- Thread starter
- #121
Ni wapi nimekutukana, nilichokupa ni sifa yako ya ujuaji.......maelezo mengine fuatilia kwa wajuaji wenzio.Bila shaka. Asiye na maelezo hupendelea matusi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wapi nimekutukana, nilichokupa ni sifa yako ya ujuaji.......maelezo mengine fuatilia kwa wajuaji wenzio.Bila shaka. Asiye na maelezo hupendelea matusi.
sasa unata kuwaambukize wengine?Mkuu kama ukiambiwa bila kuchoma hupandi ndege, huko siyo kulazimishana.....
Aliyekwambia mtu asiyechanjwa ugonjwa fulani lazima awe na huo ugonjwa na akawaambukize wengine.......na nani aliyekwambia ukichanjwa ugonjwa huwezi kuupata, muwe mnauliza basi kama hamjui lolote kuliko kujiaibisha.sasa unata kuwaambukize wengine?
Haya basi nenda ulaya basi bila kupima korona tukujue wewe mwanaume.Aliyekwambia mtu asiyechanjwa ugonjwa fulani lazima awe na huo ugonjwa na akawaambukize wengine.......na nani aliyekwambia ukichanjwa ugonjwa huwezi kuupata, muwe mnauliza basi kama hamjui lolote kuliko kujiaibisha.
Umeshapeleka ma tackle, chanjo zinatolewa bure huko....Haya basi nenda ulaya basi bila kupima korona tukujue wewe mwanaume.
Kuna watu ni mbumbumbu sana, wameaminishwa kwamba hizo chanjo zitawakinga na kifo. Kule ambako karibu kila mtu amechanjwa wanaugua na kufa vilevile na vifo vingine ni kutokana na madhara ya chanjo yenyewe......Nasikia kwamba hata kama umechanjwa, hii covid awamu ya tatu haiangalii makunyanzi.
Mara mbili (mara moja nilifanikiwa kuiona timu yang pendwa Mn United ikicheza pale OT) zinanitosha kama kwenda ni lazima nichome sindano zao hizo.Mi ninaogopa sana hizi ma kitu bossItabidi udungwe tu mkuu, usikose ka harufu ka ulaya...
Hali tete kvp hebu elezea hali ikoje?Hali ni tete ndugu zanguni. Watu wanapoteza life, hili gonjwa msilichukulie poa. Tujihadhari, kumbi za harusi, sherehe za aina yoyote tuepukane nayo bandugu. Mkitaka kujua ukweri nendeni hospitalini mukajionee hali inatisha bandugu.
Chanjo free, kipimo cha covid USD 100, pambav zao sanaPigweni tu chanjo its free of charge!
Hii ni biashara ya lazima! Mabeberu walishaingia gharama kubwa sana katika utafiti na utengenezaji wa chanjo hiyo na wanalazimisha ili kurejesha pesa zao na kupiga faida ya kufa mtu! Kiukweli chanjo yenyewe imedhihirika KUTOKUFANIKIWA! Kwa kawaida chanjo inapaswa kuzuia maambukizi. Lakini hii chanjo ya corona haizuii maambukizi!! Kwa hiyo ikatafutwa lugha ya kuzuga! Wakadai haizuii maambukizi bali inapunguza uwezekano wa kuugua kiasi cha kulazwa hospitalini!! Huu ni uongo!! Bali ni ukweli ni kuwa watu walio wengi wakiambukizwa hawalazwi hospitalini bali hupona bila hata kujua kama walikuwa na maambukizi ya corona. Sasa chanjo nii ya magumashi inataka kudandia sifa kwenye ukweli huu!!Habari ndugu wanaJF,
Jana kwenye mkutano wa rais na wanahabari nilimsikia akiongea confidently kuhusu kuagiza na kuanza kutumia chanjo za covid. Ieleweke kwamba hizo chanjo zilitolewa kwa dharura bila conclusive data za kitafiti na baadhi ya madhara ya muda mfupi yaliyokwishatokea ni kuganda kwa damu (blood clots), kushuka kwa kiwango cha chembechembe nyeupe za damu zinazohusika na kuganda kwa damu 'platelets' na kusababisha tatizo linalojulikana kitaalamu kama 'thrombocytopenia' matatizo ya mzio 'autoimmunity' ambapo chembe chembe za kinga zinashambulia viungo vya mwili na hii ikitokea kwenye viungo muhimu kama figo, ini na ubongo inaweza kupelekea vishindwe kabisa kufanya kazi 'organ failure'.
Hivi karibuni shirika la kuthibiti magonjwa la marekani CDC limeripoti kuongezeka kwa cases zinazoonyesha athari kwenye misuli ya moyo 'myocarditis' na hata kwenye kiwambo kinachozunguka moyo 'pericarditis' kwa vijana na watoto waliochanjwa chanjo ya korona inayotumia teknolojia ya mRNA.
Pia, uchambuzi wa kitaalamu uliotolewa hivi karibuni umeonyesha ndani ya masaa 48 kibebeo cha chanjo inapodungwa mwilini 'lipid nanoparticles' kimeonekana hasa kwenye vifuko vya mayai kwa wanawake 'ovaries' na kwenye uboho wa mifupa 'bone marrow' jambo ambalo siyo la kawaida na linaweza kusababisha shida za uzazi kwa akina mama na matatizo ya kansa za damu 'leukemias' 'lymphomas' na ukizingatia hizi shida za kansa, madhara ya uzazi na hata mzio 'autoimmunity' zinaweza kuchukua muda mrefu hata miaka zaidi ya mitatu kudhihirika.
Je, wataalamu wamemshauri rais kwa kuzingatia utaalamu na up-to-date information zinazotolewa kuhusu madhara ya hizo chanjo? au wameamua tu kutoa ushauri unaoendeshwa na upepo wa ngoma inavyochezwa huko duniani kuhusiana na huu ugonjwa wa covid.
Mimi ningeshauri zitumike zaidi njia za kujikinga badala ya kuhimiza kampeni za chanjo ambayo ipo kwenye utafiti, kwa sababu ukishachanja hakuna namna ya kuondoa hiyo chanjo mwilini, kinachobaki inakuwa ni kupambana na madhara yanayoweza kutokea ndani ya muda mfupi, muda wa kati au muda mrefu.
Nawasilisha.
Mababeru ni wajanja wajanja sana, wapo radhi kutoa hiyo dawa wanayoita chanjo bure hata dozi tatu za mwanzo ili wavuruge mfumo asili wa kinga ya mapafu kwa watu, jambo ambalo litawafanya waishi kwa kutegemea chanjo........ikifika hapo ndo beberu ataanza kuvuna pesa....Hii ni biashara ya lazima! Mabeberu walishaingia gharama kubwa sana katika utafiti na utengenezaji wa chanjo hiyo na wanalazimisha ili kurejesha pesa zao na kupiga faida ya kuda mtu! Kiukweli chanjo yenyewe imedhihirika KUTOKUFANIKIWA! Kwa kawaida chanjo inapaswa kuzuia maambukizi. Lakini hii chanjo ya corona haizuii maambukizi!! Kwa hiyo ikatafutwa lugha ya kuzuga! Wakadai haizuii maambukizi bali inapunguza uwezekano wa kuugua kiasi cha kulazwa hospitalini!! Huu ni uongo!! Bali ni kuwa watu walio wengi wakiambukizwa hawalazwi hospitalini bali hupona bila hata kujua kama walikuwa na maambukizi ya corona.
Unaweza kujenga hoja kwa namba?
Weka chanjo gani ina matatizo gani, hususan blood clots.
Weka wangapi wamepata hizo chanjo.
Wangapi wamepata blood clots.
Wangapi wamefariki kwa blood clots.
Halafu, linganisha na vifo vitakavyotokea kwa watu wa idadi hiyohiyo ambao hawatachanjwa kwa kuogopa blood clots.
Kuchanja ni hiari, lakini tunalazimishwa kupitia kampeni kali inayo endeshwa na watawala. Watawala wanaeleza uzuri tu wa chanjo, ubaya wake hawasemi, nawe utaitwa mhaini ukielezea mabaya ya chanjo.Umesikiwa. Una kila haki ya kukataa chanjo ili mradi usituzuie sisi ambao tunaitaka kupata.
Btw, hayo yote ulioyasema yamezungumzwa sana na majibu yake yapo humo humo ulipoyatoa. Rais amesema kama unaamini nyungu ruksa, kama hautaki ruksa na kama unataka ni ruksa.
Akili mukichwa.
Amandla...
We mnenguaji unasemaje maana maandishi hayo yametoka marekani na sio kwa mwendazake wala mataga.Wewe ni Dr. Wa masuala gani? Isije ikawa ni mataga alielishwa tango na mwendazake
Huyu jamaa alikuwa amechanjwa. Hata kwenye clip kuna sauti ya mtu anayemfahamu akiss a "alikuwa amechanjwa" huyu!! Mwingine akaongezea hoja: "kama alikuwa amechanjwa isisikike popote". Ila Mungu alivyo mwema tumevisikia vyote!!! Halafu unategemea nisikilize upuuźi wako kuhusu chanjo, utasubiri sana na unajua hivyo!!Wale wa chanjo tazameni hii
Watanzania wengi ni elimu duni including wewe kamwamu na eventually uwezo wa kuchambua ukweli na uwongo ni mdogo. Japo chanjo ni hiari, Serikali imefanya vizuri kwenye kuwekeza kwenye elimu na ugharibishi wa umuhimu na usalama wa chanjo. Lengo nikuwa wa kuelewa waelewe.Kuchanja ni hiari, lakini tunalazimishwa kupitia kampeni kali inayo endeshwa na watawala. Watawala wanaeleza uzuri tu wa chanjo, ubaya wake hawasemi, nawe utaitwa mhaini ukielezea mabaya ya chanjo.