Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,677
- 11,768
Bro, unalipwa kiasi gani kueneza upuuzi huu?Basi hiyo kazi yako ya ukonda wa daladala acha utafute kazi nyingine utakayofanyia chumbani kwako na mkeo. Nina kijana wangu hapa ana miaka 9 japo uwezekano ni mdogo, lakini anaweza kuambukizwa Korona na mtu kama wewe
Nikuambie kitu, elimu uliyo soma imekusaidia kupata ajira tu, inayo fanya tumbo lako liwe kama birika ya chai, lakini haijakukwamua kimaarifa.