#COVID19 Chanjo ya Corona iwe lazima kwa baadhi ya makundi yanayotoa huduma za kijamii

#COVID19 Chanjo ya Corona iwe lazima kwa baadhi ya makundi yanayotoa huduma za kijamii

Anataka tuumie wote πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, si unajua kifo cha wengi hakiumi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, keshachanja huyo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nawaambia watu kama nyie uwezekano wa kufika mwaka kesho ni mdogo sana, Korona inawaita naa itawapata tu. Lakini kwanza itawapa fundisho, halafu ndio itawapiga. Hamna tofauti na huyu jamaa wa Burundi aliyekuwa anafanya mzaha na Korona, akafa yeye, mama yake na mkewe. Nyie fanyeni utani na Korona.
 
Nawaambia watu kama nyie uwezekano wa kufika mwaka kesho ni mdogo sana, Korona inawaita naa itawapata tu. Lakini kwanza itawapa fundisho, halafu ndio itawapiga. Hamna tofauti na huyu jamaa wa Burundi aliyekuwa anafanya mzaha na Korona, akafa yeye, mama yake na mkewe. Nyie fanyeni utani na Korona.
Hivi mpaka leo kuna hajaumwa Corona kweli? Miaka 100 mimi nadunda, we kachanje ugande damu ndugu
 
Ndio naogopa, kwa sababu nafurahia maisha vyuma havijakaza kwangu. Kuna watu mmefulia hadi mnaona kufa kwa Korona ni suluhisho
images.jpeg-169.jpg

Cowards
Endeleeni kuishi kwa kulamba soli za mabwana zenu wanaowapa hizo chanjo
 
Nawaambia watu kama nyie uwezekano wa kufika mwaka kesho ni mdogo sana, Korona inawaita naa itawapata tu. Lakini kwanza itawapa fundisho, halafu ndio itawapiga. Hamna tofauti na huyu jamaa wa Burundi aliyekuwa anafanya mzaha na Korona, akafa yeye, mama yake na mkewe. Nyie fanyeni utani na Korona.
Itupate mara ngapi inakuja unapiga chafya unadunda.....shida labda kwa nyie mnaoishi kwa matumaini nendeni mkadungwe tu
 
Sasa Kama umepata Chanjo unaogopa nini kupumuliwa Na Mtu ambaye hajapata Chanjo.
Kazi ya Chanjo mwilini mwako itakuwa nini
 
Si katika kila jambo tunapaswa kuishi kwa imani. Mengine yanahitaji ukweli wa kisayansi.
Acha upumbavu wewe. Sayansi gani hiyo. Watu wanachanjwa full na wanakufa wewe unaleta siasa zako za kidikteta hapa?

Kama chanjo inazuia iweje konda asiyechanjwa akupe wasiwasi wewe uliyechanjwa? Ujinga ujinga tu. Kama vipi tembea kwa miguu hulazimishwi kupanda daladala!
 
Nawaambia watu kama nyie uwezekano wa kufika mwaka kesho ni mdogo sana, Korona inawaita naa itawapata tu. Lakini kwanza itawapa fundisho, halafu ndio itawapiga. Hamna tofauti na huyu jamaa wa Burundi aliyekuwa anafanya mzaha na Korona, akafa yeye, mama yake na mkewe. Nyie fanyeni utani na Korona.
Huyu mwenzako alikuwa na hela na akachanja



Mwisho wake pia alikufa. Sasa wewe hata jina unatumia feki halafu unaleta mikwara mbuzi




Endelea kujidanganya!
 
Huyu mwenzako alikuwa na hela na akachanja



Mwisho wake pia alikufa. Sasa wewe hata jina unatumia feki halafu unaleta mikwara mbuzi




Endelea kujidanganya!

Hivi unajua watu wangapi wamekufa kwa reaction anesthesia, sindano za malaria, X-pane, na antibiotics nyingine? Kwa hiyo hazifai?

Kwa taarifa yako, karibu kwa kila dawa, kila watu 10000 wanaozitumia, 5 hufa kutokana na reaction.

Haya mambo ni makubwa sana kwako kuelewa, waachie watu wenye elimu zao. Ndio maana kuna tofauti kati ya hoja za mtu msomi na ubishi wa mtu wa kijiweni.
 
Hivi unajua watu wangapi wamekufa kwa reaction anesthesia, sindano za malaria, X-pane, na antibiotics nyingine? Kwa hiyo hazifai?

Kwa taarifa yako, karibu kwa kila dawa, kila watu 10000 wanaozitumia, 5 hufa kutokana na reaction.

Haya mambo ni makubwa sana kwako kuelewa, waachie watu wenye elimu zao. Ndio maana kuna tofauti kati ya hoja za mtu msomi na ubishi wa mtu wa kijiweni.
Sawa dokta mangungu. Naheshimu sana wataalam, wetu.
Ila sio wataalam uchwara kwa ulivyoonesha, wanaoongea tofauti na uhalisia!
 
Kwanini huyu mzee hamtaki kumwelewa? Mpaka wasafishe kwanza hii!!
 

Attachments

  • VID-20210819-WA0000.mp4
    2.5 MB
Back
Top Bottom