#COVID19 Chanjo ya Corona iwe lazima kwa baadhi ya makundi yanayotoa huduma za kijamii

Utakufa mwenyewe kenge ww.

Usitishe watu kwa kifo ,as if Hakuna aisyejua kufa.Isitoshe hukumpangia yeye azaliwe, halikadharika humpangii yy afe lini.
Bado tu upo hai? Subiri, haitachukua muda mrefu. Uwe mvumilivu, Corona inakujia kwa kasi!
 
Na wewe si muda tutasema ulikuwa mtu mzuri lakini mbishi. Corona inakujia kwa kasi!
 
Hicho kidawa wanachowachoma sijui ni kirusi ni hatari sana maana kila aliyechoma amekua na kauli za ajabuajabu na anatamani kila mtu achanjwe kama yeye huku wanasema ni hiari, sasa najiuliza hiari hii mbona kama hiarilazima hivi?
 
Mabaa medi wachome sindano:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…