Chanika ni kama unaenda mkoa mwingine

Mwendo kasi ndio imesaidia kidogo unatoka gerezani mpaka mbezi Luis then ndio unaanza safari ya kibaha sasa😂 kama ulikua k/koo lakini.
Wapi mbona kawaida sana mimi kibaha naenda mara nyingi na mpaka sasa nipo kibaha huwa natoka kariakoo kwa napitia makumbusho nachukua gari la mbez halafu nafika mapema tu tena kiboss kabisa
 
Uhakika mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…