Yani hawa watu balaa akipata na shosti wa kupiga nae story ndo balaa kazi haziendii... Usiombe ajue kutumia na simu[emoji33][emoji33][emoji24][emoji24]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Suala kula sasa aisee...Wew uan uzoefu na hawa watu.. huyu wetu jamani anapige menu aisee yani akianza kulaa balaa mtalionaa...mnaambulia vumbiukikaa na house girl muelewe tu tabia zake. Akiwa anakula sana jua chakula chake ni kitambaa na akizoea ataacha.
Kuna mmoja tulimkuta anakaanga mayai sita saa nane usiku. Ni harufu ndiyo ilituamsha
niko mbion kumrudsha kwao yuko hvhv na mm nilie nae japo ananipa uroda ila kaz haziend nahs pia ana matatizo ya akili
Wa kwangu anapiga mswaki huku akijitazama kwenye kioo...ana kakioo kake sijui kaja nako kutoka kwao Dodoma!!!😂😂😂😂Huyu wangu alieondoka amejuaga kunipa mitihani.
Alikua hajui kuandika
Anampiga mtoto mpaka anamuachia alama na mimi mwanangu ni mweupe sana ukimfinya lazima nione
Unaweza ukamtuma akakuambia siendi
Unaweza mtuma maji akaleta soda
Ukimuuliza kitu hajibu
Nikirudi nyumbani namkuta kajipamba balaa sijui anajipamba kwa ajili ya nani
Siku anaweza akaamua akalala chini ya uvungu wa kitanda.
Nahisi pia alikua na matatizo ya akili
Kuna tatzo gn? ka huendag choon vile,Kukaa kwenye kochi + kula kwa pamoja kwenye dinningtable
Akizoea ataacha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Suala kula sasa aisee...Wew uan uzoefu na hawa watu.. huyu wetu jamani anapige menu aisee yani akianza kulaa balaa mtalionaa...mnaambulia vumbi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Aisee sasa anajiangali aone nini???Wa kwangu anapiga mswaki huku akijitazama kwenye kioo...ana kakioo kake sijui kaja nako kutoka kwao Dodoma!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee wife alimrudisha bila kukuuliza chochote???
Itakuwa aiseee maana sio kawaidaa.. Kuna mmoja nilimtuma soda akanambia amechoka[emoji23][emoji23][emoji23] Siku nyingine wife yupo ndania akadhani amelala kumbe anamsikia akawa anasema leo chizi yupo nyumbani[emoji119][emoji119][emoji119][emoji24][emoji24] Duuh yani balaa tupu
Daah pole sana mkuu..[emoji24][emoji24][emoji24] bhasi alikuwa mkali mpaka ukarisk hivyo..Ulikuwa ugomvi sio wa nchi hii na nilileta mpaka uzi humu kuomba ushauri kwa wanabodi wa JF. Yule binti tulitaka kumpeleka VETA ili akasomee ushonaji lakini kwa tamaa zangu za kijinga nikawa nimemuharibia kabisa sasa. Sasa hivi yupo shinyanga huko kuna jamaa anaishi naye na ameshamzalisha.
Ila huwa najilaumu sana kwa lile tukio mapaka kesho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee hata kusahau jasho nalo kikwazoo...itakuwa alipata mchuchuNilipata mwingine alikua ananuka jasho jamani.
Nilikua siwezi hata kukaribisha rafiki zangu nyumbani naona aibu kunavyonuka.
Nikirudi kazini nakaa chumbani tu ila sasa nawaza mwanangu na ile harufu.
Siku nikamuuliza unasikia hii harufu akasema ndio dada, nikamwambia unajua una tatizo la kunuka jasho akasema anajua.
Basi nikamtafutia tiba. Siku 3 tu harufu ikakaata. Kakaa mwenzi kaacha kunuka jasho akaenda kuolewa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Sijawahi kukutana na jasho kama lile
Hahahahahah halafu utakuta na faza hauzi anapiga deki bila kinyaa...lol!!Nilipata mwingine alikua ananuka jasho jamani.
Nilikua siwezi hata kukaribisha rafiki zangu nyumbani naona aibu kunavyonuka.
Nikirudi kazini nakaa chumbani tu ila sasa nawaza mwanangu na ile harufu.
Siku nikamuuliza unasikia hii harufu akasema ndio dada, nikamwambia unajua una tatizo la kunuka jasho akasema anajua.
Basi nikamtafutia tiba. Siku 3 tu harufu ikakaata. Kakaa mwenzi kaacha kunuka jasho akaenda kuolewa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Sijawahi kukutana na jasho kama lile
Ulikuwa unamwamini vipi hadi kumwachia mtoto?Huyu wangu alieondoka amejuaga kunipa mitihani.
Alikua hajui kuandika
Anampiga mtoto mpaka anamuachia alama na mimi mwanangu ni mweupe sana ukimfinya lazima nione
Unaweza ukamtuma akakuambia siendi
Unaweza mtuma maji akaleta soda
Ukimuuliza kitu hajibu
Nikirudi nyumbani namkuta kajipamba balaa sijui anajipamba kwa ajili ya nani
Siku anaweza akaamua akalala chini ya uvungu wa kitanda.
Nahisi pia alikua na matatizo ya akili
Hasikii Ni kiziwi au?Maisha yangu yote, kwangu na kwetu sijawahi kuishi na beki tatu ila nilienda kwa rafiki yangu aisee binti alikuwa na vituko yule, mkimaliza kula au kunywa chai anatoa vyombo anaweka kwenye karo anachukua mkeka analala, mtoto akilala nae analala, hajui kujiongeza kila kitu mpaka umtume halafu hasikiii