#COVID19 Chanjo milioni moja hazijaisha tu?

#COVID19 Chanjo milioni moja hazijaisha tu?

Kwa elimu ya chanjo niliyo nayo na hii miundombinu tuliyo nayo katika uhifadhi wa chanjo na hakika zile chanjo zitakuwa zishaharibika hivyo atakaye enda kuchanja hana tofouti na yule ambaye hajachanja…
da!!!, Mwenyezi Mungu atusaidie....
 
Pia mwenyekiti wa CHADEMA alisema watu walazimishwe kuchanja inamaana ameshindwa kuwalazimisha makamanda wote wachanjwe?
Kuna kitu hakiko sawa kwenye chanjo za J&J in term of efficacy kulinganisha na chanjo nyingine za Uviko 19, ila nilisikia bakabaka na askari wengine walichanjwa kwa nguvu, nje ya hapo unatengwa.

Bora tungeendelea kuyaishi maneno ya Hayati Tanzania ingeendelea kuwa salama.
 
Kuna kitu hakiko sawa kwenye chanjo za J&J in term of efficacy kulinganisha na chanjo nyingine za Uviko 19, ila nilisikia bakabaka na askari wengine walichanjwa kwa nguvu, nje ya hapo unatengwa.

Bora tungeendelea kuyaishi maneno ya Hayati Tanzania ingeendelea kuwa salama.
Bakabaka hawa hawa wa Tanzania? Madam ana ubavu huo? Nikweli mkuu, JPM alikuwa mashine yule jamaa.
 
Hili la Chanjo Wizara imechemka. Haikufuata utaalamu mzuri kuwashauri wananchi badala yake wakatumia mapendekezo ya kamati ya kisiasa.
 
Chanjo zimewadodea, sasahivi Watanzania sio mapompoma tena,hao mawaziri wawadunge watoto wao,huku kwetu mtaani corona tunaisikia redioni na kwenye matangazo ya tv,sasa nidungwe sumu za nini, wakati corona tangu imeingia sijawai kutana na mgonjwa wa corona,hata mtaani kwangu sijawai kusikia kifo cha mgonjwa wa corona.R.i.p Magufuri kwa kutuambia ukweli,hata ifike wimbi la kumi atuogopi
Sema huogopi wew, jiwe mwenyewe ilimdondosha baada ya kuiletea ujuaji
 
Takwimu zake ziko jikoni zinakaangizwa zikikwivya mtatengewa mezani.
 
Sema huogopi wew, jiwe mwenyewe ilimdondosha baada ya kuiletea ujuaji
Kama wangelikuwa wanaiogopa corona hivo,watu wangelikimbilia chanjo,pamoja na promotion zote,wamepata watu laki tatu tu,hauoni kuwa watu hawaogopi corona?
 
Upo sahihi mkuu,kuna mahali nilipita na mchina flan tukakuta jamaa wanashusha box za chanjo,aisee yule mchina alishangaa sana akasema hivi kweli ile ndyo chanjo?mbona imewekwa hovyo vile,nikamuuliza kwann? akasema chanjo inatakiwa kuwekwa mahali penye kiwango flan hv cha ubaridi muda wote.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuku wangu ninao wafuga nikitaka kuwapa chanjo nikienda dukani hiyo chanjo inatolewa kwenye freezer na unapewa na barafu ya ku escort hiyo chanjo.

Na unambiwa kabisa ukishaweka kwenye maji ndani ya masaa 2 tu imwage vinginevyo kuku watakufa wote maana itageuka sumu!

Sasa hizi za corona sijui wanataka nini hawa watu
 
Nasikia zimebaki 1,995,000 tu na hamna dalili hata ya kupungua moja karibu ukachanjwe mleta mada
 
ukiangalia % kubwa ya watu waliochanja wengi wao wamekuwa wakiugua kwa muda na wengine wameishia kupoteza maisha, hii yote ni kwamba utaratibu mzima wa kuhifadhi sio rafiki
Ni kweli khs suala la uhifadhi, lakini kwa ninavyojua mimi sijaona mtu yeyote aliyepata chanjo nikiwemo mimi, ameugua eti kwa sababu ya chanjo 🙄
 
Siku moja nilimsikia mheshimiwa sana waziri wangu wa Afya akisema watu wanajitokeza kwa wingi kudungwa kuliko walivyo tarajia, siku nyingine nikamsikia mheshimiwa sana Rais Samia Suluhu akisema kuwa kinacho muumiza kichwa kwasasa ni wapi watapata chanjo zaidi, maana kwa jinsi hizi za awali zilivyo changamkiwa ni wazi kuwa hazitoshi.

Swali langu ni jepesi tu, endapo watu wanajitokeza kwa kasi hiii, mbona haziishi? Yaani pamoja na kuziandalia siku maalumu pale uwanja wa taifa, pamoja na timu zetu kuhamasisha mashabiki wake, pamoja na vyombo vya habari kuzipa promo, pamoja na viongozi wa Bunge kuhamasisha, pamoja na wasanii kuzitungia nyimbo lakini hazijaisha mpaka leo.

Nini tatizo? Waziri wa Afya na naibu wako mnakwama wapi?
Hakuna mtanzania mpumbaavu wa kuchoma chanjo za majaribio ovyoovyo
 
Kwa elimu ya chanjo niliyo nayo na hii miundombinu tuliyo nayo katika uhifadhi wa chanjo na hakika zile chanjo zitakuwa zishaharibika hivyo atakaye enda kuchanja hana tofouti na yule ambaye hajachanja…
Nikweli kabisa chanjo zimesha haribika watakao choma sasa wajitizame sana
 
Mpaka juzi ni watu laki 3 wamechanjwa. Hata hizo timu wanazosema ni geresha tu. Hao manesi ndio kabisa wamegomea kuchanjwa. Duniani kote kuna maandamano ya kugomea hizo chanjo. Wanaozipigia kampeni ni wale waliochanjwa ili muingie kwenye kapu moja



Well said
Nnadugu ni nesi yeye hatampango wa kuchanja hana na huwez mshawishi achanje
 
Back
Top Bottom