#COVID19 Chanjo ya Corona iwe lazima kwa baadhi ya makundi yanayotoa huduma za kijamii

Mbona unaongea Hadi mishipa ya shingo inakusimama.TUNAJUA UMELIPWA KWA KAZI HIYO NA WENYE COVID.

Sasa km umechanjwa, si umejikinga na covid tayari.

Asiyechanjwa si akiambukizwa atakufa?na wewe KWA kuwa una chanjo kirusi hakitakudhuru Sana.

Shida iko wapi sasa?ww unayeogopa kuambukizwa ndo ujifungie huko ndani mwako, na ambao hawajachanjwa wao waendelee kuambukizana huko mtaani na kupukutika km unavyopotosha hapa.
 
Nahisi kuna siku humu tutaona tanzia juu yako wewe kama mwana JF - mwenzetu kafa kwa matatizo ya kupumua. Kwa mtazamo wako huu ni suala la muda tu.
Utakufa mwenyewe kenge ww.

Usitishe watu kwa kifo ,as if Hakuna aisyejua kufa.Isitoshe hukumpangia yeye azaliwe, halikadharika humpangii yy afe lini.
 
Utakufa mwenyewe kenge ww.

Usitishe watu kwa kifo ,as if Hakuna aisyejua kufa.Isitoshe hukumpangia yeye azaliwe, halikadharika humpangii yy afe lini.
Nimekupenda bure. Kweli wewe ni AKILI KIBWAZ.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…