Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
- Thread starter
- #81
Nawaambia watu kama nyie uwezekano wa kufika mwaka kesho ni mdogo sana, Korona inawaita naa itawapata tu. Lakini kwanza itawapa fundisho, halafu ndio itawapiga. Hamna tofauti na huyu jamaa wa Burundi aliyekuwa anafanya mzaha na Korona, akafa yeye, mama yake na mkewe. Nyie fanyeni utani na Korona.Anataka tuumie wote πππ, si unajua kifo cha wengi hakiumi πππ, keshachanja huyo πππ