#COVID19 Chanjo milioni moja hazijaisha tu?

#COVID19 Chanjo milioni moja hazijaisha tu?

Jasusi Mbobezi

Senior Member
Joined
May 17, 2020
Posts
195
Reaction score
851
Siku moja nilimsikia mheshimiwa sana waziri wangu wa Afya akisema watu wanajitokeza kwa wingi kudungwa kuliko walivyo tarajia, siku nyingine nikamsikia mheshimiwa sana Rais Samia Suluhu akisema kuwa kinacho muumiza kichwa kwasasa ni wapi watapata chanjo zaidi, maana kwa jinsi hizi za awali zilivyo changamkiwa ni wazi kuwa hazitoshi.

Swali langu ni jepesi tu, endapo watu wanajitokeza kwa kasi hiii, mbona haziishi? Yaani pamoja na kuziandalia siku maalumu pale uwanja wa taifa, pamoja na timu zetu kuhamasisha mashabiki wake, pamoja na vyombo vya habari kuzipa promo, pamoja na viongozi wa Bunge kuhamasisha, pamoja na wasanii kuzitungia nyimbo lakini hazijaisha mpaka leo.

Nini tatizo? Waziri wa Afya na naibu wako mnakwama wapi?
 
Hadi chupa za chanjo zilizokwisha tumika zinatunzwa we unategemea tutaziamini vip hizo chanjo zingine zinazokuja

Kama hizo chupa zikiwekewa maji????
 
Kwa elimu ya chanjo niliyo nayo na hii miundombinu tuliyo nayo katika uhifadhi wa chanjo na hakika zile chanjo zitakuwa zishaharibika hivyo atakaye enda kuchanja hana tofouti na yule ambaye hajachanja…
 
Kwa elimu ya chanjo niliyo nayo na miundombinu tuliyo nayo katika uhifadhi wa chanjo na hakika zile chanjo zitakuwa zishaharibika hivyo atakaye enda kuchanja hana tofouti na yule ambaye hajachanja…
Hahahaaa
 
Kwa elimu ya chanjo niliyo nayo na miundombinu tuliyo nayo katika uhifadhi wa chanjo na hakika zile chanjo zitakuwa zishaharibika hivyo atakaye enda kuchanja hana tofouti na yule ambaye hajachanja…
Una uhakika unacho kinena?
 
Una uhakika unacho kinena?
100% mkuu, nenda hospitali zote za mikoa uone kama wana vihifadhi chanjo vya kutosha, sasa hizo chanjo walizopeleka huko wanahifadhia wapi hadi muda huu.

Ulishaji uliza kwanini? Uingizaji wa chanjo ni gharama, kuna factor mbalimbali wanaziangalia ikiwemo gharama za usafirishaji hadi uhifadhi ni gharama zaidi ya unavyofikiria, chanjo si sawa na panadol kwamba kila duka la mangi utazikuta.
 
Siku moja nilimsikia mheshimiwa sana waziri wangu wa Afya akisema watu wanajitokeza kwa wingi kudungwa kuliko walivyo tarajia, siku nyingine nikamsikia mheshimiwa sana Rais Samia Suluhu akisema kuwa kinacho muumiza kichwa kwasasa ni wapi watapata chanjo zaidi, maana kwa jinsi hizi za awali zilivyo changamkiwa ni wazi kuwa hazitoshi.

Swali langu ni jepesi tu, endapo watu wanajitokeza kwa kasi hiii, mbona haziishi? Yaani pamoja na kuziandalia siku maalumu pale uwanja wa taifa, pamoja na timu zetu kuhamasisha mashabiki wake, pamoja na vyombo vya habari kuzipa promo, pamoja na viongozi wa Bunge kuhamasisha, pamoja na wasanii kuzitungia nyimbo lakini hazijaisha mpaka leo.

Nini tatizo? Waziri wa Afya na naibu wako mnakwama wapi?
Chanjo zimewadodea, sasahivi Watanzania sio mapompoma tena,hao mawaziri wawadunge watoto wao,huku kwetu mtaani corona tunaisikia redioni na kwenye matangazo ya tv,sasa nidungwe sumu za nini, wakati corona tangu imeingia sijawai kutana na mgonjwa wa corona,hata mtaani kwangu sijawai kusikia kifo cha mgonjwa wa corona.R.i.p Magufuri kwa kutuambia ukweli,hata ifike wimbi la kumi atuogopi
 
Kwa elimu ya chanjo niliyo nayo na hii miundombinu tuliyo nayo katika uhifadhi wa chanjo na hakika zile chanjo zitakuwa zishaharibika hivyo atakaye enda kuchanja hana tofouti na yule ambaye hajachanja…
Upo sahihi mkuu,kuna mahali nilipita na mchina flan tukakuta jamaa wanashusha box za chanjo,aisee yule mchina alishangaa sana akasema hivi kweli ile ndyo chanjo?mbona imewekwa hovyo vile,nikamuuliza kwann? akasema chanjo inatakiwa kuwekwa mahali penye kiwango flan hv cha ubaridi muda wote.
 
Chanjo zimewadodea, sasahivi Watanzania sio mapompoma tena,hao mawaziri wawadunge watoto wao,huku kwetu mtaani corona tunaisikia redioni na kwenye matangazo ya tv,sasa nidungwe sumu za nini, wakati corona tangu imeingia sijawai kutana na mgonjwa wa corona,hata mtaani kwangu sijawai kusikia kifo cha mgonjwa wa corona.R.i.p Magufuri kwa kutuambia ukweli,hata ifike wimbi la kumi atuogopi
Mkuu unastahili like yangu
 
Upo sahihi mkuu,kuna mahali nilipita na mchina flan tukakuta jamaa wanashusha box za chanjo,aisee yule mchina alishangaa sana akasema hivi kweli ile ndyo chanjo?mbona imewekwa hovyo vile,nikamuuliza kwann? akasema chanjo inatakiwa kuwekwa mahali penye kiwango flan hv cha ubaridi muda wote.
Pia hata kuonana na mwanga wa jua ni kosakubwa sana, cold chain ni muhimu ku-maintain nje ya hapo ni kama kufanya utani tu..

Na ukiangalia % kubwa ya watu waliochanja wengi wao wamekuwa wakiugua kwa muda na wengine wameishia kupoteza maisha, hii yote ni kwamba utaratibu mzima wa kuhifadhi sio rafiki
 
Siku moja nilimsikia mheshimiwa sana waziri wangu wa Afya akisema watu wanajitokeza kwa wingi kudungwa kuliko walivyo tarajia, siku nyingine nikamsikia mheshimiwa sana Rais Samia Suluhu akisema kuwa kinacho muumiza kichwa kwasasa ni wapi watapata chanjo zaidi, maana kwa jinsi hizi za awali zilivyo changamkiwa ni wazi kuwa hazitoshi.

Swali langu ni jepesi tu, endapo watu wanajitokeza kwa kasi hiii, mbona haziishi? Yaani pamoja na kuziandalia siku maalumu pale uwanja wa taifa, pamoja na timu zetu kuhamasisha mashabiki wake, pamoja na vyombo vya habari kuzipa promo, pamoja na viongozi wa Bunge kuhamasisha, pamoja na wasanii kuzitungia nyimbo lakini hazijaisha mpaka leo.

Nini tatizo? Waziri wa Afya na naibu wako mnakwama wapi?

tatizo wameshindwa kujibu maswali ya gwajiboy
 
Back
Top Bottom