#COVID19 Chanjo milioni moja hazijaisha tu?

#COVID19 Chanjo milioni moja hazijaisha tu?

Chanjo zimewadodea, sasahivi Watanzania sio mapompoma tena,hao mawaziri wawadunge watoto wao,huku kwetu mtaani corona tunaisikia redioni na kwenye matangazo ya tv,sasa nidungwe sumu za nini, wakati corona tangu imeingia sijawai kutana na mgonjwa wa corona,hata mtaani kwangu sijawai kusikia kifo cha mgonjwa wa corona.R.i.p Magufuri kwa kutuambia ukweli,hata ifike wimbi la kumi atuogopi
Huwa najiuliza sana,majirani zangu,kazini kwangu,marafiki zangu wote tunakutana kila siku, kwenye magroup ya wasap n.k

Sjawahi sikia mtu kafa kwa huu upuuzi...aisee wamefeli vibaya sana
 
Daah..chanjo zimedoda yani mpaka jana wanechanja watu laki tatu...watoe pesa kuwa motivate wabongo

#MaendeleoHayanaChama
 
Nimependa hilo neno lako la milooni!😁😁😁
 
29dc0bef-6e46-4a58-9e86-903b1f8e6350.jpg

Na hapo zilikuja zikiwa zimekaribia ku-expire!
 
Mpaka juzi ni watu laki 3 wamechanjwa. Hata hizo timu wanazosema ni geresha tu. Hao manesi ndio kabisa wamegomea kuchanjwa. Duniani kote kuna maandamano ya kugomea hizo chanjo. Wanaozipigia kampeni ni wale waliochanjwa ili muingie kwenye kapu moja
 
Siku moja nilimsikia mheshimiwa sana waziri wangu wa Afya akisema watu wanajitokeza kwa wingi kudungwa kuliko walivyo tarajia, siku nyingine nikamsikia mheshimiwa sana Rais Samia Suluhu akisema kuwa kinacho muumiza kichwa kwasasa ni wapi watapata chanjo zaidi, maana kwa jinsi hizi za awali zilivyo changamkiwa ni wazi kuwa hazitoshi.

Swali langu ni jepesi tu, endapo watu wanajitokeza kwa kasi hiii, mbona haziishi? Yaani pamoja na kuziandalia siku maalumu pale uwanja wa taifa, pamoja na timu zetu kuhamasisha mashabiki wake, pamoja na vyombo vya habari kuzipa promo, pamoja na viongozi wa Bunge kuhamasisha, pamoja na wasanii kuzitungia nyimbo lakini hazijaisha mpaka leo.

Nini tatizo? Waziri wa Afya na naibu wako mnakwama wapi?
Hata nusu bado
 
Back
Top Bottom