Chanika ni kama unaenda mkoa mwingine

Si kweli

Ni umbali wa kawaida sana Kijiografia kutoka city center kwenda Chanika

Mimi huwa nashangaa sana wanaosema Chanika ilitakiwa iwe mkoa wa Pwani.

Kamkoa kenyewe ka Dar kadogo bado watu wanataka kukadogesha.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…