenye kioo...ana kakioo kake sijui kaja nako kutoka kwao Dodoma!!!😂😂😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Suala kula sasa aisee...Wew uan uzoefu na hawa watu.. huyu wetu jamani anapige menu aisee yani akianza kulaa balaa mtalionaa...mnaambulia vumbi
Akizoea ataacha
 
Wa kwangu anapiga mswaki huku akijitazama kwenye kioo...ana kakioo kake sijui kaja nako kutoka kwao Dodoma!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Aisee sasa anajiangali aone nini???
 
Aisee wife alimrudisha bila kukuuliza chochote???

Ulikuwa ugomvi sio wa nchi hii na nilileta mpaka uzi humu kuomba ushauri kwa wanabodi wa JF. Yule binti tulitaka kumpeleka VETA ili akasomee ushonaji lakini kwa tamaa zangu za kijinga nikawa nimemuharibia kabisa sasa. Sasa hivi yupo shinyanga huko kuna jamaa anaishi naye na ameshamzalisha.

Ila huwa najilaumu sana kwa lile tukio mapaka kesho.
 
Itakuwa aiseee maana sio kawaidaa.. Kuna mmoja nilimtuma soda akanambia amechoka[emoji23][emoji23][emoji23] Siku nyingine wife yupo ndania akadhani amelala kumbe anamsikia akawa anasema leo chizi yupo nyumbani[emoji119][emoji119][emoji119][emoji24][emoji24] Duuh yani balaa tupu

Hahahah! Eti leo chizi yupo nyumbani.... kilichofuata?
 
Nilipata mwingine alikua ananuka jasho jamani.
Nilikua siwezi hata kukaribisha rafiki zangu nyumbani naona aibu kunavyonuka.
Nikirudi kazini nakaa chumbani tu ila sasa nawaza mwanangu na ile harufu.
Siku nikamuuliza unasikia hii harufu akasema ndio dada, nikamwambia unajua una tatizo la kunuka jasho akasema anajua.
Basi nikamtafutia tiba. Siku 3 tu harufu ikakaata. Kakaa mwenzi kaacha kunuka jasho akaenda kuolewa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Sijawahi kukutana na jasho kama lile
 
Ulikuwa ugomvi sio wa nchi hii na nilileta mpaka uzi humu kuomba ushauri kwa wanabodi wa JF. Yule binti tulitaka kumpeleka VETA ili akasomee ushonaji lakini kwa tamaa zangu za kijinga nikawa nimemuharibia kabisa sasa. Sasa hivi yupo shinyanga huko kuna jamaa anaishi naye na ameshamzalisha.

Ila huwa najilaumu sana kwa lile tukio mapaka kesho.
Daah pole sana mkuu..[emoji24][emoji24][emoji24] bhasi alikuwa mkali mpaka ukarisk hivyo..
 
Nilipata mwingine alikua ananuka jasho jamani.
Nilikua siwezi hata kukaribisha rafiki zangu nyumbani naona aibu kunavyonuka.
Nikirudi kazini nakaa chumbani tu ila sasa nawaza mwanangu na ile harufu.
Siku nikamuuliza unasikia hii harufu akasema ndio dada, nikamwambia unajua una tatizo la kunuka jasho akasema anajua.
Basi nikamtafutia tiba. Siku 3 tu harufu ikakaata. Kakaa mwenzi kaacha kunuka jasho akaenda kuolewa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Sijawahi kukutana na jasho kama lile
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee hata kusahau jasho nalo kikwazoo...itakuwa alipata mchuchu
 
Nilipata mwingine alikua ananuka jasho jamani.
Nilikua siwezi hata kukaribisha rafiki zangu nyumbani naona aibu kunavyonuka.
Nikirudi kazini nakaa chumbani tu ila sasa nawaza mwanangu na ile harufu.
Siku nikamuuliza unasikia hii harufu akasema ndio dada, nikamwambia unajua una tatizo la kunuka jasho akasema anajua.
Basi nikamtafutia tiba. Siku 3 tu harufu ikakaata. Kakaa mwenzi kaacha kunuka jasho akaenda kuolewa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Sijawahi kukutana na jasho kama lile
Hahahahahah halafu utakuta na faza hauzi anapiga deki bila kinyaa...lol!!
 
Huyu wangu alieondoka amejuaga kunipa mitihani.
Alikua hajui kuandika
Anampiga mtoto mpaka anamuachia alama na mimi mwanangu ni mweupe sana ukimfinya lazima nione
Unaweza ukamtuma akakuambia siendi
Unaweza mtuma maji akaleta soda
Ukimuuliza kitu hajibu
Nikirudi nyumbani namkuta kajipamba balaa sijui anajipamba kwa ajili ya nani
Siku anaweza akaamua akalala chini ya uvungu wa kitanda.

Nahisi pia alikua na matatizo ya akili
Ulikuwa unamwamini vipi hadi kumwachia mtoto?
 
Kuna mmoja alikua bek 3 wa anti..daah yani alikua anasinzia kila muda..hasa kipindi cha ibada yani usingizi mpka anakoroma...ila baada ya ibada akianza kuangalia tamthilia zile za kihindi...hahaaa hiyo ni mpka sa9 usiku yupo macho..

Ila kwenye kutosikia vzr nadhani ndio ulemavu wa mabeki tatu wote tz nzima[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Maisha yangu yote, kwangu na kwetu sijawahi kuishi na beki tatu ila nilienda kwa rafiki yangu aisee binti alikuwa na vituko yule, mkimaliza kula au kunywa chai anatoa vyombo anaweka kwenye karo anachukua mkeka analala, mtoto akilala nae analala, hajui kujiongeza kila kitu mpaka umtume halafu hasikiii
Hasikii Ni kiziwi au?
 
Back
Top Bottom