Inasikitisha sana kuona watu wanavyobisha kwa furaha na kicheko bila kuelewa lolote kuhusu Covid-19.
Tatizo ni kwamba Covid-19 wana mutate kupitia watu ambao hawajachanjwa, kiasi kwamba inafikia wakati msiochanjwa mnawapa uwanja wa Covid-19 ku-mutate hadi wanafikia kuwaambukiza tena wale waliochanjwa kwa kuwa chanjo yao ilikuwa ni kwa Covid-19 ambaye alikuwa haja-mutate.
Kwa hiyo dawa ni watu wote kuchanja ili kutowapa Covid-19 hosts watakaowatumia ku-mutate. Ndio maana mnasikia juu ya South Africa variant, UK variant etc.
Tulipoanza na Covid-19, hatukuwa na Delta variant ya Covid-19. Delta ni Covid-19 ambaye ame-mutate kupitia wajinga ambao hawataki kuchanja. Kama dunia nzima tunhechanja kwa wakati mmoja, tusingekuwa na Covid-19 Delta. Na kadiri watu wanavochelewa ndivyo tutazidi kuwa na mutations zaidi za Covid-19, na kufikia ambapo chanjo zitakuwa hazisaidii tena.
Siku wakifa mama, baba, watoto, dada, kaka zenu, ndio mtajua uchungu wa Covid-19. Kwa sasa chekeni sana.
Kwa nini mnakuwa wabishi bila kusumbua akili zetu kuelewa mambo kwanza?