Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chanika mbali kama kibaha?Leo nimeamini Chanika ilipaswa iwe mkoa wa Pwani.
Angalia picha inajieleza kabisaView attachment 3100573View attachment 3100574
Kutokea Ubungo Kibaha mrembo sana.Chanika mbali kama kibaha?
Chanika kama Mkuranga hivi.Chanika mbali kama kibaha?
Njia ya Mwendokasi wamefikia wapi kutengeneza?Leo nimeamini Chanika ilipaswa iwe mkoa wa Pwani.
Angalia picha inajieleza kabisaView attachment 3100573View attachment 3100574
Umbali unapimwa kutokea City center mkuu. Maendeleo yenyew ni center based (CBD)Kutokea Ubungo Kibaha mrembo sana.
Nauli zingiziwa ni kias ganiGari zao huko ukipata siti unatakiwa upige picha maana ni nadra sana..
Pia nauli kama unaenda Morogoro.
Mkuranga kuja kariakoo gari mbili. Mkuranga mpka mbagala 1500. Mbagala kwenda mjini 700 jumla 2200Chanika kama Mkuranga hivi.
Still tukitoka wote pale askari monument me nafika Kibaha we ata Pugu mataa haujaiona.Umbali unapimwa kutokea City center mkuu. Maendeleo yenyew ni center based (CBD)
Ukihesabu hivo utafeli mkali.Mkuranga kuja kariakoo gari mbili. Mkuranga mpka mbagala 1500. Mbagala kwenda mjini 700 jumla 2200
Ah wapi tutake radhi kwa ubadhilifu huuStill tukitika wote pale askari monument me nafika Kibaha we ata Pugu mataa haujaiona.
Umbali umepinwa na mpango wa nauli. Achilia mbali kero ya njia ya usafiri.. kibaha nchi yingine ileUkihesabu hivo utafeli mkali.
Imagine unakaa picha ya ndege.Umbali umepinwa na mpango wa nauli. Achilia mbali kero ya njia ya usafiri.. kibaha nchi yingine ile