Chanjo ya COVID-19: Hivi wataalam hamjui ukweli au mmeamua kumpotosha Rais?

Chanjo ya COVID-19: Hivi wataalam hamjui ukweli au mmeamua kumpotosha Rais?

E
Watanzania wengi ni elimu duni including wewe kamwamu na eventually uwezo wa kuchambua ukweli na uwongo ni mdogo. Japo chanjo ni hiari, Serikali imefanya vizuri kwenye kuwekeza kwenye elimu na ugharibishi wa umuhimu na usalama wa chanjo. Lengo nikuwa wa kuelewa waelewe.

Mkiamua kutochanja iwe ni juu yenu na siyo Serikali ilaumiwe kwa kutotoa elimu.
Elimu mfu!! Wenye hiyo elimu wa akufa kila siku kwa corona. Jana pekee huko marekani wamekufa kwa corona zaici ya watu 1900!! Maambukizi mapya ya corona ni zaidi ya laki moja kwa jana tu!! Hak ndio walimu wa walimu!! Elimu isiyoweza kusaidia nenda ukafe nayo mbele!! Iko kwenye rekodi Tanzania tuliponywa na Mungu!! Ndio maana uko hai hivi leo na watoto wako hawajafungiwa shule na vyuo tena!!
 
Mababeru ni wajanja wajanja sana, wapo radhi kutoa hiyo dawa wanayoita chanjo bure hata dozi tatu za mwanzo ili wavuruge mfumo asili wa kinga ya mapafu kwa watu, jambo ambalo litawafanya waishi kwa kutegemea chanjo........ikifika hapo ndo beberu ataanza kuvuna pesa....
Kwanini wamekubali na kuridhia haraka mabadiliko ya matumizi ya fedha za kununua chanjo za UVIKO-19?

Jiulize, kujenga miundo mbinu ya maji ya kunawa, kujenga madarasa na vituo vingi vya afya kuhudumia waathirika wa Uviko-19, je aina ya vimelea wakibadilika baada ya miezi sita kuanzia sasa hapo si wanajua manufaa ni machache kwa kuwa wengi wataathirika?

Inatakiwa kwenye kampeni manufaa na hasara za chanjo zielezwe bayana kwa kuhamasisha maamuzi yaliyo sahihi (Coercion must be avoided at all costs).
 
E
Elimu mfu!! Wenye hiyo elimu wa akufa kila siku kwa corona. Jana pekee huko marekani wamekufa kwa corona zaici ya watu 1900!! Maambukizi mapya ya corona ni zaidi ya laki moja kwa jana tu!! Hak ndio walimu wa walimu!! Elimu isiyoweza kusaidia nenda ukafe nayo mbele!! Iko kwenye rekodi Tanzania tuliponywa na Mungu!! Ndio maana uko hai hivi leo na watoto wako hawajafungiwa shule na vyuo tena!!
Huo ujinga peleka kwenye makanisa yenu huko na Gwajima.
 
E
Elimu mfu!! Wenye hiyo elimu wa akufa kila siku kwa corona. Jana pekee huko marekani wamekufa kwa corona zaici ya watu 1900!! Maambukizi mapya ya corona ni zaidi ya laki moja kwa jana tu!! Hak ndio walimu wa walimu!! Elimu isiyoweza kusaidia nenda ukafe nayo mbele!! Iko kwenye rekodi Tanzania tuliponywa na Mungu!! Ndio maana uko hai hivi leo na watoto wako hawajafungiwa shule na vyuo tena!!

Ninakazia: "Hata jiwe aliponywa na Mungu ndiyo maana yuko hai leo na wanawe hawajafungiwa shule na vyuo tena!!"
 
Habari ndugu wanaJF,

Jana kwenye mkutano wa rais na wanahabari nilimsikia akiongea confidently kuhusu kuagiza na kuanza kutumia chanjo za covid. Ieleweke kwamba hizo chanjo zilitolewa kwa dharura bila conclusive data za kitafiti na baadhi ya madhara ya muda mfupi yaliyokwishatokea ni kuganda kwa damu (blood clots), kushuka kwa kiwango cha chembechembe nyeupe za damu zinazohusika na kuganda kwa damu 'platelets' na kusababisha tatizo linalojulikana kitaalamu kama 'thrombocytopenia' matatizo ya mzio 'autoimmunity' ambapo chembe chembe za kinga zinashambulia viungo vya mwili na hii ikitokea kwenye viungo muhimu kama figo, ini na ubongo inaweza kupelekea vishindwe kabisa kufanya kazi 'organ failure'.

Hivi karibuni shirika la kuthibiti magonjwa la marekani CDC limeripoti kuongezeka kwa cases zinazoonyesha athari kwenye misuli ya moyo 'myocarditis' na hata kwenye kiwambo kinachozunguka moyo 'pericarditis' kwa vijana na watoto waliochanjwa chanjo ya korona inayotumia teknolojia ya mRNA.

Pia, uchambuzi wa kitaalamu uliotolewa hivi karibuni umeonyesha ndani ya masaa 48 kibebeo cha chanjo inapodungwa mwilini 'lipid nanoparticles' kimeonekana hasa kwenye vifuko vya mayai kwa wanawake 'ovaries' na kwenye uboho wa mifupa 'bone marrow' jambo ambalo siyo la kawaida na linaweza kusababisha shida za uzazi kwa akina mama na matatizo ya kansa za damu 'leukemias' 'lymphomas' na ukizingatia hizi shida za kansa, madhara ya uzazi na hata mzio 'autoimmunity' zinaweza kuchukua muda mrefu hata miaka zaidi ya mitatu kudhihirika.

Je, wataalamu wamemshauri rais kwa kuzingatia utaalamu na up-to-date information zinazotolewa kuhusu madhara ya hizo chanjo? au wameamua tu kutoa ushauri unaoendeshwa na upepo wa ngoma inavyochezwa huko duniani kuhusiana na huu ugonjwa wa covid.

Mimi ningeshauri zitumike zaidi njia za kujikinga badala ya kuhimiza kampeni za chanjo ambayo ipo kwenye utafiti, kwa sababu ukishachanja hakuna namna ya kuondoa hiyo chanjo mwilini, kinachobaki inakuwa ni kupambana na madhara yanayoweza kutokea ndani ya muda mfupi, muda wa kati au muda mrefu.

Nawasilisha.​

Umeenda kuokota yanayofurahisha nafsi yako na kwa makusudi unayatumia ili kupotosha watu.

1: Hayo mambo yalipotokea na kutambuliwa review zake zilitoa majibu gani?

2: Ni hatua gani zilichukuliwa ili kurekebisha chochote kilichoonekana, haya hukuyaona huko?

3: Ni mlinganyo upi utautumia kati ya anaechanja na kupata shida ulizotaja dhidi ya yule anaepata UVIKO na kupata shida husika?

4: Katika maisha ya kawaida ni watu wangapi hupata matatizo husika bila uwepo wa UVIKO au chanjo ya UVIKO?
 
Naona tunaogopa zaidi chanjo kuliko maambukizi halisi ya virusi vya korona.

Hivi ungepata nafasi umshauri kitaalamu Mh. Rais ungemwambia nini kuhusu tofauti ya mRNA iliyotengenezwa na binadamu na ile ya kirusi halisi?
 
Back
Top Bottom