Huogopi kuitwa kuhojiwa eeh,wewe endelea kusema ukweli.Kwa elimu ya chanjo niliyo nayo na hii miundombinu tuliyo nayo katika uhifadhi wa chanjo na hakika zile chanjo zitakuwa zishaharibika hivyo atakaye enda kuchanja hana tofouti na yule ambaye hajachanja…
Huwa najiuliza sana,majirani zangu,kazini kwangu,marafiki zangu wote tunakutana kila siku, kwenye magroup ya wasap n.kChanjo zimewadodea, sasahivi Watanzania sio mapompoma tena,hao mawaziri wawadunge watoto wao,huku kwetu mtaani corona tunaisikia redioni na kwenye matangazo ya tv,sasa nidungwe sumu za nini, wakati corona tangu imeingia sijawai kutana na mgonjwa wa corona,hata mtaani kwangu sijawai kusikia kifo cha mgonjwa wa corona.R.i.p Magufuri kwa kutuambia ukweli,hata ifike wimbi la kumi atuogopi
Chanjo lazima zidode!! Hatudanganyiki!!
Noma Sana.Huogopi kuitwa kuhojiwa eeh,wewe endelea kusema ukweli.
Nyie ndo mnaitwa wapotoshaji.
Na wengine watajirudia 😂Wakitupatia dollar 100 100 zitaisha zote
Mo amevurugwa yulemo anaita “milooni” badala ya milioni[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa huwa unafuta sana nyuzi zangu na kuziunganisha bila mpangilio, mi huwa naangalia halafu nasema hiiiiNimependa hilo neno lako la milooni![emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 1917418
Anacho kinena?Una uhakika unacho kinena?
Hii siyo kweli pale kwa Mkapa pekee siku ya wananchi wamechanjwa watu 60,000View attachment 1917561
Na hapo zilikuja zikiwa zimekaribia ku-expire!
Sitaki kuamini hata wanachama pekee wa CCM wameshindwa kuzimaliza hizo chanjo milioni moja, maana nakumbuka Polepole alikuwa anasema wana wanachama hai zaidi ya milioni nane.NILIKUWA NA SWALI KAMA LAKO ELEWA HATA NUSU HAZIJAISHA LAKI TATU TUU NDO WAMEPATA
Hata nusu badoSiku moja nilimsikia mheshimiwa sana waziri wangu wa Afya akisema watu wanajitokeza kwa wingi kudungwa kuliko walivyo tarajia, siku nyingine nikamsikia mheshimiwa sana Rais Samia Suluhu akisema kuwa kinacho muumiza kichwa kwasasa ni wapi watapata chanjo zaidi, maana kwa jinsi hizi za awali zilivyo changamkiwa ni wazi kuwa hazitoshi.
Swali langu ni jepesi tu, endapo watu wanajitokeza kwa kasi hiii, mbona haziishi? Yaani pamoja na kuziandalia siku maalumu pale uwanja wa taifa, pamoja na timu zetu kuhamasisha mashabiki wake, pamoja na vyombo vya habari kuzipa promo, pamoja na viongozi wa Bunge kuhamasisha, pamoja na wasanii kuzitungia nyimbo lakini hazijaisha mpaka leo.
Nini tatizo? Waziri wa Afya na naibu wako mnakwama wapi?
Hata watumishi wa umma pekee wangemalizaSitaki kuamini hata wanachama pekee wa CCM wameshindwa kuzimaliza hizo chanjo milioni moja, maana nakumbuka Polepole alikuwa anasema wana wanachama hai zaidi ya milioni nane.